Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Hao jamaa wanaweza wakawa Raia wa Nchi zaidi ya tano wana ushawishi wa pesa ya rushwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanajali Pesa tu. Itakua wanehonga pesa ndefuInasikitisha na hatari sana...
Machawa wanarukaruka kuja kujibu hojaSubiri uone machwawa watavyokujibu
Washakula posho za ten ten
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Walifuta baada ya comment kuwa nyingi it was from the verified handle.Yan uhamiaji wamepost hii? , au ni fake?
Endelea kusubiri watu wanaweka kitita mezani hati ya kusafiria wanaipata chini ya saa 72 maana ofisi za umma nazo zina vishoka.Lakini Mimi mpaka Leo passport nimenyimwa na nimezaliwa hapa nimesomea hapa wazazi wote tz yani ukoo .kisa rushwa sababu kutokea kigoma.MAGUFURI lala salama vijana huku tunaumia
Halafu ndio CCM wanatuambia uraia pacha hauwezekani..Hao jamaa wanaweza wakawa Raia wa Nchi zaidi ya tano wana ushawishi wa pesa ya rushwa...
Kwanza kuna ubabaishaji katia hayo maandiko, hakuna anaemiliki ardhi Tanzania, iwe ni Mtanzania au mgeni.Kuna taarifa zinasambaa mitandaoni kwamba familia ya kihindi ya Ladwa inatumia hati za kusafiria za Tanzania na Uingereza. Vyombo vya habari na baadhi ya watu wameenda mbali zaidi kusambaza nyaraka hizo mitandaoni.
Idara ya Uhamiaji katika kujibu hoja hii wameeleza kwamba watajwa walikoma kuwa RAIA wa Tanzania na sasa wanaishi nchini kama RAIA wa kigeni wakiwa na vibali halali.
Nimeangalia pia pasipoti zinazosambaa mitandaoni na naomba nikubaliane na Uhamiaji kwamba pasipoti inayosambaa mitandaoni ya Tanzania inaonekana ilitolewa zamani kabla ya pasipoti ya Uingereza jambo ambalo linaashiria kwamba hawa walikuwa RAIA wa Tanzania wakaukana utanzania na kupata uraia wa Uingereza
Kwa upande mwingine naomba niombe uhamiaji watoe pia ufafanuzi, hawa RAIA wa uingereza ambao awali walikuwa RAIA wa Tanzania wanaendeleaje kumiliki mali kama Watanzania wakati katiba na sheria zinakataza?
Ardhi wanayomiliki wanatumia uraia gani? Kama wanatumia uraia wa Tanzania kumiliki ardhi ,Uhamiaji na wizara ya ardhi awaoni kama haya ni makosa?
Malalamiko yanasema wanafukuza wapangaji kwenye nyumba za NHC, ni lini wageni wamepewa mamlaka yakufukuza wapangaji katika nyumba za shirika la umma? NHC mnawezaje kumvumilia mgeni aje atawale mali za umma na kuwafundisha wananchi namna ya kuzitumia? Kiburi wanatoa wapi?
Waziri wa mambo ya nje, hawa akina Ladwa ndio tuliowatungia sheria ya kuwapa hadhi maalumu? Na je hadhi maalumu itawapa nguvu hawa wahindi kutawala?
Msidanganywe na fitina za huyo mtu, wapi kaonesha umiliki wa ardhi kwa Laswa au mwengine yeyote?Kuna Watanzania wenzetu wanatuuza kimaficho kwa wageni, huko kuvunja katiba lazima kuna baraka za watu wakubwa waliopewa rushwa kubwakubwa siyo bure
Kwani nyie bakwata/waislam mmezuiwa kuhodhi ardhiMsidanganywe n afitina za huyo mtu, wapi kaonesha umiliki wa ardhi kwa Laswa au mwengine yeyote?
Tanzania hakuna mwenye kumiliki ardhi.
Hata kanisa Katoliki lenye kuhodhi ardhi kubwa baada ya serikali haliimiliki hiyo ardhi.
Kwani nyie bakwata/waislam mmezuiwa kuhodhi ardhi
Ova
Ndiyo Huyo Kwasasa Morogoro Pale Kiwanda Cha Tumbaku Alliance One Anajenga Magodauni Makubwa Sana Kuhifadhia TumbakuDuuh, kumbe huyo ndio alikuwa anamiliki yale magofu ya Ladwa yaliyonunuliwa na S.H Amon?
Passport ya tza ya zamani kabla ya hii ya UKCCM ni majanga!
Haya watueleze huyu Ladwa ni ukoo wa wapi.
Tukiwa tunasema CCM humo watoto wao wana majumba huku ughaibuni na uraia pacha ila sisi wengine wanatubania muelewe.
View attachment 2861894View attachment 2861895View attachment 2861896
Nida hata mgeni anapewaMakampuni mengi tu ya wageni wana namba za nida wana passport za Tz ajabu sana
Inaruhusiwa?Nida hata mgeni anapewa
Yes ila vipo tofautInaruhusiwa?
[emoji1] dada yangu kipenzi najuwa bakwata huikubaliHiyo " nyie" sijakuelewa.