Idd Amin Dada

Idd Amin Dada

PAR255017.jpg
.
Idd amini akiwa na waziri mkuu wa israel,moshe Dayan,mwenye ulemavu wa jicho
Baada ya hapa akawatimua?
 
alikuwa katembelea israel,kumbuka israel ilikuwa miongoni mwa mataifa ya mwanzo kumkubali amin..
Obote alikuwa kavunja uhusiano nao
Jamaa alikuwa hatabiriki bwana, anaweza kukuchekea hasira zikimpanda anakuua kama si yeye wa dakika tano zilizopita. Wengine wanasema alikua psychiatric case.
 
Jamaa alikuwa hatabiriki bwana, anaweza kukuchekea hasira zikimpanda anakuua kama si yeye wa dakika tano zilizopita. Wengine wanasema alikua psychiatric case.
wao ndo walimweka baada ya kumsaidia silaha na kutrain kikosi kilichompindua obote,walikuja kukosana baada ya amin kuwaomba israel fighter jet ili kuishambulia Tanzania kwani amin alisikia obote anaanda majeshi ya kumpiga kutokea Tanzania,waisrael wakawa wanakuwa wazito kumpa,ghadaf akaona chance ya kuvunja urafiki kati ya idd amin na israel kwani lengo la waisrael ilikuwa kupitisha silaha uganda kwenda sudan kulikokuwa na waasi wa anyanya wakipigana na waarabu wa sudan.
Ghadaf akawa kakubali kumpa amin ndege za kijeshi,hapohapo amin akageukia kusupport wapalestina na akawa adui wa israel
 
Cheee!!! kumbe kaka ake na waziri mkuu wa Israel alifiaga uganda!!!
 
Idd Amini was a good fella...
Kuna mtu aliniambia vita ya Uganda na TZ ilikua ya udini na maslahi binafsi ya watu fulani...

Kwa akili yako ndogo uliamini hivyo !.Ngoja nikupe story toka kwa maafisa wa Idd Amin labda akili yako itakurejea siku nyingine ukiambiwa utumbo fanya utafiti mwenyewe si kumeza kila kitu kama kinda la ndege.Maafisa wote waliokuwa chini ya utawala wa Idd Amin wanamlaumu Col Juma Butambika kama ndio mwanzilishi wa vita ya Kagera wewe unakuja na sababu za Misikiti ya siasa kali unaileta JF bila aibu.

On the evening of October 9, 1978, one Ugandan soldier stationed at Mutukula military camp near the border sneaked into Tanzania for a drink.

At the bar, a quarrel started and he was roughed up by Tanzanian civilians. He later returned to Uganda disappointed.

Ready for revenge, the soldier picked his gun from his station near Sango Bay the following morning and went back to Tanzania alone, with intent to kill.

Luckily, people saw him and ran for their lives. But still filled with anger, the soldier shot in the Tanzanian territory; but no one was hurt.

He then returned to his base and reported the matter to his commander, Lt Byansi who in turn communicated to his superior, battalion commander in Kampala Lt Col Juma Oka of the Malire Mechanised Specialised Reconnaissance Regime at Lubiri.

Instead of informing his superiors, Lt Col Oka, aka Butabika (mental case), ordered Lt Byansi to immediately attack the Tanzanian territory as reinforcement came from Kampala. This is according to former Uganda Army officer UO 824, Lt Muzamir Amule, who was a friend of Lt Byansi.

While it has been recorded that Amin invaded Tanzania because of egotism, the new account suggests that it was Oka's rush action and lack of self-restraint and diplomacy that sparked off the war. In fact, by the time Amin was informed, war equipment from Lubiri in Kampala had already advanced as far as Mutukula.

"Why would any sensible commander reinforce his troops at the Mutukula border with soldiers from Kampala?" says Amule, who was stationed at Masaka Barracks.

In his book Cross to the Gun, Maj Gen Bernard Rwehururu (RIP) mentions Lt Amule as good tank commander and driver in the Uganda Army by 1979.

In his book Sowing the Mustard Seed, while commenting on Uganda invading Tanzania in 1978 on page 92, President Museveni writes: " Hopelessly, out of his depth, Amin was always fond of doing and saying outrageous things... he appears to have thought that by invading Tanzania, he was 'teaching president Nyerere a lesson'! Nyerere said Amin's attack had given Tanzanians the cause (sababu), and they had the will (nia) and the means (uwezo) to fight him."

Immediately after Uganda invaded Tanzania, the retaliatory war started. President Julius Nyerere of Tanzania mobilised the Tanzanian People's Defence Forces, that was later joined by Ugandan exiles Kikosi Maalum and the Front for National Salvation led by Yoweri Museveni that fought and defeated Amin's troops in a war that lasted five months and four days.

