baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Vita ni objective, bila Objective unaanza vipi vita?Vita sio objective,s kuna mambo nimeorodhesha hapo juu unaweza kuyajadili kidogo ili kutambua ubora wa jeshi husika hasa katika vita kama vya yom kipur!!!!Na katika vita vya yom kipur objective za IDF hazikua kulinda sinai tertory!!!Ukizungumza kama raia upo sahii kabisa!!!Lakini ukizungumza kama wataalamu wa medani za uwanja wa mapambano ni tofauti
Nilitazama documentary yake moja,nikavutiwa mpaka kusoma kitabu cha 'The 6 Days War'Aliongoza operation nyingi za vikosi vya kikomando 275 na 375 katika operation za siri za IDF na washirika wake!!!!Code name yake kabla hajafa ilikua""Lion""
Nani alikwambia Israel ni wachache? kwa takwim zipi?Israel ni wachache sana, ila Sasa, fikiria opereshen zao za kijasusi ni Dunia nzima
Mmoja ya wanajeshi mahiri sana uwanja wa vita!!!!!Uwezo wake wa kufanya maamuzi sahii katika nyakati ngumu kwenye uwanja wa mapambano!!Nilitazama documentary yake moja,nikavutiwa mpaka kusoma kitabu cha 'The 6 Days War' View attachment 2510243
Kuna mambo zaidi ya objective,s mkuu!!!Lakini upo sawa sababu neno objective unalitamka katika engo ipi kimtazamo?????Vita ni objective, bila Objective unaanza vipi vita?
Nilikujibu kutokana na maelezo yako ya awali!!!!Kuhusu ulichonieleza hapa sina la kuongezea sababu unajisemea mwenyewe kuhusu hili!!!!Wasomi tunapenda na kusikia na upande wa pili na sio upande mmoja tu unaojisemea wenyewe kila kitu!!!!Tungepata kumsikia huyo aliyekuandikia barua ya vitisho au hakujitambulisha?????Nelson...
Mimi si katika waoga.
Mwaka wa 1988 niliandika makala, "In Praise of Ancestors," katika jarida lililokuwa linaitwa Africa Events likichapwa London.
Mhariri wake alikuwa Mohamed Mlamali Adam.
Makala yangu ilitanguliwa na utangulizi wa Mlamali uliosema kuwa haiwezekani kuandikwa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika bila kutaja mchango wa Waislam.
Mlamali akataja majina ya Abdul na Ally Sykes, na Saadan Abdu Kandoro.
Toleo hili la gazeti lote lilikusanywa.
Toleo lililofuatia lilichapa barua ya Dr. Kataroge Mayanja Kiwanuka wa Idara ya Uhamasishaji Umma CCM Dodoma ikijibu makala yangu.
Barua ilijaa vitisho dhidi yangu, kejeli na nikaitwa, "mbilikimo" ambae kama sitaacha kuandika makala kama ile nitashughulikiwa.
Nilikuwa naijua fika nguvu iliyokuwapo nyuma ya barua ile.
Lakini mwandishi kanitukana na pili kanitisha.
Lazima nimjibu lakini sitajibu tusi nililotukanwa.
Nitamjibu kwa kuandika makala kueleza nani Abdulwahid Sykes katika historia ya uhuru wa Tanganyika.
Mlamali akachapa makala yangu: "Abdulwahid Sykes Founder of a Political Movement."
Sikubakisha kitu.
Makala hii gazeti halikukusanywa kuchomwa moto wala haikujibiwa hadi leo.
Jamaa zangu wakanitahadharisha kuwa nitakamatwa.
Jibu langu lilikuwa nitakamatwa kwa kuandika historia ya wazee wangu waliounda TANU kupigania uhuru?
Kwani hilo ni kosa?
Mwaka wa 1998 kitabu cha maisha ya Abdul Sykes kikachapwa London na kuingia nchini.
