Idea mbalimbali za biashara kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500

Idea mbalimbali za biashara kwa wenye mitaji mikubwa kuanzia Milioni 100 hadi 500

Kununua bonds nilitangulia kusema ni uwekezaji wa watu waoga na wavivu so unafanyiwa kila kitu na BOT, unawapa account zako tu na terms mlizowekeana tu wao wanakurushia mlivyokubaliana so huna sababu ya kuhangaika kumonitor kama biasha zingine zinazokutaka kuwa actively involved kwenye operations au management. Matajiri wengi wanaweka pesa zao za ziada tu ambazo hawataki zizunguke kila siku na majority ya banks ndio biashara yao, ndio maana wanaweka masharti magumu kukopesha raia. Wanajua kuna uwekezaji rahisi kule kwenye bonds, wateja wanapoweka pesa zao, bank inazichukua inanunua bonds, same as mifuko ya jamii.
Fractional reserve banking , actually ni biggest scam of all time ,Yaani wewe unaweka pesa benki halafu wao wanakukata makato ya kiwithdraw na kuhifadhi pesa na bado wanaenda kulend pesa yako na hawakupi gawio la kueleweka au wanakupa kidogo sana na bado hapo hapo ikitokea bank ikafirisika huwa hulipwi kiasi chote unapewa nusu au sometimes nothing .
 
Atakwambia 500m ni pesa ya nyanya tu hiyo watu wanamiliki mabilion
Mabilioni for what? huwa nashangaa sana mtu unamiliki mapesa ya kutosha af bado unaishi Bongo na unaenda Ofisini kila siku, ili iweje? Kwanini usihamishie makazi yako Dubai au Ibiza huko ule maisha mpaka mauti yatapokukuta kuliko kuendelea tena kupalangana maisha kama mtu anaejitafuta?

Unakuta mfanyabiashara yeye kutwa kuzungukia miradi yake au anashindia dukani 24/7 mpaka unabaki unajiuliza sasa huyu hizi pesa zote anazozitafuta kwa uchungu hivi ni zanini kama hawezi hata kutenga muda wa kwenda kuzitumia au anasubiri ndugu waje kuzifakamia baada ya yeye kufa?

Anyway, kuna msemo naupenda unasema "don't forget to live the life you promised to live yourself" i guess it doesn't apply to everyone
 
Ok mkuu kwa ambaye ana hio 250m akawekeza huko, atarudisha mtaj wake ndani ya muda gani na ka ruti.kusafirisha mizigo, wanachaji kiasi gani kwa trip..je hakuna ada za serikali hapo
Ada za serikali ni wakati wa kusajili utachagua usajilie Zanzibar au Tanzania Bara. Vizuri ukasajilia Zanzibar, meli ikiwa bandarini utalipia gharama za kuwa bandarini na kutumia vifaa kwa meli ndogo gharama ni za kawaida kila inapoenda kushusha na kupakia.

Chombo kikiwa vizuri ndani ya mwaka unarudisha mtaji. Gharama za usafirishaji zinachajiwa kwa ukubwa wa mzigo(CBM). Kwa meli ndogo za tani chini ya 80 mapato kutokana na mzigo Kwa trip inakuwa 40 mpaka 35m. Gharama za bandari,mafuta,vibarua inaweza kufika 10m mpaka 15m, makadirio ya faida baada ya kutoa matumizi unaweza kupata kuanzia 20m kwenda juu
 
Fractional reserve banking , actually ni biggest scam of all time ,Yaani wewe unaweka pesa benki halafu wao wanakukata makato ya kiwithdraw na kuhifadhi pesa na bado wanaenda kulend pesa yako na hawakupi gawio la kueleweka au wanakupa kidogo sana na bado hapo hapo ikitokea bank ikafirisika huwa hulipwi kiasi chote unapewa nusu au sometimes nothing .
Like I said its preferred investment by lazy and skeptical people, watu hatufanani? Ni kama kuwekeza voda nani kagain cha maana hadi leo? Hiyo 100m kuweka kwenye bonds kwa mwaka upate chini ya 20m kwa mfanyabishara makini ndani ya mwaka itadouble au itakuwa 300-400m
 
Serious huwa tuna magodown ya mitumba mikoa mi5 nchini mzigo ukishuka hapo bandari tunapeleka mikoani kwa ajili ya kuwauzia wauzaji wa baro moja moja

Kwa anaetaka kufahamu zaidi na aulize swali lolote nitamjibu kiufasaha
Barikiwa mkuu.
 
