Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #861
Jasho lipi mkuu?????Unawafahamu Hamas? Mbona hadi leo wanawatoeni jasho mmeshindwa hata kuwaokoa mateka wenu?
Mfafanulie vizuri mkuuKasome vizuri biblia uielewe.. Jesus alikuja specific for Wayahudi ndio maana aliwaletea Injil maana walikuwa wamestuck kwenye mila na Sheria za Mussa ambazo kuna time zinawabana mno ilifika time Jumamosi hata kitu cha maana hawawezi kukifanya Yesu akawaambia wafanye.. mfano tu Hamas walitumia siku ya Sabato kuwavamia Waisrael na ilichukua muda mrefu Israel kurespond sababu ya Sabato.. So Kuita mbwa ni mfano Yesu aliutoa kipindi kile kuwa Kuwa yeye alikuja kwa ajili ya Wayahudi and anakuja mtu mwingine alithi, je wewe kwenu even Mtoto wa Nje ya Ndoa hana urithi kwenye familia yenu ya kiislam.
Kumbuka utakachoponda katika ukristo jua Uislam ndio ulipo copy mengi..
Mohammad alimtia mke wa Mtoto wake wa Kufikia na akaamua kumuoa kabisa kuthibitisha kuwa Mtoto wa kufikia sio mtoto wako unawezza kumuoa kabisa.
Baada ya Wayahudi kukataa Injil Yesu kwa sababu ni Mungu aliupa Injil watu wote wa Duniani akawaambia wanafunzi wake waieneze Dunia nzima na imekuwa hivyo.
Ndio Christian ilianzia hapo..
Wajua Uislam ni for Arabs walio Mecca na karibu na Mecca Qran 26:13-16
Na Quran 26:22 Shetani anamshhukia Mwongo na mtenda madhambi... aya hii inatuonesha sura harisi ya Muhammad alifyoingiwa na Shetani kwani aya mnamfiti vizuri kabisa
OkySo umeumbuka and umeamua kutumia Taqiyya ramadhani hii? kweli.. Kama Israel ni Occupations force na waislam mnaamini kila kitu anapanga Allah.. so lawama na hasira zenu zimuendee Allah... Ardhi ni ya Waisrael according to Allah. all name mnayowaita Wasrael yanamuendea Allah. kwa kuwapa ardhi Hebrew na aliwaambia wasitoke hadi kiama... Nyie ndi mmekuwa Wapinzani wa Allah... na hii mnavyowatetea Arabs immigrant to the holly land mnadhibitisha kuwa Allah is nothing to you all and Allah is not Exist so keep goin on mtamshinda Allah
Sasa mzee wangu......wewe unadhani paris au moroni au berlin umefika peke yako.......au unataka na sisi vijana wako tuweke picha zetu tulizopiga sehemu mbalimbali duniani?????Nelson...
Jifunze kuandika.
Tuanze na matumizi ya dots.
Zinatakiwa ziwe 3 ...
Matumizi ya !!!
Tumia kwenye riwaya.
Matumizi ya herufi kubwa.
Yana sehemu maalum.
Inaelekea hukufika mbali.
Unahitaji shule zaidi.
Nelson,
Angalia hapo chini picha hizo.
Huo ndiyo ujuzi wangu katika somo hili na mengine.
Ndiyo unaona hapa nyumbani naalikwa kuzungumza SUZA, Centre For Foreign Relations Kurasini na vyuo vingine.
Kalamu yangu inafika mbali nina wajibu mkubwa kulinda heshima yangu.
Siwezi kuwa sehemu ya mjadala wako.
Napenda kukuzindua kuwa kuna vijana kadhaa wa Kiyahudi wanafunzi wamepita kwangu katika kuandika Ph D zao.
View attachment 2937612
Grande Mosque, Paris 1993
Msikiti huu ulitumika kuwaficha Wayahudi waliokuwa wanatafutwa na Gestapo
View attachment 2937613
Grande Mosque, Paris 2011
Kulia Salim Himidi Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mstaafu Comoro
View attachment 2937614
ZMO Berlin, 2011
Palipata kuwa Makao Makuu ya Gestapo
🤣🤣🤣🤣 hapa mada ni jinsi mossad walivyowaingiza mkenge waarabu wa HAMAS October 07.Kuna watu mna mahaba mno na wauwaji
Mkuu karibu upate historia za mambo ya kijeshi.........na ujasusi.Unaongeza pages kwenye uzi wako?
