Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Nimefikiria sana nikagundua hii ni moja ya fursa iliyo wazi kabisa.
Wasichana wengi wa kazi wamekuwa wakitoroka kwa maboss zao wakiwa wameiba, wafanyakazi pia wamekuwa wakiiba kwenye maofisi na wakikimbia. Hili tatizo limekuwa likizidi kukuwa hivyo mimi ninataka kuja na suluhisho
Nataka kufungua kampuni ambayo itakuwa na kazi ya kutafuta hawa watu waliokimbia kwa makusudi kwa gharama nafuu.
Ninachotaka kukifanya ni kutumia njia kama wanazotumia wanasiasa kutrack mawasiliano ya mtu, hivyo huyo mtu aliyekimbia nitahitaji namba yake ya simu na mchezo utakuwa umekwisha.
Karibu kwa michango katika kuboresha wazo hili, kama umelipenda hili wazo na unadhani we can do it karibu pia.
Ninahitaji masaada mkubwa sana hapo pa ku track mawasiliano ya mtu au kama unaweza kunipa connection ya mtu mwenye ujuzi huo..
Wasichana wengi wa kazi wamekuwa wakitoroka kwa maboss zao wakiwa wameiba, wafanyakazi pia wamekuwa wakiiba kwenye maofisi na wakikimbia. Hili tatizo limekuwa likizidi kukuwa hivyo mimi ninataka kuja na suluhisho
Nataka kufungua kampuni ambayo itakuwa na kazi ya kutafuta hawa watu waliokimbia kwa makusudi kwa gharama nafuu.
Ninachotaka kukifanya ni kutumia njia kama wanazotumia wanasiasa kutrack mawasiliano ya mtu, hivyo huyo mtu aliyekimbia nitahitaji namba yake ya simu na mchezo utakuwa umekwisha.
Karibu kwa michango katika kuboresha wazo hili, kama umelipenda hili wazo na unadhani we can do it karibu pia.
Ninahitaji masaada mkubwa sana hapo pa ku track mawasiliano ya mtu au kama unaweza kunipa connection ya mtu mwenye ujuzi huo..