Kuna idea pia ya kutengeneza biodiesel (ethanol) nzito kama mbadala wa ,mafuta mazito ya diesel haya yanayotumika kuendesha heavy machines na engines za magari makubwa kwa kutumia malighafi za takataka zitokanazo na mazao kama makapi ya mahindi , mchele ,miwa nk
E eeeeh wenzetu tafiti zinaendelea kila siku kugundua namna ya kupata fueli tokea humo
 
Ahsante.

Huwa ninafuatilia mambo ya biofuel ndio maana.
Mkuu samahan naomba nikuulize, ni material gani inatumika katika uzalishaji(manufacturing) wa fuel na petrol ? Kuna mtu kawekeza huko na imempatia pesa nyingi
 
Mabilioni for what? huwa nashangaa sana mtu unamiliki mapesa ya kutosha af bado unaishi Bongo na unaenda Ofisini kila siku, ili iweje? Kwanini usihamishie makazi yako Dubai au Ibiza huko ule maisha mpaka mauti yatapokukuta kuliko kuendelea tena kupalangana maisha kama mtu anaejitafuta?

Unakuta mfanyabiashara yeye kutwa kuzungukia miradi yake au anashindia dukani 24/7 mpaka unabaki unajiuliza sasa huyu hizi pesa zote anazozitafuta kwa uchungu hivi ni zanini kama hawezi hata kutenga muda wa kwenda kuzitumia au anasubiri ndugu waje kuzifakamia baada ya yeye kufa?

Anyway, kuna msemo naupenda unasema "don't forget to live the life you promised to live yourself" i guess it doesn't apply to everyone
Mfalme wetu ndo ulikuw unawaqmbia wenzio utakuja kufungua biashara ambayo Tanzania haijawahi kufanywa au alikuaga nani yule
 
Ok mkuu kwa ambaye ana hio 250m akawekeza huko, atarudisha mtaj wake ndani ya muda gani na ka ruti.kusafirisha mizigo, wanachaji kiasi gani kwa trip..je hakuna ada za serikali hapo
Wakati huu ndio mzuri kuwekeza huko, mwezi uliopita Suma JKT Company wameingia ubia na serikali ya Comoro kwenye kazi za ujenzi na biashara.

Na hawana Chombo cha kubeba material za ujenzi zote zinatoka Tanzania, biashara ya mifugo hawana meli ya kubeba mifugo. Inakuwa nafasi nzuri kwako kama msafirishaji maana wigo wa mizigo ni mkubwa sana
 
Mkuu samahan naomba nikuulize, ni material gani inatumika katika uzalishaji(manufacturing) wa fuel na petrol ? Kuna mtu kawekeza huko na imempatia pesa nyingi
Kwa bongo sina mfano wa mtu fulani kufanikiwa kwenye hilo. Maana hata kwa nchi za ulaya mfano brazil sheria ya kuweka pombe kwenye petroli ndio inayowabeba hao wazaloshaji la sivyo sidhani kama ni biashara inayofanyika kibinafsi.

Mwenye wazo(mmojawapo mimi)la kuwekeza labda adiversify sana na kuzalisha hadi vitu kama sanitizer na methylated spirits labda ila kutegemea soko la fuel bila sheria kali za ulazima wa gasohol kuwepo sijajua kama unaweza kutoboa.

Niliwahi kuwaza kwamba bodaboda na bajaji walio maeneo ya milima wanaweza kuvutiwa kuwa wateja wa gasohol ili kuongeza uwezo mlimani. Lakini ni nadharia tu
 
Unakuta mfanyabiashara yeye kutwa kuzungukia miradi yake au anashindia dukani 24/7 mpaka unabaki unajiuliza sasa huyu hizi pesa zote anazozitafuta kwa uchungu hivi ni zanini kama hawezi hata kutenga muda wa kwenda kuzitumia au anasubiri ndugu waje kuzifakamia baada ya yeye kufa?
Nnajibu kwa kirefu kwa faida ya wote tu sio personal.