Nelson nilitaka nikufahamishe kuwa mimi si muoga katika kusema kweli.
Futa fikra hiyo akilini kwako.
Ariel Sharon kuna war structure ya IDF aliibuni mwaka 1982 na waliitumia IDF in urban war in beirut ilikua inahitaji akili nyingi kuweza kuelewa aliwaza nini kubuni vile!!!Heshima yake sababu ni mwanajeshi asiyeogopa kukabiliana na adui mazingira yoyote yale!!!Ariel Sharon wakisikia jina lake wale watu wanajikojolea bila shuruti.😜😜😜😜😜
Ila kaka @Moisemusa kidogo ungepunguza ukali wa maneno!!!Mjadala unahitaji heshima na staha ili wadau wote wawe huru kuchangiaAriel Sharon wakisikia jina lake wale watu wanajikojolea bila shuruti.😜😜😜😜😜
Atakua ni muhafidhina asiyependa maoni ya wengine na mabadiliko!!!Ndio maana barua yake ilijaa kejeli na vitisho mzee wanguNelson...
Mimi si katika waoga.
Mwaka wa 1988 niliandika makala, "In Praise of Ancestors," katika jarida lililokuwa linaitwa Africa Events likichapwa London.
Mhariri wake alikuwa Mohamed Mlamali Adam.
Makala yangu ilitanguliwa na utangulizi wa Mlamali uliosema kuwa haiwezekani kuandikwa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika bila kutaja mchango wa Waislam.
Mlamali akataja majina ya Abdul na Ally Sykes, na Saadan Abdu Kandoro.
Toleo hili la gazeti lote lilikusanywa.
Toleo lililofuatia lilichapa barua ya Dr. Kataroge Mayanja Kiwanuka wa Idara ya Uhamasishaji Umma CCM Dodoma ikijibu makala yangu.
Barua ilijaa vitisho dhidi yangu, kejeli na nikaitwa, "mbilikimo" ambae kama sitaacha kuandika makala kama ile nitashughulikiwa.
Nilikuwa naijua fika nguvu iliyokuwapo nyuma ya barua ile.
Lakini mwandishi kanitukana na pili kanitisha.
Lazima nimjibu lakini sitajibu tusi nililotukanwa.
Nitamjibu kwa kuandika makala kueleza nani Abdulwahid Sykes katika historia ya uhuru wa Tanganyika.
Mlamali akachapa makala yangu: "Abdulwahid Sykes Founder of a Political Movement."
Sikubakisha kitu.
Makala hii gazeti halikukusanywa kuchomwa moto wala haikujibiwa hadi leo.
Jamaa zangu wakanitahadharisha kuwa nitakamatwa.
Jibu langu lilikuwa nitakamatwa kwa kuandika historia ya wazee wangu waliounda TANU kupigania uhuru?
Kwani hilo ni kosa?
Mwaka wa 1998 kitabu cha maisha ya Abdul Sykes kikachapwa London na kuingia nchini.
Nelson nilitaka nikufahamishe kuwa mimi si muoga katika kusema kweli.
Futa fikra hiyo akilini kwako.
Nelson...Nilikujibu kutokana na maelezo yako ya awali!!!!Kuhusu ulichonieleza hapa sina la kuongezea sababu unajisemea mwenyewe kuhusu hili!!!!Wasomi tunapenda na kusikia na upande wa pili na sio upande mmoja tu unaojisemea wenyewe kila kitu!!!!Tungepata kumsikia huyo aliyekuandikia barua ya vitisho au hakujitambulisha?????
