Unashadadiashadadia mambo ya wengine kwa kufuatilia kwenye vyombo vya Habari vya magharibi nakujifanya unajua intelligence saaana.Hali imebadilika ktk uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Kiduku aliona mbona Russia anapata all the attention na yeye amekuwa kama irrelevant/ignored? . Akaona ngoja arushe kombora moja kama kusema na mimi bado nipo πHali imebadilika ktk uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Ulishindwa kumwokoa mjomba wako JPM kwa sala utaiokoa dunia? Kula dagaa hizo ulale.Hali imebadilika ktk uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Putin ni kama JPM tu, lazima hawa western Europe na kibaraka wao Marekani watie akili mwaka huu..Putin asikiagi kelele za chura anachapa mkono mwanzo mwisho.
Ndugu yangu, haya si "mambo ya watu wengine". Likitokea la kutokea hubaki.Unashadadiashadadia mambo ya wengine kwa kufuatilia kwenye vyombo vya Habari vya magharibi nakujifanya unajua intelligence saaana.
You took the life of an innocent person. Your filthy dirty hands full of innocent blood.
Tunamtaka Ben wetu awe Hai au mfu. We just want to give our Ben a decent burial.
NYAU ww
Anachezea kichapo kikali muda huu anaomba poo.Putin asikiagi kelele za chura anachapa mkono mwanzo mwisho.
,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anachezea kichapo kikali muda huu anaomba poo.
Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma, Putin anatia huruma!
Nasikia amenasa hapo Kiev. Wananchi wameamua kuingia mtaani kupigania nchi yao isigeuzwe kibaraka wa MoscowAnachezea kichapo kikali muda huu anaomba poo.
Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma, Putin anatia huruma!
Anakula kile kichapo alichosema Muroto " cha mbwa koko"Nasikia amenasa hapo Kiev. Wananchi wameamua kuingia mtaani kupigania nchi yao isigeuzwe kibaraka wa Moscow
Putin hauwezi yule moto wa MarekaniPutin ni kama JPM tu lazma hawa western europe na kibaraka wao marekani watie akili mwaka huu..