Sina experience ya kuwa na hela mingi ila najua mambo mawili matatu kuhusiana na Akili, Afya na Utajiri.

1. Unaweza kujidanganya kuwa, kuwa na Akili ni ile hali ya mtu kuwa na maarifa mengi lakini ukweli ninkwamba ni hali ya kuyatafuta maarifa. Curiosity. Udadisi ndio akili. Ni kitu endelevu na ndio maana ni rahisi kumkuta anayeitwa 'mwenye akili' anahangaika na makala, documentary, maktaba na maabara kila siku KUYATAFUTA MAARIFA.

2. Kwa ishu ya Afya pia, ni mara zote utakuta mwenye afya ndiye aliye bize kuitafuta afya kila siku. Utamuona yupo kwenye mazoezi, mara yupo kule anaandaa chakula bora. Ametulia kidogo unamsikia analeta stori za kunywa maji, na jinsi anazikata lita ngapi sijui kila siku!! Huyo ndiyo MWENYE AFYA, kazi yake ni KUIJENGA AFYA kila siku.

3. Tukija kwenye Utajiri nacho ni kitu hichohicho. Tajiri ni mtu mwenye kuutafuta utajiri bila kukoma. Ndio maana bilionea kumsikia yupo anawekeza tena mradi wa kuchakata sijui nini ili apige pesa ni kawaida kabisa maana utajiri ni UTAFUTAJI WA MALI ENDELEVU. Utajiri unatunzwa vizuri kwa kutoa huduma au hiyo bidhaa kwa watu wengi zaidi. Ukiurithi utajiri tambua umerithi JUKUMU, ukilikataa jukumu wewe ni tajiri NO MORE!.

Ni akili ya asiye na afya kusema, si umeshakuwa fit bro acha kujihangaisha na mazoezi. Ni akili ya asiye na akili kusema nishasoma sana sasa nimeelewa kila kitu nina maarifa na akili ya kutosha napumzika nizitumie. Pia ni akili ya masikini kusema sasa ndugu ushapata mali ya kutosha, acha kutafuta hela uanze kuzitumia.
 
Nnajibu kwa kirefu kwa faida ya wote tu sio personal.

Sina experience ya kuwa na hela mingi ila najua mambo mawili matatu kuhusiana na Akili, Afya na Utajiri.

1. Unaweza kujidanganya kuwa, kuwa na Akili ni ile hali ya mtu kuwa na maarifa mengi lakini ukweli ninkwamba ni hali ya kuyatafuta maarifa. Curiosity. Udadisi ndio akili. Ni kitu endelevu na ndio maana ni rahisi kumkuta anayeitwa 'mwenye akili' anahangaika na makala, documentary, maktaba na maabara kila siku KUYATAFUTA MAARIFA.

2. Kwa ishu ya Afya pia, ni mara zote utakuta mwenye afya ndiye aliye bize kuitafuta afya kila siku. Utamuona yupo kwenye mazoezi, mara yupo kule anaandaa chakula bora. Ametulia kidogo unamsikia analeta stori za kunywa maji, na jinsi anazikata lita ngapi sijui kila siku!! Huyo ndiyo MWENYE AFYA, kazi yake ni KUIJENGA AFYA kila siku.

3. Tukija kwenye Utajiri nacho ni kitu hichohicho. Tajiri ni mtu mwenye kuutafuta utajiri bila kukoma. Ndio maana bilionea kumsikia yupo anawekeza tena mradi wa kuchakata sijui nini ili apige pesa ni kawaida kabisa maana utajiri ni UTAFUTAJI WA MALI ENDELEVU. Utajiri unatunzwa vizuri kwa kutoa huduma au hiyo bidhaa kwa watu wengi zaidi. Ukiurithi utajiri tambua umerithi JUKUMU, ukilikataa jukumu wewe ni tajiri NO MORE!.

