Idea yangu kuhusu ufugaji wa mbuzi bila kuchunga (Bandani/Zero grazing)



Tupo pamoja mkuu,

Tunashukuru kwa kuongezea mlimopelea!
 
Shukrani sana kwa uzi huu mkuu. Natarajia kuufanya huu mradi siku za usoni. Nimeongeza maarifa hapa.
 
Mkuu Masamila vp umeshawahi kufanya estimation cost ya banda la kutosha mbuzi 100?vp laweza gharimu km bei gani hv mkuu
 
Mkuu Masamila vp umeshawahi kufanya estimation cost ya banda la kutosha mbuzi 100?vp laweza gharimu km bei gani hv mkuu


Nikipata muda nitachimbua na kuleta mrejesho hapa hapa kwenye huu huu uzi
 
Ok itakuwa vizuri ila shida naiona kwenye kupata parent stock ya ukweli hasa yenye body weight and size nzuri,inayozaa mapacha,Aisee ukiipata na mm nijuze mkuu
 
Ok itakuwa vizuri ila shida naiona kwenye kupata parent stock ya ukweli hasa yenye body weight and size nzuri,inayozaa mapacha,Aisee ukiipata na mm nijuze mkuu

Kupossess Parent stock inaweza kuchukua muda, na jambo zuri hapa ni kuwa mbuzi huzaa baada ya kila miezi sita. And so it will depend uli-employ methodology ipi katika kuestablish parent stock. Kwa hiyo kuna mchakato mwingine tena wa kutumia mbinu/ubunifu na maarifa katika kuanzisha parent stock.

Hii project nimeshare na wadau wenzangu wa kilimo-ufugaji tuchangiane mawazo ikiwa tayari mimi nimeshaonesha njia. Inatakikana nijijenge kwanza kwenye shughuli nyingine nyingine zenye high return on investment nikashatanua sana huko ndio nifikirie project hii.

Kwa hiyo mi bado sana mkuu, muda bado kufanya hii shughuli
 
Nimependa sana wazo lako.Nina ndoto kubwa ktk ufugaji
 
Good idea.... One day yes!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…