Watoto wa Kigango cha Mavurunza mna tabu sana!Kwa hiyo na wewe mwarabu wa Nyalikungu unawatetea mabasha wako?
Wayahudi wa Msanga Ngongele wao wanasemaje kuhusu hili?KASHFA KUBWA: Msemaji wa jeshi la Israel akiri kwamba wanajeshi wa kirafiki wa Israeli waliwafuta kazi na kuwaua kimakosa wafungwa 3 wa Kiisraeli.
Wafungwa hawa walikuwa wamevalia mavazi ya kawaida na hawana silaha, lakini IOF iliwaua. Huu ni ushahidi mwingine kwamba wanajeshi wa Israel wanaua raia huko Gaza.
View: https://x.com/aryjeay/status/1735732546502078645?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Haya ushahidi huo hapo kutoka usa military intelligence via cnnUshahidi wa Hamas kutumia wapalestina kama ngao na kufyatulia makombora maeneo ya makazi ya watu umejaa na wapalestina nao hulalamika maisha yao kuwekwa hatarini kwa makombora kufyatuliwa mitaani.
Huo ushahidi wa mabomu ya israel kupigwa blindly uko wapi ?
Ritz ndugu yangu na kaka yangu heshima kwako. Mbona sasa hunijibu swali langu sitachoka kukuliza hadi hunijibu. Huyo mwamba jamaa zombie kwenye avatar picha Yako naye pia ni muislamu?Ngoja tuwasubiri Waisrael weusi wa Bonyokwa na Kimara Temboni. Waje wawatetee mabwana zao🤣
.Wanaukumbi.
Hagari anasema IDF inawajibika kwa "tukio hilo la kusikitisha."
"Hili ni eneo ambalo wanajeshi walikumbana na magaidi wengi, wakiwemo washambuliaji wa kujitoa mhanga," anaongeza.
Hagari anawataja mateka hao kuwa ni Yotam Haim, ambaye alitekwa nyara na Hamas kutoka Kfar Aza, na Samar Talalka, ambaye alitekwa nyara kutoka Nir Am. Mateka wa tatu hakutajwa kufuatia maombi ya familia yao.
Alipoulizwa ni vipi mateka hao waliweza kutoroka utumwa wa Hamas, Hagari anasema jeshi linaamini kwamba "watatu hao walikimbia au waliachwa na magaidi waliowaweka mateka."
TANGAZO
Katika taarifa yake, Hagari anasema kwamba "baada ya kupigwa risasi, wakati wa uchunguzi na uchunguzi, shaka ilizuka kuhusu utambulisho wa waliokufa, na miili yao ilihamishwa haraka kwa uchunguzi huko Israeli, ambapo mateka walitambuliwa."
"Hili ni tukio la kusikitisha na chungu kwetu sote, na IDF inawajibika kwa kila kitu kilichotokea," anasema.
Hagari anasema IDF ilianza kuchunguza tukio hilo mara moja. "Hili ni tukio la kusikitisha, ambalo lilifanyika katika eneo la vita ambapo askari walikutana na magaidi wengi katika siku za hivi karibuni, na leo, na kupigana vita vikali," anasema.
===============
Hagari says the IDF bears responsibility for the “tragic incident.”
“This is an area where the soldiers encountered many terrorists, including suicide bombers,” he adds.
Hagari names the hostages as Yotam Haim, who was abducted by Hamas from Kfar Aza, and Samar Talalka, who was abducted from Nir Am. The third hostage was not named following requests by their family.
Asked how the hostages were able to escape Hamas captivity, Hagari says the military believes that “the three fled or were abandoned by the terrorists who held them captive.”
ADVERTISEMENT
In his statement, Hagari says that “after the shooting, during a scan and examination, an immediate suspicion arose regarding the identity of the dead, and their bodies were quickly transferred for examination in Israel, where the hostages were identified.”
“This is a sad and painful event for all of us, and the IDF bears responsibility for everything that happened,” he says.
Hagari says the IDF immediately began to investigate the incident. “This is a tragic event, which took place in a battle zone where the troops encountered many terrorists in recent days, and today, and fought hard battles,” he says.
