Jamii forum wengi wao ni masikini na WA daraja la kati wenye uwezo wa kumiliki vi ist na wachache sana prado landcruser.Maana wengi Huwa wanalalamika usafiri dar Kwa maana wanapanda daladala,Hivyo,mtu anayepanda daladala ni ngumu sana kuwa na pesa milioni Miatano never