mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Umemwambia ukweli mtupu Mimi napata shida hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Umemwambia ukweli mtupu Mimi napata shida hii
Hiyo namba 1 wachaga wanaiwezea sana,kuna wachaga fulani karibu na nyumbani kwangu wanaifanya hiyo ukiwaona wamezubaazubaa kama wajinga ila wanauza hatari.Biashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule
1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda
2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa
3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
Kivipi mkuu..Akimiliki boti itapendeza ila akiingia kichwakichwa kwenye hiyo biashara atakiwa harudi na samaki kila akienda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww sasa ndo umejua pa kupigia pesaBiashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule
1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda
2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa
3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
Good idea.
Mimi umilionea niliuotea hivi.
Nilifungua DUKA LA UWAKALA WA LINE ZOTE KATIKA ENEO LA MPAKA WA KENYA NA TZ.
THEN NIKAWEKA MTAJI WA MILLION 15.
NIKATAFUTA LINE ZA KENYA ZA SAFARICOM MPESA.
KISHA NIKATAFUTA KUWA WAKALA WA BENKI.. CRDB WAKALA NA NMB NA NBC KWA TANZANIA.
THEN KWA KENYA NKAPATA UWAKALA WA BENKI YA EQUITY BANK NA KCB BANK.
Hapa nikawa nimepata access ya kuwa foreign exchange agency kwa sababu wateja wangu wengi walikuwa ni wasafiri na wafanyabishara wanaoutumia bandari ya Mombasa na kuchukua mzigo Nairobi. Mara zote wanapokuja kwangu huitaji kutoa voda mpesa then niwapatie ya kenya kuepuka usumbufu.
Kupitia tu hapa kwa siku nikawa nalaza hadi laki 6 faida.
Baada ya wateja kuniamini wakawa wananitumia fedha zao wakiwa mikoani (arusha, Dodoma, iringa) then mimi ninawatumia wauazaji wa mizigo yao.
Ukiwa mpakani utakuwa na wateja tofauti tofauti ni wewe tu kuwa muaminifu.
1. Wauzaji wa mirungi (kumbuka mrungi kenya huwà ni legal so wewe kama wakala mwenye access na uwakala wa nchi mbili unachokifanya ni kutakatisha fedha zao coz haziwezi kuwafikia directly so muuza mrungi wa TZ atakutumia wewe wakala kupitia line ya wakala mwingine kama float then wewe utamtumia muuzaji wa kenya wa mrungi kupitia mpesa safaricom).
2. Ukiwa mpakani pia unakuwa na access ya kuwa wakala wa CLEARING AGENCY, INSURANCE ETC.
Ivi kutuma hela toka mpesa kenya kwenda Tz makato ni bei gani?Good idea.
Mimi umilionea niliuotea hivi.
Nilifungua DUKA LA UWAKALA WA LINE ZOTE KATIKA ENEO LA MPAKA WA KENYA NA TZ.
THEN NIKAWEKA MTAJI WA MILLION 15.
NIKATAFUTA LINE ZA KENYA ZA SAFARICOM MPESA.
KISHA NIKATAFUTA KUWA WAKALA WA BENKI.. CRDB WAKALA NA NMB NA NBC KWA TANZANIA.
THEN KWA KENYA NKAPATA UWAKALA WA BENKI YA EQUITY BANK NA KCB BANK.
Hapa nikawa nimepata access ya kuwa foreign exchange agency kwa sababu wateja wangu wengi walikuwa ni wasafiri na wafanyabishara wanaoutumia bandari ya Mombasa na kuchukua mzigo Nairobi. Mara zote wanapokuja kwangu huitaji kutoa voda mpesa then niwapatie ya kenya kuepuka usumbufu.
Kupitia tu hapa kwa siku nikawa nalaza hadi laki 6 faida.
Baada ya wateja kuniamini wakawa wananitumia fedha zao wakiwa mikoani (arusha, Dodoma, iringa) then mimi ninawatumia wauazaji wa mizigo yao.
Ukiwa mpakani utakuwa na wateja tofauti tofauti ni wewe tu kuwa muaminifu.
1. Wauzaji wa mirungi (kumbuka mrungi kenya huwà ni legal so wewe kama wakala mwenye access na uwakala wa nchi mbili unachokifanya ni kutakatisha fedha zao coz haziwezi kuwafikia directly so muuza mrungi wa TZ atakutumia wewe wakala kupitia line ya wakala mwingine kama float then wewe utamtumia muuzaji wa kenya wa mrungi kupitia mpesa safaricom).
