nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Yaani makwasukwasu hela nilidhani walimpa sure boy tu kumbe mgao ulikuwa mrefu hadi kwa refa.KAKATAA GOAL LA WAZI KABISA LA AZAM.
namna hii mpira wetu kamwe hautaeendelea, halafu wewe idd cheche ulikula sh ngapi na wewe kutoka michango ya makwasukwasu?ushaambiwa usimpange sure boy mechi ya yanga huyo ni kama ally ally tu hajitambui,ushaambiwa katumiwa milioni 3 bado ukamuweka,jinga kabisa.
Unajifanya fitina za kibongo unazijua kumbe walewale tu
namna hii mpira wetu kamwe hautaeendelea, halafu wewe idd cheche ulikula sh ngapi na wewe kutoka michango ya makwasukwasu?ushaambiwa usimpange sure boy mechi ya yanga huyo ni kama ally ally tu hajitambui,ushaambiwa katumiwa milioni 3 bado ukamuweka,jinga kabisa.
Unajifanya fitina za kibongo unazijua kumbe walewale tu