Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
ila kipindi cha nwendazake walikuwa hawana matumaini ya maisha kabisaHata Kwenye mikutano mingi ya mama yetu, watu huwa hawana furaha kabisa. Fuatilia picha na video!
Atuondolee tozo. Ni wizi!
Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa!
wao wangetozwa hivyo wangefurahia kweli?
Tozo ni wizi!
Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.
Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.
Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.
Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano Ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.
Kama wanafanya kusudi ni kwa nini?
View attachment 2348193
Labda alitaka watu washangirie wakati tayari wamo ndani ya boti.Sijaona shida hapo
huenda wewe ndo ukawa mtupu sana kwenye nyanja za ulinzi na usalama wa viongozi hapo hao unaosema hawana furaha na wengine wanaojifanya hawana time nae ote ni watu wa usalama na rais kuwa karibu na hao watoto hapo badala ya watu wazima wa kiume syo bahati mbaya mzee zoom hizo picha za hao jamaa walokaa kwa makini utapata kitu kuanzia hyo alonyoa pank mpka hao wavaa kofia na mwisho angalia kwa makini picha ya huyo dada wa pembeni then fatilia ziara za rais utanishukuru baadaeKitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.
Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.
Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.
Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano Ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.
Kama wanafanya kusudi ni kwa nini?
View attachment 2348193
Hapo mbona nyuso nyingi ni zile za kitengo?Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana.
Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii.
Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli kwenye tawala zao ila walikuwa wakifika mtaani utaona picha zikionesha msisimko na excitement.
Kuna mawili either kitengo cha mawasiliano Ikulu hakijui kazi yao au wanafanya kusudi.
Kama wanafanya kusudi ni kwa nini?
View attachment 2348193