2. Ukiwa mpakani pia unakuwa na access ya kuwa wakala wa CLEARING AGENCY, INSURANCE ETC.
Inategemea na kiwango cha pesa unachotumaIvi kutuma hela toka mpesa kenya kwenda Tz makato ni bei gani?
Bilion moja ndo pesa ndefu?? Pole sana bado hujashika pesa kumbe!!Kuanzia Bilioni moja kiongozi
Kwa tosti nakubal.naichkua sana hapa mionbon duka la asas.ule mkate hata kama chai haina sukar aloo.inaenda.Uganda mbona mbali sana, Zamani Arusha walikua vizuri sana lakini IRINGA kwa mikate Tanzania nzima hawana mpinzani wana kitu cha Tosti hatari tupu, Dar hakuna mkate mzuri tunateseka tu
Wakimjua snitch watamzamisha baharinIssue sio kupata nahodha muzuri, kwenye huo msafara wa kwenda kuvua basi hakikisha anakuwapo mtu wako mmoja mwenye akili na mwaminifu, kuibiwa itakuwa ngumu sana. Mimi nimeifanya hiyo business pale Mwanza miaka fulani.
Mpaka sasa biashara dume ni mgahawa.ingawa changamoto yake ni kuweza kuandaa malisho Dail ya misosBiashara zangu ni tatu tu km yalivyo basics needs nami nacheza mulemule
1.malazi
Hapa nitauza magodoro mashuka mito mablanket net vitanda
2.food
Duka la vyakula la rejareja na mgahawa
3.mavazi
Nguo za mitumba na jeans za dukani na viatu full stop
Wakimzamisha wahakikishe na wao hawarudi, huweki mtu wako kwa kificho, unamuweka hata ndugu yako na wao wakiwa wanajua kabisa.Wakimjua snitch watamzamisha baharin
Labda na yeye awe anashiriki.ni kaz ngumu na haina kusema leo mtapata kias gan cha samak maana ni kwenda mungu anajua.
Kwenye Car accessoriesHabari Wakuu!
Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M).
Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia thread za humu JF.
Kwa miezi 2 nilijikita kufanya tafiti ya thread za zamani na mpya kuhusu aina ya uwekezaji naoweza kufanya kwa kiasi tajwa maxmum 30M. Ila busara ikanituma hiyo hela niwekeze kwenye biashara 2 tofauti kuliko kuwekeza mtaji wote kwenye single business ambapo ni risk.
Hivyo nimeamua rasmi kuwekeza kwenye biashara hizi,
1. Car accessories - 15M
2. Barbershop (Modern & Executive) - 13M
Idea iliyo pending mpaka sasa ni Bakery factory (Uokaji mikate), ambapo hii nitaanza baada ya hizo business 2 hapo juu kutake off.
Hali kadhalika, hizo business 2 nimeziweka kwa phase kiutekelezaji kwa miezi 3 kabla ya kuhamia uwekezaji mwingine. Hii yote ni control mechanism pia kuweka concentration ili kukuza biashara.
Nimeanza na bishara hizo sababu kwangu mimi zina low risk ya kupoteza mtaji pia hata margin profit yake ni nzuri, pia kwa kiusimamizi hazisumbui sana.
Asante JF, see you at the top.
Wewe ni boyaKwahiyo unaaminisha uma kwamba milioni 30 ni pesa ndefu?[emoji276]
Una milioni mia ngapi labda? SI kumkeji jamaa yaani.D!!Milion 30 ni pesa ndefu ndio usikute tangu uzaliwe haujawahi kuzishika
Hii nzuriKama uko Dar, bakery usiiache mbali kwa sabab nimeona dar badala ya kulishwa mikate wanalishwa sponji. Kwa case study kula mikate ya uganda ndo utaona maana ya kuongeza thamani.
Usisahau baada ya corona watu wametambua umuhim wa kula kw afya, hivyo weka na mashine ya kutengeneza mkate wenye mboga za majan na matunda na ingredients nyingine zinazoongeza kinga ya mwili.
Ukiachilia watu binafs una soko kubwa la taasisi za serkali na binafs kupitia bajet ya hospitality!
Kama we sio muislam fikiria hata kiwanda cha GIN spirits na Vodka inalipa ukijua marketing na wateja ni wapi.
kila la heri.
NAPENDA NENO KUFANIKIWA HATA KAMA MFAIDIKA NI MWINGINE!