Idadi ya Watalii Wanaoshuka "KIA" Yazidi Kuongezeka

Idadi ya Watalii Wanaoshuka "KIA" Yazidi Kuongezeka

Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).

Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.

Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
Mnajiandaa kuuza KIA kwa waarabu wa QATAR hizi ngonjera za huyo mama MD wa KIA anayetoka kimapenzi na KM UCHUKUZI tunajua habari zenu. Mtauza kiła kitu kwa waarabu.
 
Watu wamelipa hela zote huko nje, huku wamekuja kunya tu. . Ukijiuliza pato la utalii limeongezekaje? Zero.
 
Ilo neno kila siku sio geni ila USD hipo wapi !.
Mmeuza ngorongoro usd hipo wapi !
Mikataba mibovu usd hipo wapi !
IMG_0242.jpg
 
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).

Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.

Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
Ungetoa na takwimu kabla ya Corona ili tujiridhishe na hiyo impact ya loyo tua!!
 
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).

Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.

Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
Sikubaliani eti ongezeko kubwa linatokana na filamu ya royal tour. Ziko filamu nyingi tu nzuri na mahiri kuliko royal tour kuhusu vivutio vya tanzania. Isitoshe televisheni ya Tanzania safari iko kwenye satellite inatoa mchango mkubwa kuhusu vivutio vya tanzania. Sababu nyingine safari nyingi ni viporo vya safari zilizoahirishwa wakati wa covid 19.
 
MAPINGA PINGA HAWAKOSEKANI,LAZIMA WAPINGE,KILA JEMA, *UTALII HUWA UNACHANGIA DOLLAR S KWA KIASI GANI?,
*MAUZO YA NAFAKA NA MENGINEYO HUCHANGIA ASILIMIA NGAPI?
*MADINI,DHAHABU SAMAKI NAO HUCHANGIA KIASI GANI?
->upande upi umedorora,na upi umechangamka?
mbona hujazungumzia machawa au na wewe ni sehemu yao
 
Kumbe Chirstina Mwakatobe na wewe ni chawa wa mama kila kitu mama

Naamini pia watalii hawatakereka na vibanda vya makaratasi na Marundo ya taka pembezoni mwa barabara ya Arusha- moshi
kuanzia kikatiti, m.chai, usa, tengeru mpaka Arusha mjini.
 
Apaf
Wapiga debe wengi wa Rais, akili ni kibaba. Wanasema uwongo ambao unatia hata kinyaa. Wanafikiri wote wana kiwango kidogo cha akili kama cha kwao.
Ongezeko la watalii toka 780,000 hadi 927,000 haiwezi kuwa asilimia 42, angesema 20% labda.
 
Kumbe Chirstina Mwakatobe na wewe ni chawa wa mama kila kitu mama

Naamini pia watalii hawatakereka na vibanda vya makaratasi na Marundo ya taka pembezoni mwa barabara ya Arusha- moshi
kuanzia kikatiti, m.chai, usa, tengeru mpaka Arusha mjini.
Ulitaka atajwe mama Yako ndio alikuwepo kwenye royal tour?
 
Mnandanganya huyu maza ilimuendelee kupiga pesa wajinga wakubwa nyie 2019-2021 kulikuwa na corona ulitegemea watalii waje wapi? tumieni akili kidogo, tuambie trend ya watalii before 2019 ilikuwaje?
Before ,namba kubwa Kuwahi fikiwa ni Watalii 1.5mln .

As we speak Watalii wako around 1.8 Kwa mwaka
 
Back
Top Bottom