felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Katika pitapita zangu sijaona thread mahususi yenye idea mbalimbali za biashara ama uwekezaji itakayoweza kuwasaidia wenye mtaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500 kuanzisha biashara zitakazowasaidia kupata faida.
Nakaribisha maoni na mawazo mbalimbali ya aina ya biashara za kufanya kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia milioni 100 hadi 500.
Karibu.
Nakaribisha maoni na mawazo mbalimbali ya aina ya biashara za kufanya kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia milioni 100 hadi 500.
Karibu.