Idea yangu kuhusu ufugaji wa mbuzi bila kuchunga (Bandani/Zero grazing)

Idea yangu kuhusu ufugaji wa mbuzi bila kuchunga (Bandani/Zero grazing)

Kuna magonjwa matatu ya virusi ambayo huwashambulia mbuzi sana na hivyo Kupunguza uzalishaji na wewe kama mfugaji utahitaji kuwakinga mbuzi wako kwa kuwapa chanjo dhidi ya magonjwa hayo ambayo ni;

1. Pesti des petis ruminants (PPR)

Mbuzi hupewa akiwa na miezi 6+ na chanjo hii huwa ni ya maisha hakuna haja ya kurudia kuchanja tena

2. Caprine pox

Hupewa chanjo hii wakiwa na umri na miezi 6+ na chanjo hii hudumu kwa miaka 2 tu baada ya hapo utatakiwa kurudia tena

3. Contagious caprine pleuro pneumonia

Huchanjwa wakiwa na miezi 6+ na chanjo hii hurudiwa baada ya mwaka mmoja....

Hitimisho:

Kila baada ya miezi mitatu ni muhimu kuwapa dawa ya minyoo (Albendazole) hapa mbuzi watakuwa na afya na mwonekano mzuri

Kwa huduma hizi za chanjo tusisite kutafutana kwa wakazi wanaokaa dar na pwani tu. Karibuni sana


Tupo pamoja mkuu,

Tunashukuru kwa kuongezea mlimopelea!
 
Shukrani sana kwa uzi huu mkuu. Natarajia kuufanya huu mradi siku za usoni. Nimeongeza maarifa hapa.
 
Uzi bila picha haunogiiiii
FB_IMG_1525869964510.jpg
FB_IMG_1525870002161.jpg
FB_IMG_1505746603491.jpg
FB_IMG_1505746617610.jpg
FB_IMG_1505746491963.jpg
 
Mkuu Masamila vp umeshawahi kufanya estimation cost ya banda la kutosha mbuzi 100?vp laweza gharimu km bei gani hv mkuu
 
Mkuu Masamila vp umeshawahi kufanya estimation cost ya banda la kutosha mbuzi 100?vp laweza gharimu km bei gani hv mkuu


Nikipata muda nitachimbua na kuleta mrejesho hapa hapa kwenye huu huu uzi
 
Ok itakuwa vizuri ila shida naiona kwenye kupata parent stock ya ukweli hasa yenye body weight and size nzuri,inayozaa mapacha,Aisee ukiipata na mm nijuze mkuu
 
Ok itakuwa vizuri ila shida naiona kwenye kupata parent stock ya ukweli hasa yenye body weight and size nzuri,inayozaa mapacha,Aisee ukiipata na mm nijuze mkuu

Kupossess Parent stock inaweza kuchukua muda, na jambo zuri hapa ni kuwa mbuzi huzaa baada ya kila miezi sita. And so it will depend uli-employ methodology ipi katika kuestablish parent stock. Kwa hiyo kuna mchakato mwingine tena wa kutumia mbinu/ubunifu na maarifa katika kuanzisha parent stock.

Hii project nimeshare na wadau wenzangu wa kilimo-ufugaji tuchangiane mawazo ikiwa tayari mimi nimeshaonesha njia. Inatakikana nijijenge kwanza kwenye shughuli nyingine nyingine zenye high return on investment nikashatanua sana huko ndio nifikirie project hii.

Kwa hiyo mi bado sana mkuu, muda bado kufanya hii shughuli
 
Nimependa sana wazo lako.Nina ndoto kubwa ktk ufugaji
 
Back
Top Bottom