bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Aisee we acha tu yaani hadi kizunguzungu utadhani kuna mtu anatujambia but tukomae tu maana waswahili wanasemaNipo ndugu, si unajua shilingi imekuwa ngumu kutwa kucha twakimbizana nayo lakini haikamatiki!
Tushitikishane mbinu za kuishikilia shilingi kama hivi maana hali si hali mtaani!Aisee we acha tu yaani hadi kizunguzungu utadhani kuna mtu anatujambia but tukomae tu maana waswahili wanasema
Itakuwa haina maana kupewa umri mrefu halafu tukawa masikini itakuwa bora kwa wale waliotangulia iwapo tutaikubali shilingi iendelee kutuponyoka.
Weka namba zako za simu mkuu.Kuna magonjwa matatu ya virusi ambayo huwashambulia mbuzi sana na hivyo Kupunguza uzalishaji na wewe kama mfugaji utahitaji kuwakinga mbuzi wako kwa kuwapa chanjo dhidi ya magonjwa hayo ambayo ni;
1. Pesti des petis ruminants (PPR)
Mbuzi hupewa akiwa na miezi 6+ na chanjo hii huwa ni ya maisha hakuna haja ya kurudia kuchanja tena
2. Caprine pox
Hupewa chanjo hii wakiwa na umri na miezi 6+ na chanjo hii hudumu kwa miaka 2 tu baada ya hapo utatakiwa kurudia tena
3. Contagious caprine pleuro pneumonia
Huchanjwa wakiwa na miezi 6+ na chanjo hii hurudiwa baada ya mwaka mmoja....
Hitimisho:
Kila baada ya miezi mitatu ni muhimu kuwapa dawa ya minyoo (Albendazole) hapa mbuzi watakuwa na afya na mwonekano mzuri
Kwa huduma hizi za chanjo tusisite kutafutana kwa wakazi wanaokaa dar na pwani tu. Karibuni sana
Yeah cha msingi ni kuendelea kuwa in touch hapa madini muhimu yasitupite tuTushitikishane mbinu za kuishikilia shilingi kama hivi maana hali si hali mtaani!
0712784472Weka namba zako za simu mkuu.
Tuwe tunashtuana kwa issue muhimu kama hizi!Yeah cha msingi ni kuendelea kuwa in touch hapa madini muhimu yasitupite tu
Haina noma kama nawe ni mdau wa hii sector tutaendelea kushtuana usijali maana huyu muanzisha mada kiukweli katugusa sana japo inashangaza nyuzi nzuri km hii eti watu wanaipita tu,mi toka siku ya kwanza niliisubscribe mapema tunaenda nayo kwa kujikongoja hivyohivyo ila IMANI yangu itakolea mwendo muda si msingi.Tuwe tunashtuana kwa issue muhimu kama hizi!
Haina noma kama nawe ni mdau wa hii sector tutaendelea kushtuana usijali maana huyu muanzisha mada kiukweli katugusa sana japo inashangaza nyuzi nzuri km hii eti watu wanaipita tu,mi toka siku ya kwanza niliisubscribe mapema tunaenda nayo kwa kujikongoja hivyohivyo ila IMANI yangu itakolea mwendo muda si msingi.Tuwe tunashtuana kwa issue muhimu kama hizi!
Uzi ni wa muda mrefu toka 2018! Mleta mada Tupe mrejesho wa utekelezaji wa idea yako!