Idara za usalama za dunia na majeshi ya mataifa makubwa on High Alert, Pray for World


Umesahau Tanzania nako kuna vikao vya siri mno kati ya ccm na chadema wakishirikiana namna gani ya kumbana Russia either by sanction ama kijeshi, yale makomandoo wa kuvunja mawe kwa kichwa huenda usiku huu yakaelekea Kiev
 
Unaogopa kuwataja warusi wa Jamii Forum wasije wakasikia
 
Umejificha but i know u.... U just west ur time... Kwa mtu sio sahihi... Ukilewa pombe zako ukaambiwa usiendeshe gari alafu ukaendesha ukapata ajali ukafa.. utamtafuta alie kwambia usiendeshe ndio amekuuwa...
Huu ni zaidi ya ujinga kujisahaulisha na kuanza ku vate rais... Nadhani ni bora ukae kimya kupunguza hasira.
 
Unamtisha nani wewe? Eti unanijua. Mikwara mavi Pelikan huko.

Nyau ww
 
Ben yupo wapi?
 
Wataalam wa vita wanotoka katika vijiwe vya kahawa ni hatari sawa habari zote huchambuliwa hapo na kutoa jibu sahihi la matukio ya ndunia nzima
 

Hayo mataifa ambayo huwezi kuyataja mkuu humu jamvini yapo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una mikwara kinoma dizaini ya putin
 
Putin hauwezi yule moto wa Marekani

Yaani Marekani peke yake bila mshirika anamkalisha yule tena mapema sana
Mavi yake USA toka lini alishinda vita ikiwa Yeye na NATO wamekimbia wa Taleban miaka 20 hawajamuangamiza sasa Russia Inayo miliki war machine za kisasa watamuweza
 
Ogopa sana mtu anae chimba mkwara kwamba atakaeingilia atambaka bila kiwese
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…