Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujaona quote ya kifungu hapo? Tafute ukisome uelewe.....sasa Gulu boy hapo anakujaje? Mbona Ngungo boy nayeye amekuja na mkeka wake anataka kuwapa uraia kina MavamboTAARIFA KWA UMMAIdara ya Uhamiaji inapenda kutoa ufafanuzi wa taarifa zilizochapishwa na kujadiliwa kwenye mitandao ya kijamii na Vyombo vya Habari kuhusu kupatiwa uraia wa Tanzania wachezaji watatu wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Singida Black Stars.
Wachezaji wanaotajwa kwenye taarifa hizo ni kama ifuatavyo:-
1.Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana),
2.Josephat Arthur Bada (Cote d'Ivoire), na
3. Muhamed Damaro Camara (Guinea).
Wachezaji tajwa waliomba na kupewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na 23 vya Sheria ya Uraia ya Tanzania, Sura ya 357.
Kwa muktadha huo, Idara ya Uhamiaji inapenda kuutaarifu Umma kuwa watajwa ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi.
Imetolewa na;
SSI. Paul J. Mselle
MSEMAJI MKUU WA IDARA YA UHAMIAJI
Soma pia: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Nimewahi kusema hata wachezaji tunaowaleta kucheza ligi yetu, tukitambua wale wazuri sana halafu hawana rekodi za kuchezea timu za taifa huko watokako, tuwape uraia chap kwa haraka.
Mimi sina shida na kuwapa uraia wachezaji wenye asili ya Tanzania walioko huko nje, swali langu la msingi, wamekana uraia wao wa huko nje kama matakwa ya sheria zetu za uhamiaji zinavyotaka?
Kama tumeamua kufumba macho, kwa nini sasa tusibadili sheria za uhamiaji kama tumeona suala la uraia pacha lina faida. TFF hawana mamlaka ya kuvunja sheria za nchi.
Sasa hapa Mwigulu anahusikaje? Hili ni jambo la kisheria. Sheria iliyotumika imenukuliwa kwenye taarifa ya Uhamiaji. Ukihitaji ufafanuzi zaidi unaweza kwenda ofisi za Uhamiaji. Kupiga kelele humu hakutasaidia.Ni ukweli usio pingika kwamba sheria zimepindishwa sana ili kutoa uraia kwa wachezaji wa Singida Black Stars
View attachment 3211250
Hili swala halipaswi kuachwa lipite hivi hivi.
Inawezekana wamepewa kwasababu ya vipaji vyao,acha watusaidie nashno timu maana sisi wenyewe hatujiwezi . Mbumbumbu na wao hawataki kupitwa na huu upepoView attachment 3211254
Morison alilia sana iraia akanyimwaN A K A Z I A
Vifunguliwe Tuujue Ukweli
Naomba Diarra apewe uraiaSema wabongo mna nongwa na wivu wakipumbavu sana,
Kwa kipi cha maana mumelifanyia taifa lenu ata mkapata wivu wote uwo kwa hao watu wa 3 kupewa uraia wa tz ?
Ivi uraia wa tz nao ni wa kuulilia na kuonea wivu kweli? 😄
Umeandka nn? Akili yako ipo sawa kwl lakn!Watu mna nongwa sana!
Watanzania hatupendi kusaidiana sababu ya wivu. Wivu ni ugonjwa mbaya sana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla.
Hii nchi ina vituko sana. Sasa Kayeke kweli ndo amepelekea sheria ivunjwe? Mbona kama nchi tuna wachezaji wengi wazawa wenye vibaji kumzidi? Kama inshu ilikua kupata wachezaji wa Timu ya Taifa, mngeenda kitafuta wachezaji wanaocheza ligi kubwa Ulaya. Imagine Uhamiaji walimzingua Ilankunda anayechezea Fc Bayern Munich, huku wanawapa Uraia hao wacheza chandimu. Hii ni nini?TAARIFA KWA UMMAIdara ya Uhamiaji inapenda kutoa ufafanuzi wa taarifa zilizochapishwa na kujadiliwa kwenye mitandao ya kijamii na Vyombo vya Habari kuhusu kupatiwa uraia wa Tanzania wachezaji watatu wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Singida Black Stars.
Wachezaji wanaotajwa kwenye taarifa hizo ni kama ifuatavyo:-
1.Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana),
2.Josephat Arthur Bada (Cote d'Ivoire), na
3. Muhamed Damaro Camara (Guinea).
Wachezaji tajwa waliomba na kupewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na 23 vya Sheria ya Uraia ya Tanzania, Sura ya 357.
Kwa muktadha huo, Idara ya Uhamiaji inapenda kuutaarifu Umma kuwa watajwa ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi.
Imetolewa na;
SSI. Paul J. Mselle
MSEMAJI MKUU WA IDARA YA UHAMIAJI
Soma pia: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Dr. Anna P. Makakala, Commissioner General wa UHAMIAJI, amechoka tangu enzi ya JPM.Hii nchi ina vituko sana. Sasa Kayeke kweli ndo amepelekea sheria ivunjwe? Mbona kama nchi tuna wachezaji wengi wazawa wenye vibaji kumzidi? Kama inshu ilikua kupata wachezaji wa Timu ya Taifa, mngeenda kitafuta wachezaji wanaocheza ligi kubwa Ulaya. Imagine Uhamiaji walimzingua Ilankunda anayechezea Fc Bayern Munich, huku wanawapa Uraia hao wacheza chandimu. Hii ni nini?
Mh. Rais anahujumiwa sana. Nitashangaa kama hatawashughulikia wote waliohusika na saga hilo.
Majibu mafupi sana!TAARIFA KWA UMMAIdara ya Uhamiaji inapenda kutoa ufafanuzi wa taarifa zilizochapishwa na kujadiliwa kwenye mitandao ya kijamii na Vyombo vya Habari kuhusu kupatiwa uraia wa Tanzania wachezaji watatu wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Singida Black Stars.
Wachezaji wanaotajwa kwenye taarifa hizo ni kama ifuatavyo:-
1.Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana),
2.Josephat Arthur Bada (Cote d'Ivoire), na
3. Muhamed Damaro Camara (Guinea).
Wachezaji tajwa waliomba na kupewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na 23 vya Sheria ya Uraia ya Tanzania, Sura ya 357.
Kwa muktadha huo, Idara ya Uhamiaji inapenda kuutaarifu Umma kuwa watajwa ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi.
Imetolewa na;
SSI. Paul J. Mselle
MSEMAJI MKUU WA IDARA YA UHAMIAJI
Soma pia: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni