Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano Ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini?

IMG-20220906-WA0016.jpg
 
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini!!??

View attachment 2348193
Wewe ulishawahi kusisimkwa na TOZO ???
 
Hata Kwenye mikutano mingi ya mama yetu, watu huwa hawana furaha kabisa. Fuatilia picha na video!

Atuondolee tozo. Ni wizi!
Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa!
wao wangetozwa hivyo wangefurahia kweli?

Tozo ni wizi!
 
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini!!??

View attachment 2348193
Sijaona shida hapo
 
Rais ni Rais hata uwe kwenye hali ngumu akitokea mbele yako lazima usisimke.

Picha kama hizi hazitakiwi kwenda public idara ya mawasiliano wamefeli sana.
Acha upuuzi yaani waache kuonyesha picha kamili waweke mapicha yenu ya mapambio feki? Huyo Hangaya hatoshi ndio maana akina Lukuvi, Ndugai na propaganda walitaka akalime karafuu huko kwao
 
Imewahi semwa, kama unataka kupendwa na watu uza ice creams. Kiongozi mzuri ni yule anayeeleweka baadae, unless unataka mama awe comedian kama aliyemtangulia. Kazi iendelee
 
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini!!??

View attachment 2348193
Watu wanawaza Tozo Komoa zako Wewe unahangaika Kuwapungia tumikono twako kwanini Wasikuchunie tu ili ujue kuwa huna Jipya Kwao na wala hawana Upendo nawe?
 
Rais ni Rais hata uwe kwenye hali ngumu akitokea mbele yako lazima usisimke.

Picha kama hizi hazitakiwi kwenda public idara ya mawasiliano wamefeli sana.
Acha kuwasagia kunguni bhana.....unataka uteuliwe wewe.
 
Back
Top Bottom