| In 1985, President Nyerere, while conferring an honorary degree on Basil Davidson, challenged the University of Dar es Salaamto write a correct history of Tanzania. In 1988, while commemorating thirty years of the Tabora Declaration, Nyerere in reference to early TANU members and as a tribute to them Nyerere asked the Party to take stock of those who joined TANU between 1954 and 1958. Nyerere said: “That was the most trying period in the history of our Party and few people were courageous enough to join and work for the Party.” [1] | |
| In supporting Nyerere for his recent call and taking up the challenge to record a correct history which he had for the first advanced in 1974 and again in 1985 the present author published an article in African Events[2] in which Abdulwahid and other forgotten TANU pioneers received prominence. In that article the author did what no other scholar had done before. He mentioned the fact that Muslims were in the forefront during the struggle for independence. It was at that time taboo to associate Islam or Muslims with the independence movement. The author received sharp rebuke from a Party historian, Dr Mayanja Kiwanuka, a leading member of the panel which wrote the Party book Historia ya Chama Cha TANU 1954-1977, the official history of the Party. The Party historian had this to say: | |
(the)... article...argues that although Muslims in Tanzania played a crucial role in the struggle for independence, there is a deliberate effort to downplay their contribution. Consequently, the entire article contains half-baked fairy tales to sustain his argument, more so by mentioning names of several TANU stalwarts who happened to be Muslims... The greatness of TANU, indeed that of its founder-leader, Mwalimu Nyerere, is that, in so short a time since its inception, it managed to weave together into a formidable, relatively homogenous nationalist movement, a people so ethnically, culturally and religiously diverse... Said’s major goal is to sow seeds of discord, and at any price, truth to him is a matter to be ignored. [3] |
Kuna muda huwa tunataniana.Anyway,nimekuelewa!Ila kaka @Moisemusa kidogo ungepunguza ukali wa maneno!!!Mjadala unahitaji heshima na staha ili wadau wote wawe huru kuchangia
Usijali ndugu yangu tupo pamoja sana!!!Kuna muda huwa tunataniana.Anyway,nimekuelewa!
Vipi na ile barua ya vitisho unayo hapo tusome alichoandika huyo muhafidhina asiyekua na heshima aliyekupa vitisho mzee wetu??????Nelson...
Usiwe mkaidi usiweke !!!??? unachafua unachiandika.
Nakuwekea hapa rejea usome:
In 1985, President Nyerere, while conferring an honorary degree on Basil Davidson, challenged the University of Dar es Salaamto write a correct history of Tanzania.
In 1988, while commemorating thirty years of the Tabora Declaration, Nyerere in reference to early TANU members and as a tribute to them Nyerere asked the Party to take stock of those who joined TANU between 1954 and 1958.
Nyerere said: “That was the most trying period in the history of our Party and few people were courageous enough to join and work for the Party.” [1]In supporting Nyerere for his recent call and taking up the challenge to record a correct history which he had for the first advanced in 1974 and again in 1985 the present author published an article in African Events [2] in which Abdulwahid and other forgotten TANU pioneers received prominence.
In that article the author did what no other scholar had done before.
He mentioned the fact that Muslims were in the forefront during the struggle for independence. It was at that time taboo to associate Islam or Muslims with the independence movement. The author received sharp rebuke from a Party historian, Dr Mayanja Kiwanuka, a leading member of the panel which wrote the Party book Historia ya Chama Cha TANU 1954-1977, the official history of the Party. The Party historian had this to say:(the)... article...argues that although Muslims in Tanzania played a crucial role in the struggle for independence, there is a deliberate effort to downplay their contribution.
Consequently, the entire article contains half-baked fairy tales to sustain his argument, more so by mentioning names of several TANU stalwarts who happened to be Muslims...
The greatness of TANU, indeed that of its founder-leader, Mwalimu Nyerere, is that, in so short a time since its inception, it managed to weave together into a formidable, relatively homogenous nationalist movement, a people so ethnically, culturally and religiously diverse... Said’s major goal is to sow seeds of discord, and at any price, truth to him is a matter to be ignored. [3]
[1] Daily News, 6 th October, 1988.
[2]
[3] See Africa Events, May, 1988, letter by Dr K. Mayanja Kiwanuka.
