Idara ya Uhamiaji mmewaruhusu vipi akina Ladwa kumiliki ardhi ikiwa mnakiri wao siyo raia

Idara ya Uhamiaji mmewaruhusu vipi akina Ladwa kumiliki ardhi ikiwa mnakiri wao siyo raia

Msidanganywe n afitina za huyo mtu, wapi kaonesha umiliki wa ardhi kwa Laswa au mwengine yeyote?

Tanzania hakuna mwenye kumiliki ardhi.

Hata kanisa Katoliki lenye kuhodhi ardhi kubwa baada ya serikali haliimiliki hiyo ardhi.
Vipi mtu kuwa na pasport za nchi mbili tofauti
 
We Bibi dini inakusumbua sana


Hasara za malaya akizeeka ndio hizi


Mtu ana passport mbili za nchi tofauti ila unamtetea.


Kahaba ni kahaba tu
Unafahamu kuwa Yesu katokana na kizazi cha kahaba kwa mujibu wa biblia?

Unashangaa nini ikiwa hata "Mungu" wako katokana na kizazi cha kahaba?
 
Unafahamu kuwa Yesu katokana na kizazi cha kahaba kwa mujibu wa biblia?

Unashangaa nini ikiwa hata "Mungu" wako katokana na kizazi cha kahaba?
Mjinga wewe Mimi Sina dini za kipuuzi kama wewe!


Siendeshwi na ujinga wa dini.
 
We Bibi dini inakusumbua sana


Hasara za malaya akizeeka ndio hizi


Mtu ana passport mbili za nchi tofauti ila unamtetea.


Kahaba ni kahaba tu
Unafahamu kuwa Yesu katokana na kizazi cha kahaba kwa mujibu wa biblia?

Unashangaa nini ikiwa hata "Mungu" wako katokana na kizazi cha kahaba?
 
Wewe unashangaa vipi watu hao kupata pasi wakati humu malalamiko kuhusu idara hiyo yapo sana.

Kuna watu wakitoa pesa ile iliyoandikwa kwa ajili ya pasi ya kusafiria wanapigwa kalenda ilhali akija mtu na 400k ananyenyekewa maana hizo ofisi kuna hadi vishoka wa kuharakisha zoezi kwa atakayepenyeza rupia kwenye udhia.

Jana ukurasa wa tamisemi unapost habari za Samia kuchukuliwa fomu ya kugombea urais.

Jionee hapo kurasa ya uhamiaji vitu inavyoweka halafu nenda kurasa rasmi ya uhamiaji ya Kenya utajifunza kitu.
View attachment 2850122
Post ya lini hiyo
 
Post ya lini hiyo
Ilikuwa mwezi November baada ya kariakoo derby. Ila ilifutwa baada ya huyo admin kilaza kujisahau kuswitch account na kupost kwenye account ya umma.

Changamoto niliyoona ni watu wanaoendesha account hizi hawana weledi sababu wanapeana kishkaji , angalia account ya wizara ya afya utagundua anayeiendesha ni nani.
 
Back
Top Bottom