Brig Kasirye-Gwanga's side of the story

Then a Staff Sergeant in the Artillery Regiment, Kasirye Gwanga, then 27, fought that war.

Recently at his home in Makindye, a Kampala suburb, Brig Kasirye Gwanga told Sunday Monitor what caused the war, but on condition that he reserves some information for an autobiography he is writing.

"The funny part is that a lot of people have come up with so many stories about that war. But the war was started by the brother-in-law of Lt Col Juma Oka, aka Juma Butabika," Brig Gwanga says
 
Anaongea aibu unaona wewe unaesikiliza.
Yaani Kuna clip alikuwa interviewed nijisikia nomaa ... Anaulizwa vitu ya maana ye anajichekesha mara ampigie makofi mamba eti adumbukie mtoni, Mara asifie mitoko na misosi ya huko ulaya, kujisifia sasa...sometimes ni kama nati zilikuwa zimelegea
 
Yaani Kuna clip alikuwa interviewed nijisikia nomaa ... Anaulizwa vitu ya maana ye anajichekesha mara ampigie makofi mamba eti adumbukie mtoni, Mara asifie mitoko na misosi ya huko ulaya, kujisifia sasa...sometimes ni kama nati zilikuwa zimelegea
Kwakweli alikuwa na mapenzi na nchi yake, lakini alikua mtu mwenye hasira sana na ninadhani wasomi aliwaona ni tishio katika utawala wake.
 
ndo mana wanasema madaraka wapewe waliosoma, wawe na akili timamu
kama mtu hana elimu kama alivokua huyu na malezi ya upande mmoja / na ameishi maisha ya jeshi miaka yote
lazima awe dikteta...
[emoji23][emoji23]maana sio kwa kujichotea huko madaraka[emoji23]
 
ndo mana wanasema madaraka wapewe waliosoma, wawe na akili timamu
kama mtu hana elimu kama alivokua huyu na malezi ya upande mmoja / na ameishi maisha ya jeshi miaka yote
lazima awe dikteta...
[emoji23][emoji23]maana sio kwa kujichotea huko madaraka[emoji23]
Ninaifahamu familia ambayo baba alirudi Uganda akiwa na Masters ya agriculture kutokea Uingereza, walikuwa kwenye kikao na Amin walibishana kuhusu sekta ya kilimo inavyoongozwa. Baada ya kikao bahati yule baba alikuwa na ndugu jeshini walimpigia simu Amin anakutafuta upelekwe chamba ya mauaji. Ilibidi wakodi tax kutoka Kampala mpaka Nairobi na yule baba alikaa kwenye boot ya gari wakati wanapita mpakani. Wakati ule huhitaji visa kwenda Uingereza alinunua ticket Nairobi kwenda London. Familia ilimfuata asubuhi yake. Walinieleza hii wenyewe.
 
Ninaifahamu familia ambayo baba alirudi Uganda akiwa na Masters ya agriculture kutokea Uingereza, walikuwa kwenye kikao na Amin walibishana kuhusu sekta ya kilimo inavyoongozwa. Baada ya kikao bahati yule baba alikuwa na ndugu jeshini walimpigia simu Amin anakutafuta upelekwe chamba ya mauaji. Ilibidi wakodi tax kutoka Kampala mpaka Nairobi na yule baba alikaa kwenye boot ya gari wakati wanapita mpakani. Wakati ule huhitaji visa kwenda Uingereza alinunua ticket Nairobi kwenda London. Familia ilimfuata asubuhi yake. Walinieleza hii wenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23]chaaaa!
 
Mtueleze pia vikosi vya tz vilijipanga vipi maana kwenye ile muvi inaonesha tulichezea kwanza kichapo kabla ya kurudi tena kuikomboa kagera
 
Mtueleze pia vikosi vya tz vilijipanga vipi maana kwenye ile muvi inaonesha tulichezea kwanza kichapo kabla ya kurudi tena kuikomboa kagera
Ushindi wa ile vita ni kwakua Amin alishakuwa na maadaui wengi na wengine walipigana kutoka ndani ya Uganda kama Museveni na kundi lake ambao walisaidia jeshi la Ukombozi.
 
Ushindi wa ile vita ni kwakua Amin alishakuwa na maadaui wengi na wengine walipigana kutoka ndani ya Uganda kama Museveni na kundi lake ambao walisaidia jeshi la Ukombozi.
Sky Eclat, asante sana kwa historia murua. Nilikuwa Uganda 1972 hadi 1975. Mengi uliyoeleza ni kweli.
 
Back
Top Bottom