Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Mawazo mazuri;
Naungana na wewe lkn kuna uchochoro fulani wa pesa ukifanikiwa kuwekeza kwenye uvuvi utapiga pesa zaidi.

Nunua fibre boat, nunua engine horse power 15, tafuta mpemba mpe mashine, awe anabeba wavuvi kwenda kuvua, kazi ifayike pwani ya Dar!
Utanishukuru baadae!!
Akimiliki boti itapendeza ila akiingia kichwakichwa kwenye hiyo biashara atakiwa harudi na samaki kila akienda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good idea.
Mimi umilionea niliuotea hivi.
Nilifungua DUKA LA UWAKALA WA LINE ZOTE KATIKA ENEO LA MPAKA WA KENYA NA TZ.
THEN NIKAWEKA MTAJI WA MILLION 15.
NIKATAFUTA LINE ZA KENYA ZA SAFARICOM MPESA.
KISHA NIKATAFUTA KUWA WAKALA WA BENKI.. CRDB WAKALA NA NMB NA NBC KWA TANZANIA.
THEN KWA KENYA NKAPATA UWAKALA WA BENKI YA EQUITY BANK NA KCB BANK.

Hapa nikawa nimepata access ya kuwa foreign exchange agency kwa sababu wateja wangu wengi walikuwa ni wasafiri na wafanyabishara wanaoutumia bandari ya Mombasa na kuchukua mzigo Nairobi. Mara zote wanapokuja kwangu huitaji kutoa voda mpesa then niwapatie ya kenya kuepuka usumbufu.
Kupitia tu hapa kwa siku nikawa nalaza hadi laki 6 faida.

Baada ya wateja kuniamini wakawa wananitumia fedha zao wakiwa mikoani (arusha, Dodoma, iringa) then mimi ninawatumia wauazaji wa mizigo yao.

Ukiwa mpakani utakuwa na wateja tofauti tofauti ni wewe tu kuwa muaminifu.
1. Wauzaji wa mirungi (kumbuka mrungi kenya huwà ni legal so wewe kama wakala mwenye access na uwakala wa nchi mbili unachokifanya ni kutakatisha fedha zao coz haziwezi kuwafikia directly so muuza mrungi wa TZ atakutumia wewe wakala kupitia line ya wakala mwingine kama float then wewe utamtumia muuzaji wa kenya wa mrungi kupitia mpesa safaricom).

2. Ukiwa mpakani pia unakuwa na access ya kuwa wakala wa CLEARING AGENCY, INSURANCE ETC.
Bila shaka huu mpaka ni wa Holili/Tarakea
 
Kwa hiyo haya matejesho ya 50-60K per day ni kuwanufaisha madereva na makomda??
Normally mahesabu kwa siku ni 80k kwa gari ambayo ni mpya. Trip za 50 to 60k ni kama za mburahati.. na mwananyamala buguruni.. huko watu wanakimbizia gari zilizochoma.. tena 50 to 60k ni kwa tajiri ambaye hana njaa sana.. au ana mikangafu mingi
 
Kwahiyo unaaminisha uma kwamba milioni 30 ni pesa ndefu?[emoji276]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nchi hii buana
 
Uganda mbona mbali sana, Zamani Arusha walikua vizuri sana lakini IRINGA kwa mikate Tanzania nzima hawana mpinzani wana kitu cha Tosti hatari tupu, Dar hakuna mkate mzuri tunateseka tu

Tosti ya iringa nimekula,ni mizuri sana ila hata dar kuna superloaf ni slices ni nzuri,ila ni kweli iringa wako juu kwa kuoka mikate
 
Back
Top Bottom