Ni akili ya asiye na afya kusema, si umeshakuwa fit bro acha kujihangaisha na mazoezi. Ni akili ya asiye na akili kusema nishasoma sana sasa nimeelewa kila kitu nina maarifa na akili ya kutosha napumzika nizitumie. Pia ni akili ya masikini kusema sasa ndugu ushapata mali ya kutosha, acha kutafuta hela uanze kuzitumia.
Well said bro, so unafikiri point yangu haina logic au ndo kusema it is natural haiwezi kubadilika
 
Kwa bongo sina mfano wa mtu fulani kufanikiwa kwenye hilo. Maana hata kwa nchi za ulaya mfano brazil sheria ya kuweka pombe kwenye petroli ndio inayowabeba hao wazaloshaji la sivyo sidhani kama ni biashara inayofanyika kibinafsi.

Mwenye wazo(mmojawapo mimi)la kuwekeza labda adiversify sana na kuzalisha hadi vitu kama sanitizer na methylated spirits labda ila kutegemea soko la fuel bila sheria kali za ulazima wa gasohol kuwepo sijajua kama unaweza kutoboa.

Niliwahi kuwaza kwamba bodaboda na bajaji walio maeneo ya milima wanaweza kuvutiwa kuwa wateja wa gasohol ili kuongeza uwezo mlimani. Lakini ni nadharia tu
Je kwa bongo inawezekana hii mkuu? Au uifanyie ulaya au nchi zingine za afrika..


Screenshot_20241103-170216_1.jpg
 
Well said bro, so unafikiri point yangu haina logic au ndo kusema it is natural haiwezi kubadilika
Kwenye kula bata haikatai ataenda Dubai ataenda wapi kama moja ya starehe lakini kutafuta hela haaachi. Maana hiyo ni starehe yake mojawapo anayoifurahia.

Sasa yeye utakuta raha yake ni kutafuta hela so hata akiwa ofosini na hizo challenges kwake ni sehemu ya 'bata' kama tu ambavyo mtu kuwa gym au kuwa na likitabu likuuuubwa😄
 
Serious huwa tuna magodown ya mitumba mikoa mi5 nchini mzigo ukishuka hapo bandari tunapeleka mikoani kwa ajili ya kuwauzia wauzaji wa baro moja moja

Kwa anaetaka kufahamu zaidi na aulize swali lolote nitamjibu kiufasaha
Ni belo gani la mitumba linafaida na nguo zake ni quality
 
Wenye mitaji hiyo hawapo jf
huo mtaji $50,000 hadi $200,000? mbona wapo humu?mimi nawewe tunaweza ona labda $50,000 ni nyingi lakini ni mtaji wa kawaida sana.

Tena wengine wanasema wanamtaji wa mil 20 lakini nikutafuta mawazo tu
 
Kununua bonds nilitangulia kusema ni uwekezaji wa watu waoga na wavivu so unafanyiwa kila kitu na BOT, unawapa account zako tu na terms mlizowekeana tu wao wanakurushia mlivyokubaliana so huna sababu ya kuhangaika kumonitor kama biasha zingine zinazokutaka kuwa actively involved kwenye operations au management. Matajiri wengi wanaweka pesa zao za ziada tu ambazo hawataki zizunguke kila siku na majority ya banks ndio biashara yao, ndio maana wanaweka masharti magumu kukopesha raia. Wanajua kuna uwekezaji rahisi kule kwenye bonds, wateja wanapoweka pesa zao, bank inazichukua inanunua bonds, same as mifuko ya jamii.
Naomba nichangie kidogo . kuweka hela kwenye bond sio uvivu wa kufikiri ,matajiri wote hao unaowajua asilimia kubwa wanaweka hela huko baada ya kukusanya kwenye biashara na vyanzo vingine ,

Huwezi weka hela zote kwenye biashara ,kuna kipindi umri ukifika huwezi kimbizana na biashara kwa kiwango kikubwa . lets say 50% kwenye biashara ,30% kwenye bond ,20% cash hio ndio mfano portfolio . na ni dunia nzima ipo hivyo.
 
Back
Top Bottom