View: https://x.com/marionawfal/status/1735748593787543918?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wengine tupo huku Matombo mkuu!Ngoja tuwasubiri Waisrael weusi wa Bonyokwa na Kimara Temboni. Waje wawatetee mabwana zao🤣
We jamaa nimekuangalia upo Jf tangu 2011 inamaana we ni mtu mzima, sasa why unaandika kitoto sana? Hata sisi madogo tunakuzidi point. Ukiacha ushabiki unaweza kuandika vitu vya maana. Usitake kila mtu akubaliane na unachokiamini halafu acha matusi umeshakuwa babu sasa.Ngoja tuwasubiri Waisrael weusi wa Bonyokwa na Kimara Temboni. Waje wawatetee mabwana zao🤣
Yotam Haim....!Hagari anawataja mateka hao kuwa ni Yotam Haim, ambaye alitekwa nyara na Hamas kutoka Kfar Aza,
Wewe mtoto sikiliza kwanza niweke sawa hii ni ID yangu ingine nilijiunga mwaka mpya baada ya kipigwa Ban na IDs zangu kufutwa, na miaka 19 naijua JF mmekuja nyie vizazi vya smart phone meharibu JF kabsa JF imebadilika kuna wajinga wengi na mashabiki mandazi kama wewe.We jamaa nimekuangalia upo Jf tangu 2011 inamaana we ni mtu mzima, sasa why unaandika kitoto sana? Hata sisi madogo tunakuzidi point. Ukiacha ushabiki unaweza kuandika vitu vya maana. Usitake kila mtu akubaliane na unachokiamini halafu acha matusi umeshakuwa babu sasa.
Huyo rubani alikufa agent wa Hamas.Wanajeshi wa Israeli kuhusu Oktoba 7:
"Helikopta ya Apache ya Israeli ilirushwa Kibbutz Be'eri"
Ushahidi huo unasema kuwa helikopta ya Apache ya Israel ilifyatulia risasi Kibbutz Be'eri, mashahidi wa kushangaza.
"Na ghafla unaona helikopta inapiga moto kwenye kibbutz ... sielewi"
"Tangi huchoma ganda ndani ya nyumba".
Nilikuwa mmoja wa wa kwanza kuandika juu ya hii. Nilipata mashambulizi makubwa kuwa ni uzushi na uongo. Uchunguzi wa polisi baadaye ulithibitisha kwamba nilikuwa sahihi. Sasa hawa hapa mashahidi wa tukio hilo.
Jeshi la Israel linahusika na idadi kubwa zaidi ya waliofariki tarehe 7 Oktoba
View: https://x.com/megatron_ron/status/1735758301902626851?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kumtukana kila aliye kinyume na wewe ni nini hiyo kama sio kupenda walio na maoni sawa na wewe? Kuwa huru na jukwa ndo kutukana? Ikiwa watu wazima mpo huku kusambaza matusi itakuwaje kuhusu vijana! Amka mzee acha utoto.Wewe mtoto sikiliza kwanza niweke sawa hii ni ID yangu ingine nilijiunga mwaka mpya baada ya kipigwa Ban na IDs zangu kufutwa, na miaka 19 naijua JF mmekuja nyie vizazi vya smart phone meharibu JF kabsa JF imebadilika kuna wajinga wengi na mashabiki mandazi kama wewe.
JF ni jukwaa huru sijui kama ulisoma sheria zao na kanuni wakati unajiunga wapi nimekulazimisha ukubali ninachokiandika? Wapi nimesema lazima kila mtu lazima akubaliane na mimi?
Sikia kama unachukizwa na post zangu zipotezee sawa unapokuja kwangu unalia lia sina cha kukusaidia.
Unaweza kuniambia hayo matusi ninayosambaza? Usiwe punguani wewe JF kuna sheria na matusi hayaruhusiwi ripoti kwa Mods hayo matusi zaidi ya hapo unaleta utoto unalia lia tu.Kumtukana kila aliye kinyume na wewe ni nini hiyo kama sio kupenda walio na maoni sawa na wewe? Kuwa huru na jukwa ndo kutukana? Ikiwa watu wazima mpo huku kusambaza matusi itakuwaje kuhusu vijana! Amka mzee acha utoto.
Vita ya Israel haikuathiri hata kidogo mbona una uchungu nayo? Relax chukulia mambo kawaida.
Kwa mfano hapa mi ndo nikuite punguani si utaona kama nakukosea adabu au ni sawa tu?Unaweza kuniambia hayo matusi ninayosambaza? Usiwe punguani wewe JF kuna sheria na matusi hayaruhusiwi ripoti kwa Mods hayo matusi zaidi ya hapo unaleta utoto unalia lia tu.