Wakuu
Nimekaa natafakari nianzishe biashara gani ambayo itakuwa unique kwa kiasi fulani na kuniwezesha kupiga pesa bila purukushani na kabla ya ushindani kuwa mkubwa
Nimeona nije na wazo hili pia nawaomba wanajukwaa kushauri zaidi na kuliboresha pia
Nimefikiria kutoka na WAZO LA KITUO CHA MAFUTA YA KULA, ndio nafikiria kuanzisha kituo cha mafuta ya kula tu pasipokuchanganya na bidhaa zingine
Hapa nitachanganya mafuta ya kula ya aina zote na yatauzwa kwa bei ya chini kidogo tofauti na wauzaji wengine wa rejareja
Biashara hii naona naweza kuifanya maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam yenye mzunguko mkubwa wa watu
Nachowaomba wanajukwaa ni yafuatayo;
1.wapi nitatunua mafuta ya jumla yanayokuwa yamepakiwa kwenye madumu ili nikiyapata niyauze rejareja kuanzia robo lita
2. Kiwango cha mtaji ninachoweza kuanza nacho ni milion 2, je kinatosha kuanza biashara hii?
3. Faida katika biashara hii inaweza kuwa kiasi gani pia risks zake ziko vipi
Nawasilialsha
Nimekaa natafakari nianzishe biashara gani ambayo itakuwa unique kwa kiasi fulani na kuniwezesha kupiga pesa bila purukushani na kabla ya ushindani kuwa mkubwa
Nimeona nije na wazo hili pia nawaomba wanajukwaa kushauri zaidi na kuliboresha pia
Nimefikiria kutoka na WAZO LA KITUO CHA MAFUTA YA KULA, ndio nafikiria kuanzisha kituo cha mafuta ya kula tu pasipokuchanganya na bidhaa zingine
Hapa nitachanganya mafuta ya kula ya aina zote na yatauzwa kwa bei ya chini kidogo tofauti na wauzaji wengine wa rejareja
Biashara hii naona naweza kuifanya maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam yenye mzunguko mkubwa wa watu
Nachowaomba wanajukwaa ni yafuatayo;
1.wapi nitatunua mafuta ya jumla yanayokuwa yamepakiwa kwenye madumu ili nikiyapata niyauze rejareja kuanzia robo lita
2. Kiwango cha mtaji ninachoweza kuanza nacho ni milion 2, je kinatosha kuanza biashara hii?
3. Faida katika biashara hii inaweza kuwa kiasi gani pia risks zake ziko vipi
Nawasilialsha