Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂Idd Amin hakuwa mbaya kivile kama tunavyoaminishwa. Waganda wengi walikuwa wakimpenda kutokana na uzalendo wake na kuwajali wazawa. Ndio kiongozi wa kwanza Afrika aliyethubutu kufanya maamuzi ya kuwawezesha wazawa kwa kutaifisha mali kutoka kwa Wahindi waliokuwa wakiwanyonya wazawa na kuwakabidhi wazawa. Mpaka leo hii uchumi wa Uganda kwa asilimia kubwa upo mikononi mwa wazawa. Aidha, Nyerere aliamua kwa sababu zake binafsi kumchukia kisa tu alimpindua rafikiye Obote mengine yote ni propaganda tu hadi kusababisha vita vilivyotutia Watanzania umasikini mkubwa hadi leo.
Toa upumbavu hapa.Imeandikwa nanukuu ....''kinywa cha mpumbavu hunena yaujazayo Moyo!''...
wale waleee!! hawana jipya!..safari hii mtakoma tuuu!!Toa upumbavu hapa.
Asifuye mvua imemnyea!!......ulisha gongewa weye ukiona ivo!! ...sie ke mbona ndo kazi yetu shega tu!! lkn sasa ugongewe weye!! itakuwaje yaani kwa shobo hizi?? ulishazoea!Dawa yako ni kugongewa yai bichi mumeo akirudi akute utelezi
Tatizo shule!! kwani hujui kinyesi ni mbolea??.. ...michicha mnayo kula hapo jijini inatokea Bonde la Msimbazi, Mabibo Hostel yaani kule ni vinyesi tupu vya wala vihepe.....pia ni uhai kwa mtoaji kinyesi .Bora umempasha mkuu, kuna watu akili zao vinyesi humu
Niki panic hutavumilia! .....lkn ndo ukweli ... wenye shule ndogo ndogo ni rahisi sana kuwajua ! kujichekesha tuuuu!! vitu vya hovyo hovyo! ...shule zenye kayumba!! sijui kujua kiingereza kuna nini??? mbona wafaransa hawataki hata kukisikia???MBONA UME PANIKI SANA? MTOTO WA NJE WA IDD AMIN NINI?
Tulia basi....tuliza munkari sister... Mpaka unakosea kuandika. Why umepanic hivi? Wewe ni nani yake Nduli Idd Amini Dada? Una uhusino gani na watoto wake? Una elimu kiwango gani? Naona Kiingereza kinakushinda na kiswahili pia.Niki panic hutavumilia! .....lkn ndo ukweli ... wenye shule ndogo ndogo ni rahisi sana kuwajua ! kujichekesha tuuuu!! vitu vya hovyo hovyo! ...shule zenye kayumba!! sijui kujua kiingereza kuna nini??? mbona wafaransa hawataki hata kukisikia???
Weye ndo umepanic mnatujazia saver bure!!! kiingereza kwani mie mwingereza??? mbona wao wa British hawajui kiswahili??...acha kasumba za st kayumba hizo!! unasikia dogo!Tulia basi....tuliza munkari sister... Mpaka unakosea kuandika. Why umepanic hivi? Wewe ni nani yake Nduli Idd Amini Dada? Una uhusino gani na watoto wake? Una elimu kiwango gani? Naona Kiingereza kinakushinda na kiswahili pia.
Sister ume panic sana... Shida nini lakini? Umeolewa na mmoja ya watoto wake?Weye ndo umepanic mnatujazia saver bure!!! kiingereza kwani mie mwingereza??? mbona wao wa British hawajui kiswahili??...acha kasumba za st kayumba hizo!! unasikia dogo!