Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Biashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule

1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda

2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa


3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
Hiyo namba 1 wachaga wanaiwezea sana,kuna wachaga fulani karibu na nyumbani kwangu wanaifanya hiyo ukiwaona wamezubaazubaa kama wajinga ila wanauza hatari.
Tena hiyo ukitaka uijulie unaweka kwenye kona inayotenganisha mji mpya wenye masaiti mapya na mji wa zamani hapo utauza sana.
 
Biashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule

1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda

2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa


3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
Ww sasa ndo umejua pa kupigia pesa

Mm ninatarajia kuanza hiyo ya chakula soon

Then badae natafanya ya mavazi

Kikubwa ni kuifanya biashara yako iwe na utofauti kidogo..
 
Good idea.
Mimi umilionea niliuotea hivi.
Nilifungua DUKA LA UWAKALA WA LINE ZOTE KATIKA ENEO LA MPAKA WA KENYA NA TZ.
THEN NIKAWEKA MTAJI WA MILLION 15.
NIKATAFUTA LINE ZA KENYA ZA SAFARICOM MPESA.
KISHA NIKATAFUTA KUWA WAKALA WA BENKI.. CRDB WAKALA NA NMB NA NBC KWA TANZANIA.
THEN KWA KENYA NKAPATA UWAKALA WA BENKI YA EQUITY BANK NA KCB BANK.

Hapa nikawa nimepata access ya kuwa foreign exchange agency kwa sababu wateja wangu wengi walikuwa ni wasafiri na wafanyabishara wanaoutumia bandari ya Mombasa na kuchukua mzigo Nairobi. Mara zote wanapokuja kwangu huitaji kutoa voda mpesa then niwapatie ya kenya kuepuka usumbufu.
Kupitia tu hapa kwa siku nikawa nalaza hadi laki 6 faida.

Baada ya wateja kuniamini wakawa wananitumia fedha zao wakiwa mikoani (arusha, Dodoma, iringa) then mimi ninawatumia wauazaji wa mizigo yao.

Ukiwa mpakani utakuwa na wateja tofauti tofauti ni wewe tu kuwa muaminifu.
1. Wauzaji wa mirungi (kumbuka mrungi kenya huwà ni legal so wewe kama wakala mwenye access na uwakala wa nchi mbili unachokifanya ni kutakatisha fedha zao coz haziwezi kuwafikia directly so muuza mrungi wa TZ atakutumia wewe wakala kupitia line ya wakala mwingine kama float then wewe utamtumia muuzaji wa kenya wa mrungi kupitia mpesa safaricom).

2. Ukiwa mpakani pia unakuwa na access ya kuwa wakala wa CLEARING AGENCY, INSURANCE ETC.
Good idea.
Mimi umilionea niliuotea hivi.
Nilifungua DUKA LA UWAKALA WA LINE ZOTE KATIKA ENEO LA MPAKA WA KENYA NA TZ.
THEN NIKAWEKA MTAJI WA MILLION 15.
NIKATAFUTA LINE ZA KENYA ZA SAFARICOM MPESA.
KISHA NIKATAFUTA KUWA WAKALA WA BENKI.. CRDB WAKALA NA NMB NA NBC KWA TANZANIA.
THEN KWA KENYA NKAPATA UWAKALA WA BENKI YA EQUITY BANK NA KCB BANK.

Hapa nikawa nimepata access ya kuwa foreign exchange agency kwa sababu wateja wangu wengi walikuwa ni wasafiri na wafanyabishara wanaoutumia bandari ya Mombasa na kuchukua mzigo Nairobi. Mara zote wanapokuja kwangu huitaji kutoa voda mpesa then niwapatie ya kenya kuepuka usumbufu.
Kupitia tu hapa kwa siku nikawa nalaza hadi laki 6 faida.

Baada ya wateja kuniamini wakawa wananitumia fedha zao wakiwa mikoani (arusha, Dodoma, iringa) then mimi ninawatumia wauazaji wa mizigo yao.

Ukiwa mpakani utakuwa na wateja tofauti tofauti ni wewe tu kuwa muaminifu.
1. Wauzaji wa mirungi (kumbuka mrungi kenya huwà ni legal so wewe kama wakala mwenye access na uwakala wa nchi mbili unachokifanya ni kutakatisha fedha zao coz haziwezi kuwafikia directly so muuza mrungi wa TZ atakutumia wewe wakala kupitia line ya wakala mwingine kama float then wewe utamtumia muuzaji wa kenya wa mrungi kupitia mpesa safaricom).

