Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Anaingiaje hukuIla Mbowe sio gaidi lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaingiaje hukuIla Mbowe sio gaidi lakini
Hali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari...
Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.
UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri...
Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana..
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali
Dunia ikifika mwisho hiko kizazi kingine kitakuja wapi Mkuu?Maovu yamezidi, wacha dunia ifike mwisho kije kizazi kingine.
Unaogopa kuwataja warusi wa Jamii Forum wasije wakasikiaHali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari...
Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.
UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri...
Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana..
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali
Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...Unashadadiashadadia mambo ya wengine kwa kufuatilia kwenye vyombo vya Habari vya magharibi nakujifanya unajua intelligence saaana.
You took the life of an innocent person. Your filthy dirty hands full of innocent blood.
Tunamtaka Ben wetu awe Hai au mfu. We just want to give our Ben a decent burial.
NYAU ww
Ubaya
Unamtisha nani wewe? Eti unanijua. Mikwara mavi Pelikan huko.Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...
Huu ni zaidi ya ujinga kujisahaulisha na kuanza ku vate rais... Nadhani ni bora ukae kimya kupunguza hasira.
Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...
Huu ni zaidi ya ujinga kujisahaulisha na kuanza ku vate rais... Nadhani ni bora ukae kimya kupunguza hasira.
Hali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia. Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo.
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari. Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.
UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri.
Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana.
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali
Eti kuna mataifa ambayo siwezi kuyataja!!🙂
🙂🙂🙂
Mavi yake USA toka lini alishinda vita ikiwa Yeye na NATO wamekimbia wa Taleban miaka 20 hawajamuangamiza sasa Russia Inayo miliki war machine za kisasa watamuwezaPutin hauwezi yule moto wa Marekani
Yaani Marekani peke yake bila mshirika anamkalisha yule tena mapema sana