Iddi Amin Alikuwa Burudani Tazama Dakika ya 2:40

Iddi Amin Alikuwa Burudani Tazama Dakika ya 2:40

Ukimsikiliza mawazo yake inawezekana huyu mtu Kuna upande wake wa stori tunafichwa.
 
Idd Amin hakuwa mbaya kivile kama tunavyoaminishwa. Waganda wengi walikuwa wakimpenda kutokana na uzalendo wake na kuwajali wazawa. Ndio kiongozi wa kwanza Afrika aliyethubutu kufanya maamuzi ya kuwawezesha wazawa kwa kutaifisha mali kutoka kwa Wahindi waliokuwa wakiwanyonya wazawa na kuwakabidhi wazawa. Mpaka leo hii uchumi wa Uganda kwa asilimia kubwa upo mikononi mwa wazawa. Aidha, Nyerere aliamua kwa sababu zake binafsi kumchukia kisa tu alimpindua rafikiye Obote mengine yote ni propaganda tu hadi kusababisha vita vilivyotutia Watanzania umasikini mkubwa hadi leo.
🤣😂
 
Dawa yako ni kugongewa yai bichi mumeo akirudi akute utelezi
Asifuye mvua imemnyea!!......ulisha gongewa weye ukiona ivo!! ...sie ke mbona ndo kazi yetu shega tu!! lkn sasa ugongewe weye!! itakuwaje yaani kwa shobo hizi?? ulishazoea!
 
Bora umempasha mkuu, kuna watu akili zao vinyesi humu
Tatizo shule!! kwani hujui kinyesi ni mbolea??.. ...michicha mnayo kula hapo jijini inatokea Bonde la Msimbazi, Mabibo Hostel yaani kule ni vinyesi tupu vya wala vihepe.....pia ni uhai kwa mtoaji kinyesi .

km hujaelewa kuree Mara kure Tarime kwa Mashujaa wa jesi lenu hapo kina gemwa km kichure. ..,,lishe bora kabisa......km hujui rudi shule ukasome upya...una avatar kibaoooo!! unaficha nini?... ???

wala kinyesi sasa walimuondoa Idd amini, mpaka leo bado wanalisha jijini DSM Mayai bora kabisa kutoka kipunguni, mwanaghati nk! ...jaribu kula kinyesi upate akili mingi wewe! pesa, Mali uachane na ujinga wa kubishana na wanawake wewe! tena waliokuzaa!!
nachalea sema km hutumiki basi ni bahati!..si kwa shobo hizi!
 
MBONA UME PANIKI SANA? MTOTO WA NJE WA IDD AMIN NINI?
Niki panic hutavumilia! .....lkn ndo ukweli ... wenye shule ndogo ndogo ni rahisi sana kuwajua ! kujichekesha tuuuu!! vitu vya hovyo hovyo! ...shule zenye kayumba!! sijui kujua kiingereza kuna nini??? mbona wafaransa hawataki hata kukisikia???
 
Niki panic hutavumilia! .....lkn ndo ukweli ... wenye shule ndogo ndogo ni rahisi sana kuwajua ! kujichekesha tuuuu!! vitu vya hovyo hovyo! ...shule zenye kayumba!! sijui kujua kiingereza kuna nini??? mbona wafaransa hawataki hata kukisikia???
Tulia basi....tuliza munkari sister... Mpaka unakosea kuandika. Why umepanic hivi? Wewe ni nani yake Nduli Idd Amini Dada? Una uhusino gani na watoto wake? Una elimu kiwango gani? Naona Kiingereza kinakushinda na kiswahili pia.
 
Tulia basi....tuliza munkari sister... Mpaka unakosea kuandika. Why umepanic hivi? Wewe ni nani yake Nduli Idd Amini Dada? Una uhusino gani na watoto wake? Una elimu kiwango gani? Naona Kiingereza kinakushinda na kiswahili pia.
Weye ndo umepanic mnatujazia saver bure!!! kiingereza kwani mie mwingereza??? mbona wao wa British hawajui kiswahili??...acha kasumba za st kayumba hizo!! unasikia dogo!
 
Weye ndo umepanic mnatujazia saver bure!!! kiingereza kwani mie mwingereza??? mbona wao wa British hawajui kiswahili??...acha kasumba za st kayumba hizo!! unasikia dogo!
Sister ume panic sana... Shida nini lakini? Umeolewa na mmoja ya watoto wake?
 
Nenda moja kwa moja 43:13 hadi dakika ya 46:46 sikia Idd Amin alivyokuwa akitajwa nchini kwake

 
Back
Top Bottom