Idea mbalimbali za biashara kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500

Idea mbalimbali za biashara kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500

huo mtaji $50,000 hadi $200,000? mbona wapo humu?mimi nawewe tunaweza ona labda $50,000 ni nyingi lakini ni mtaji wa kawaida sana.

Tena wengine wanasema wanamtaji wa mil 20 lakini nikutafuta mawazo tu
Hebu mtag mmoja mwenye huo mtaji aje atupe mawazo
 
Umejuaje mkuu...nimegundua pia kuna wadau hawataki maneno mengi na pengine hua wanaingia kama guests wansoma kimyakimya wangependa kufaidika na mawazo na idea mbalimbali
Utoe wazo utafaidikaje na hilo wazo?, mimi nikitoa wazo itabidi nitoe na maelekezo ikibidi hata mchanganua wa hilo wazo, (business plan)
 
Kuna idea nyingine ya kuzalisha unga wa mahindi na kufanya packaging na kwenda kuuza Kenya .
Unajenga jengo na kufunga mashine za kusaga na kukoboa unga halafu unapack kwenye mifuko .
Wakenya wanakula sana ugali na unga wa mahindi ni big deal huko kwao hao nyang'au
 
Naomba nichangie kidogo . kuweka hela kwenye bond sio uvivu wa kufikiri ,matajiri wote hao unaowajua asilimia kubwa wanaweka hela huko baada ya kukusanya kwenye biashara na vyanzo vingine ,

Huwezi weka hela zote kwenye biashara ,kuna kipindi umri ukifika huwezi kimbizana na biashara kwa kiwango kikubwa . lets say 50% kwenye biashara ,30% kwenye bond ,20% cash hio ndio mfano portfolio . na ni dunia nzima ipo hivyo.

Yes nilitangulia kusema hili, kwamba kwa matajiri wananunua bonds kwa pesa za ziada lakini kwa wawekezaji wanaoogopa risks, walioajiriwa, wasiotaka kuwa active kwenye biashara nk ndio kundi la pili, sijamaanisha uvivu wa kufikiri, nimetafsiri neno "passive investments" ambayo unaweza kuweka pesa yako wakafanya biashara wengine na wewe ukachukua faida yako tu.
 
Kwa ulimwengu wa sasa, Wenye fedha zao hutafuta mawazo mapya, tena kwa gharama kubwa ili kukuza zaidi biashara zao. Huajiri watu wa kuwashauri na ku_plan mienendo ya biashara zao.

Kwa mataifa yaliyo endelea huanzishwa mashindano mbali mablia hasa katika vyuo vikuu ili kupata best brain na kuwekeza ili wawasaidie katika hizo biashara zao pindi wakkihitimu.

Hivyo hata mweznye ZERO amount ya fedha, anaweza kuwa na wazo bora zaidi la bashara la kumshawishi mwenye bilioni zake na akakubali kuwekeza kwake.
Ili ndilo ufanyika na kuweza kuwagroom wanafunzi wenye mawazo hayo
 
Kwa ulimwengu wa sasa, Wenye fedha zao hutafuta mawazo mapya, tena kwa gharama kubwa ili kukuza zaidi biashara zao. Huajiri watu wa kuwashauri na ku_plan mienendo ya biashara zao.

Kwa mataifa yaliyo endelea huanzishwa mashindano mbali mablia hasa katika vyuo vikuu ili kupata best brain na kuwekeza ili wawasaidie katika hizo biashara zao pindi wakkihitimu.

Hivyo hata mweznye ZERO amount ya fedha, anaweza kuwa na wazo bora zaidi la bashara la kumshawishi mwenye bilioni zake na akakubali kuwekeza kwake.
Bahresa ndo mambo yake sana hay. Hata ile Sarafu, azam pesa ni vijana wadogo tu wamepeleka mawazo yao yakatiki
 
Ili ndilo ufanyika na kuweza kuwagroom wanafunzi wenye mawazo hayo
Kuna wakati nilisikia MO alikuwa na hii program ya kutoa ufadhiri (Ila sina hakika - Ibakie kama tetesi)
Bahresa ndo mambo yake sana hay. Hata ile Sarafu, azam pesa ni vijana wadogo tu wamepeleka mawazo yao yakatiki
Hii imekaa vyema sana, Mifano ha kuwepo hapa nchini.
 
Hao watu humu jf hawapo kijana, jf hali zetu tunazijua wenyew. Hasahasa tuliowahi kuonana ndo kabisaaaaaaaaa.. siku nimejikoki kwenda kuonana na Evelyn Salt nilivaa kanzu nikajua nn, yeye mwenyew kavaa kijora cha elfu 6 mia 5. Tulivyoonana tu stendi kila mtu akakimbia

Mm tena kuonana na watu wanaotoka JamiiForums basi
😅😅😅😅
 
Kuna wakati nilisikia MO alikuwa na hii program ya kutoa ufadhiri (Ila sina hakika - Ibakie kama tetesi)

Hii imekaa vyema sana, Mifano ha kuwepo hapa nchini.
Ukiwa na funds ni rahisi sana kufanya hio njia..matajir wananufaika na hionjia.
 
Tafuta Consutant atakupa eadia sio hapa umepate 100M to 500M unakuja hapa kwa walala hoi kutaka eadia c mon.
 
Kuna idea ya kufunga plant ndogo ya kuzalisha distilled water ,maji yanayotumika mahospitalini kama dripu , kusafisha vyombo vya upasuaji hospitalini na vituo vya afya ,pia kwenye mitambo mikubwa kama generators kubwa kupoza joto kwenye engines nk
 
Kwanza nikupongeze then Nasave hii for future use, ni vijana wachache sana wanaweza hata kufikiria tu acha kujiuliza kitu cha namna hii! Nimekuwa nikiwaza sana mradi wa mama Samia wa green energy ambao anapromote gas za kutoka Uarabuni na Ulaya, why not green energy kutoka kwenye mazao? Nafaka yoyote inaweza kuwa gas ya kutumia majumbani na ikawa liquified ikauzwa kwa nusu lita, lita moja au atakavyo mnunuzi na ikaenda hadi vijijini kabisa wakaachana na mkaa na kuni! Ambayo hata mtu maskini kabisa anaweza kununua kwa bei ya mkaa wanaotumia sasa hivi. Zipo nchi zilizofanikiwa sana lkn watanzania wakisikia green energy (hasa viongozi) wanajua ni gas tu ya petroleum hatuna kujiongeza kabisa kwa kuwa kule kuna possibility ya upigaji probably
Wakati mama anahangaika kuwatafutia mjomba zake soko la gesi na umeme wa kulipia wengine tupambane kuja na hii kuanzia ngaz ya kaya. Sijui vyuo vyetu vya tech huwa wanasomea nini hasa.
 

Attachments

  • 2f2310720fe6754fd326771e7e76959b.mp4
    12.1 MB
Hao watu humu jf hawapo kijana, jf hali zetu tunazijua wenyew. Hasahasa tuliowahi kuonana ndo kabisaaaaaaaaa.. siku nimejikoki kwenda kuonana na Evelyn Salt nilivaa kanzu nikajua nn, yeye mwenyew kavaa kijora cha elfu 6 mia 5. Tulivyoonana tu stendi kila mtu akakimbia

Mm tena kuonana na watu wanaotoka JamiiForums basi
😅😅😅😅
 
Hbr waheshimiwa! Nipo maeneo ya kanda ya ziwa nina magunia ya mahindi ya debe sita natafuta mteja namba yangu ni 0763891700
 
Back
Top Bottom