2. Ukiwa mpakani pia unakuwa na access ya kuwa wakala wa CLEARING AGENCY, INSURANCE ETC.
Ivi kutuma hela toka mpesa kenya kwenda Tz makato ni bei gani?
 
Uganda mbona mbali sana, Zamani Arusha walikua vizuri sana lakini IRINGA kwa mikate Tanzania nzima hawana mpinzani wana kitu cha Tosti hatari tupu, Dar hakuna mkate mzuri tunateseka tu
Kwa tosti nakubal.naichkua sana hapa mionbon duka la asas.ule mkate hata kama chai haina sukar aloo.inaenda.
 
Issue sio kupata nahodha muzuri, kwenye huo msafara wa kwenda kuvua basi hakikisha anakuwapo mtu wako mmoja mwenye akili na mwaminifu, kuibiwa itakuwa ngumu sana. Mimi nimeifanya hiyo business pale Mwanza miaka fulani.
Wakimjua snitch watamzamisha baharin
Labda na yeye awe anashiriki.ni kaz ngumu na haina kusema leo mtapata kias gan cha samak maana ni kwenda mungu anajua.
 
Biashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule

1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda

2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa


3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
Mpaka sasa biashara dume ni mgahawa.ingawa changamoto yake ni kuweza kuandaa malisho Dail ya misos
 
Wakimjua snitch watamzamisha baharin
Labda na yeye awe anashiriki.ni kaz ngumu na haina kusema leo mtapata kias gan cha samak maana ni kwenda mungu anajua.
Wakimzamisha wahakikishe na wao hawarudi, huweki mtu wako kwa kificho, unamuweka hata ndugu yako na wao wakiwa wanajua kabisa.
 
Mkuu kwa Hiyo 15M unaweza kuwa na machine pia ya Printing?
 
Habari Wakuu!

Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M).

Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia thread za humu JF.

Kwa miezi 2 nilijikita kufanya tafiti ya thread za zamani na mpya kuhusu aina ya uwekezaji naoweza kufanya kwa kiasi tajwa maxmum 30M. Ila busara ikanituma hiyo hela niwekeze kwenye biashara 2 tofauti kuliko kuwekeza mtaji wote kwenye single business ambapo ni risk.

Hivyo nimeamua rasmi kuwekeza kwenye biashara hizi,
1. Car accessories - 15M
2. Barbershop (Modern & Executive) - 13M

Idea iliyo pending mpaka sasa ni Bakery factory (Uokaji mikate), ambapo hii nitaanza baada ya hizo business 2 hapo juu kutake off.

Hali kadhalika, hizo business 2 nimeziweka kwa phase kiutekelezaji kwa miezi 3 kabla ya kuhamia uwekezaji mwingine. Hii yote ni control mechanism pia kuweka concentration ili kukuza biashara.

Nimeanza na bishara hizo sababu kwangu mimi zina low risk ya kupoteza mtaji pia hata margin profit yake ni nzuri, pia kwa kiusimamizi hazisumbui sana.

Asante JF, see you at the top.
Kwenye Car accessories
 
Kama uko Dar, bakery usiiache mbali kwa sabab nimeona dar badala ya kulishwa mikate wanalishwa sponji. Kwa case study kula mikate ya uganda ndo utaona maana ya kuongeza thamani.

Usisahau baada ya corona watu wametambua umuhim wa kula kw afya, hivyo weka na mashine ya kutengeneza mkate wenye mboga za majan na matunda na ingredients nyingine zinazoongeza kinga ya mwili.
Ukiachilia watu binafs una soko kubwa la taasisi za serkali na binafs kupitia bajet ya hospitality!

Kama we sio muislam fikiria hata kiwanda cha GIN spirits na Vodka inalipa ukijua marketing na wateja ni wapi.
kila la heri.

NAPENDA NENO KUFANIKIWA HATA KAMA MFAIDIKA NI MWINGINE!
Hii nzuri
 
Yote hayo ya kazi mkuu si bora niwe mganga mtaji usinga na kaniki. Mnapenda kumi stress nyie
 
Back
Top Bottom