Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

IMG-20220905-WA0103.jpg
 
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini!!??

View attachment 2348193


Umehangaika Ku zoom na kulazimisha matamanio yako ..kumushambulia Rais
 
Inawezekana karibu nusi ya waliokuwepo hapo ni wale wanashinda naye. A.k.a Eagles

Kusisimkwa kutwa nzima hata kama ni taaluma nayo ni shughuli. Wamefanya vizuri kumbadilishia Mama usafiri. Kila uchao mijigari na mijidege angalau ajikumbushe huu wa boti.
 
Alafu ile Wordart na font size wanayotumia kwenye taarifa ni ndogo sana, yaani mpaka utoe macho Kama fundi saa kapoteza mshale wa sekunde kwenye mchanga!!
 
Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Zanzibar wanauelewa mkubwa kuwa sisi ndiyo tumewaajiri hawa viongozi wetu na kuwalipa mishahara na marupurupu kupitia tozo na kodi tunayolipa.

Sisi ni waajiri wa waheshimiwa hawa hivyo Mh. rais Samia Suluhu Hassan kupita kwa unyenyekevu na kuwasalimia waliomwajiri ni jambo analostahili pongezi na siyo waajiri ambao ni wananchi kumshangilia muajiriwa.

Mfano umemuajiri mtu akujengee nyumba ukikutana naye utashangilia au tu kusabahiana naye kwa heshima za kawaida za kutambua kuwa ni binadamu hivyo ni utu kusalimiana naye lakini ukimshangilia hata yeye fundi kenchi atashangaa.
 
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano Ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini?

View attachment 2348193
acha bangi kijana!
 
Rais ni Rais hata uwe kwenye hali ngumu akitokea mbele yako lazima usisimke.

Picha kama hizi hazitakiwi kwenda public idara ya mawasiliano wamefeli sana.
Utakuwa una tatizo la kusisimka hovyo kila wakati, wahi muone dakatari.
 
Me naishi Zanzibar.. Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza huku kwa Hawa wana Zanzibar;hawana tabia ya kushobokea viongozi ama wasanii wa kubwa... Sasa pengine ni hiyo tabia ama nakubaliana na mleta mada
 
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.

Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.

Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.

Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano Ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.

Kama wanafanya kusudi ni kwa nini?

View attachment 2348193
Unamshangiliaje kwa mfano
 
Back
Top Bottom