The advantages walizonazo IDF/ Mossad ni kuwa watu wao au asili ya watu wao wapo almost nchi zote duniani. Kwa mfano ukifuatilia historia ya kupanda kwa Hitler Adolph, ni kuwa aliwachukia wayahudi waliokua jeshi la ujeruman baada ya kuonekana ni wasaliti kwa nchi yao ya ujeruman. Na Ujeruman ilishindwa vita ya kwanza ya Dunia, ikiaminika kuwa wayahudi walikua wakitoa siri kwa wayahudi wenzao wa Kiingereza. Ndio maana Hitler akaja na sera yake kinazi.IDF na Mossad ni wasiri mno hata majasusi wao huwezi kuwajua
Nelson...Vipi na ile barua ya vitisho unayo hapo tusome alichoandika huyo muhafidhina asiyekua na heshima aliyekupa vitisho mzee wetu??????
Haya nimetosheka mzee wangu tuachane na huyo muhafidhina aliyekukosea heshima na adabu kwa kukuandikia barua ya vitisho!!!Tuendelee na mada yétu ya ubora wa IDF kwenye uwanja wa mapambano!!Nelson...
Tosheka na hayo niliyokuwekea.
Lakini nakusihi sana ondoa ????
Watu wengi wanakusoma leo na utakapokuwa haupo miaka mingi watapita watu hapa kukusoma pengine kukufanya wewe kama rejea zao.
Sasa kama watakunukuu chuo kikuu kama wanafunzi wakiweka hizo ??? na !!! zako utakuwa kichekesho.
Yeah upo sahii kaka historia ya IDF na Mossad imeanzia mbali sana mkuuThe advantages walizonazo IDF/ Mossad ni kuwa watu wao au asili ya watu wao wapo almost nchi zote duniani. Kwa mfano ukifuatilia historia ya kupanda kwa Hitler Adolph, ni kuwa aliwachukia wayahudi waliokua jeshi la ujeruman baada ya kuonekana ni wasaliti kwa nchi yao ya ujeruman. Na Ujeruman ilishindwa vita ya kwanza ya Dunia, ikiaminika kuwa wayahudi walikua wakitoa siri kwa wayahudi wenzao wa Kiingereza. Ndio maana Hitler akaja na sera yake kinazi.
Nelson...Haya nimetosheka mzee wangu tuachane na huyo muhafidhina aliyekukosea heshima na adabu kwa kukuandikia barua ya vitisho!!!Tuendelee na mada yétu ya ubora wa IDF kwenye uwanja wa mapambano!!
Si nilikujibu mzee wangu nikakuambia ninazo na kuziona source zaidi ya 10 na nikazipuuzia!!!!Ukiwa kama raia wa kawaida utaamini source hizo ila ukiwa upande wa pili kama mtaalamu wa medani za kivita mtazamo wa ubora wa jeshi ili kuweza kulipa rank unaonekana uwanja wa mapambano wa pande mbili tofauti!!!Kwa mfano hapo kwa India na Pakstani rank ulizowaweka utagombana na wapakistani au hapo kwa israel na egpty!!!!Taasisi gani iliandaa hizi rank mzee wanguNelson...
Nilikuwekea orodha ya majeshi bora na source yake.
Israel ilikuwa chini ya Misri.
Ukasema unazo source 10.
Tafadhali tuwekee.
Nelson...Si nilikujibu mzee wangu nikakuambia ninazo na kuziona source zaidi ya 10 na nikazipuuzia!!!!Ukiwa kama raia wa kawaida utaamini source hizo ila ukiwa upande wa pili kama mtaalamu wa medani za kivita ubora wa jeshi ili kuweza kulipa rank unaonekana uwanja wa mapambano wa pande mbili tofauti!!!Kwa mfano hapo kwa India na Pakstani rank ulizowaweka utagombana na wapakistani au hapo kwa israel na egpty!!!!Taasisi gani iliandaa hizi rank mzee wangu