Idara ya Uhamiaji mmewaruhusu vipi akina Ladwa kumiliki ardhi ikiwa mnakiri wao siyo raia

Uhamiaji kweli watakuwa wanahusika.
Ushahidi wote huu,hakuna tamko,wala hatua zozote zilizochukuliwa!
 
Lakini Mimi mpaka Leo passport nimenyimwa na nimezaliwa hapa nimesomea hapa wazazi wote tz yani ukoo .kisa rushwa sababu kutokea kigoma.MAGUFURI lala salama vijana huku tunaumia
Endelea kusubiri watu wanaweka kitita mezani hati ya kusafiria wanaipata chini ya saa 72 maana ofisi za umma nazo zina vishoka.
 
Kwanza kuna ubabaishaji katia hayo maandiko, hakuna anaemiliki ardhi Tanzania, iwe ni Mtanzania au mgeni.

Hakuna sheria ya kumiliki ardhi Tanzania. Tuwekana sawa hapo kwanza.
 
Kuna Watanzania wenzetu wanatuuza kimaficho kwa wageni, huko kuvunja katiba lazima kuna baraka za watu wakubwa waliopewa rushwa kubwakubwa siyo bure
Msidanganywe na fitina za huyo mtu, wapi kaonesha umiliki wa ardhi kwa Laswa au mwengine yeyote?

Tanzania hakuna mwenye kumiliki ardhi.

Hata kanisa Katoliki lenye kuhodhi ardhi kubwa baada ya serikali haliimiliki hiyo ardhi.
 
Msidanganywe n afitina za huyo mtu, wapi kaonesha umiliki wa ardhi kwa Laswa au mwengine yeyote?

Tanzania hakuna mwenye kumiliki ardhi.

Hata kanisa Katoliki lenye kuhodhi ardhi kubwa baada ya serikali haliimiliki hiyo ardhi.
Kwani nyie bakwata/waislam mmezuiwa kuhodhi ardhi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…