Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Issue sio kupata nahodha muzuri, kwenye huo msafara wa kwenda kuvua basi hakikisha anakuwapo mtu wako mmoja mwenye akili na mwaminifu, kuibiwa itakuwa ngumu sana. Mimi nimeifanya hiyo business pale Mwanza miaka fulani.
Mkuu wangu mpaka unahodha na uvuvi..?? Nini sasa hujafanya..?🙌🤭
 
Me naamini pesa Kwa Dar ipo kwenye usafirishaji na vyakula.
Ila me naaminia usafirishaji
Iyo million 30 unanunu a bajaji used zenye hali nzuri kabisa Kwa million 5 unawapa vijana wanakupa hesabu ya 30 kila siku kwaiyo Kwa siku unaingiza 180,000 ambayo si haba
 
Niwe nimewahi kushika ama la!,haiondoi maana halisi kuwa sio pesa ndefu
Kaka; kwani pesa ndefu ni sh ngapi? Hiyo figure ulionayo kichwani mwako, wengine wataiona kama pesa ya kawaida sana. Ndio maana hata definition ya utajiri nayo inategemea na location uliopo. Kwa muktadha wa mjadara hu, tufanye hiyo 30M ni pesa ndefu
 
Barbershop uwe makini sana na eneo au location yako maana huwa inasumbua kupata wateja wa kutosha.
 
Good idea.
Mimi umilionea niliuotea hivi.
Nilifungua DUKA LA UWAKALA WA LINE ZOTE KATIKA ENEO LA MPAKA WA KENYA NA TZ.
THEN NIKAWEKA MTAJI WA MILLION 15.
NIKATAFUTA LINE ZA KENYA ZA SAFARICOM MPESA.
KISHA NIKATAFUTA KUWA WAKALA WA BENKI.. CRDB WAKALA NA NMB NA NBC KWA TANZANIA.
THEN KWA KENYA NKAPATA UWAKALA WA BENKI YA EQUITY BANK NA KCB BANK.

Hapa nikawa nimepata access ya kuwa foreign exchange agency kwa sababu wateja wangu wengi walikuwa ni wasafiri na wafanyabishara wanaoutumia bandari ya Mombasa na kuchukua mzigo Nairobi. Mara zote wanapokuja kwangu huitaji kutoa voda mpesa then niwapatie ya kenya kuepuka usumbufu.
Kupitia tu hapa kwa siku nikawa nalaza hadi laki 6 faida.

Baada ya wateja kuniamini wakawa wananitumia fedha zao wakiwa mikoani (arusha, Dodoma, iringa) then mimi ninawatumia wauazaji wa mizigo yao.

Ukiwa mpakani utakuwa na wateja tofauti tofauti ni wewe tu kuwa muaminifu.
1. Wauzaji wa mirungi (kumbuka mrungi kenya huwà ni legal so wewe kama wakala mwenye access na uwakala wa nchi mbili unachokifanya ni kutakatisha fedha zao coz haziwezi kuwafikia directly so muuza mrungi wa TZ atakutumia wewe wakala kupitia line ya wakala mwingine kama float then wewe utamtumia muuzaji wa kenya wa mrungi kupitia mpesa safaricom).

2. Ukiwa mpakani pia unakuwa na access ya kuwa wakala wa CLEARING AGENCY, INSURANCE ETC.
Hongera mkuu kwa mafanikio ila umetoa code sana!
 
tafuta flem mahala palipochangamka hapo mjn daslam then unakuja mikoan mfn,mbeya , iringa au popte una nunua mfano mpunga na mahnd unaongza thaman kwa kusaga unga wa sembe au dona kwa hay mahnd. kw mpng unaukoboa unapta mchle safi unasafilsha had dar kwny flem yak unaanza kuuza talatibu huku ukijtahd kutafta wateja kwa nguv zk zte.. angalizo( ili kupata mpunga mzul hakikisha unawah kujumua mzgo mwanzon mwa msim wa mavuno mfno mwez wa 4,5 wa 6 ucvuke kwa mbey na rukwa)
 
Uganda mbona mbali sana, Zamani Arusha walikua vizuri sana lakini IRINGA kwa mikate Tanzania nzima hawana mpinzani wana kitu cha Tosti hatari tupu, Dar hakuna mkate mzuri tunateseka tu
tosti ni kweli haina mpizan.lazima nipite hapo dukan kwa asas nnichkue naingia M.R uji wa wapemba narudi mageton frelimo tis nalala
 
Back
Top Bottom