Idara za usalama za dunia na majeshi ya mataifa makubwa on High Alert, Pray for World

Idara za usalama za dunia na majeshi ya mataifa makubwa on High Alert, Pray for World

Hali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari...
Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.

UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri...

Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana..
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali

Umesahau Tanzania nako kuna vikao vya siri mno kati ya ccm na chadema wakishirikiana namna gani ya kumbana Russia either by sanction ama kijeshi, yale makomandoo wa kuvunja mawe kwa kichwa huenda usiku huu yakaelekea Kiev
 
Hali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia.
Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo...
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari...
Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.

UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri...

Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana..
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali
Unaogopa kuwataja warusi wa Jamii Forum wasije wakasikia
 
Unashadadiashadadia mambo ya wengine kwa kufuatilia kwenye vyombo vya Habari vya magharibi nakujifanya unajua intelligence saaana.

You took the life of an innocent person. Your filthy dirty hands full of innocent blood.

Tunamtaka Ben wetu awe Hai au mfu. We just want to give our Ben a decent burial.

NYAU ww
Ubaya
Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...
Huu ni zaidi ya ujinga kujisahaulisha na kuanza ku vate rais... Nadhani ni bora ukae kimya kupunguza hasira.
 
Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...
Huu ni zaidi ya ujinga kujisahaulisha na kuanza ku vate rais... Nadhani ni bora ukae kimya kupunguza hasira.
Unamtisha nani wewe? Eti unanijua. Mikwara mavi Pelikan huko.

Nyau ww
 
Ben yupo wapi?
Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...
Huu ni zaidi ya ujinga kujisahaulisha na kuanza ku vate rais... Nadhani ni bora ukae kimya kupunguza hasira.
 
Wataalam wa vita wanotoka katika vijiwe vya kahawa ni hatari sawa habari zote huchambuliwa hapo na kutoa jibu sahihi la matukio ya ndunia nzima
 
Hali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia. Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo.

Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari. Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.

UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri.

Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana.

Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali

Hayo mataifa ambayo huwezi kuyataja mkuu humu jamvini yapo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una mikwara kinoma dizaini ya putin
 
Putin hauwezi yule moto wa Marekani

Yaani Marekani peke yake bila mshirika anamkalisha yule tena mapema sana
Mavi yake USA toka lini alishinda vita ikiwa Yeye na NATO wamekimbia wa Taleban miaka 20 hawajamuangamiza sasa Russia Inayo miliki war machine za kisasa watamuweza
 
Ogopa sana mtu anae chimba mkwara kwamba atakaeingilia atambaka bila kiwese
 
Back
Top Bottom