Nelson...Mkuu karibu upate historia za mambo ya kijeshi.........na ujasusi.
Unaruhusiwa kuchangia
Sasa chuo kikuu kipi mzee wangu???Nelson...
Huwezi kujifunza elimu kubwa ikiwa bila ya angalau kuwa na elimu ya chuo kikuu.
Chuo kikuu wanakufundisha kwanza kabisa namna ya kuandika.
Hafiki mtu chuo kikuu akawa hana ujuzi wa kuandika.
Hujui wapi unatakiwa kuanza na herufi kubwa wala hujui wapi hutakiwi kuanza na herufi ndogo.
Afanyae haya ni mtu ambae kavamia.
Hana elimu ya kutosha.
Hili mosi.
Pili wanakufundisha somo linaitwa Research Methodology yaani namna ya kufanya utafiti.
Huu ndiyo msingi wa kujifunza mambo wewe mwenyewe na kuchangia elimu mpya katika jamii.
Tatu wanakupa elimu na kukuelekeza kwa wasomi waliotafiti na kuandika elimu unazotaka kujifunza.
Sizioni sifa hizi kwako.
Hata pale ninapokufunza unashindwa kujifunza kutoka kwangu.
Hakuna msomi asiye na mwalimu.
Unahitaji kujielimisha ili upate elimu ya kukusaidia wewe mwenyewe na jamii yako.
Israel they used to wage fair war before but after october 7 walipewa ushauri terror mpige ki terror ndio hatorudia tena... na Respond ya Israel imewaogopesha muslim country zote... Masikio yamezibwa hadi Mwisho wa Hamas.. lieni tukaneni,toeni laana lakii Kichapo hadi wajisalimishe na waachie mateka. Walichofanya Hamas hakisameheki hata kwa Allah
Sasa chuo kikuu kipi mzee wangu???
Na unajua maana ya elimu mzee wangu????
Na kuna aina ya elimu nyingi.....kwa binadamu.
Unazungumzia elimu ipi mzee wangu???
Allah never spoke,Allah never create anything by saying be and it was Allah alidanganya kusema Adam and Jesus was created by saying BE and ikawa Quran 3:59 and kaumbuka aya nyingine akasema Amemuumba Adam kwa Udongo.. So Allah tayari anakuwa sio Mungu wa Ukweli bali uongo
Kasome vizuri biblia uielewe.. Jesus alikuja specific for Wayahudi ndio maana aliwaletea Injil maana walikuwa wamestuck kwenye mila na Sheria za Mussa ambazo kuna time zinawabana mno ilifika time Jumamosi hata kitu cha maana hawawezi kukifanya Yesu akawaambia wafanye.. mfano tu Hamas walitumia siku ya Sabato kuwavamia Waisrael na ilichukua muda mrefu Israel kurespond sababu ya Sabato.. So Kuita mbwa ni mfano Yesu aliutoa kipindi kile kuwa Kuwa yeye alikuja kwa ajili ya Wayahudi and anakuja mtu mwingine alithi, je wewe kwenu even Mtoto wa Nje ya Ndoa hana urithi kwenye familia yenu ya kiislam.
Kumbuka utakachoponda katika ukristo jua Uislam ndio ulipo copy mengi..
Mohammad alimtia mke wa Mtoto wake wa Kufikia na akaamua kumuoa kabisa kuthibitisha kuwa Mtoto wa kufikia sio mtoto wako unawezza kumuoa kabisa.
Baada ya Wayahudi kukataa Injil Yesu kwa sababu ni Mungu aliupa Injil watu wote wa Duniani akawaambia wanafunzi wake waieneze Dunia nzima na imekuwa hivyo.
Ndio Christian ilianzia hapo..
Wajua Uislam ni for Arabs walio Mecca na karibu na Mecca Qran 26:13-16
Na Quran 26:22 Shetani anamshhukia Mwongo na mtenda madhambi... aya hii inatuonesha sura harisi ya Muhammad alifyoingiwa na Shetani kwani aya mnamfiti vizuri kabisa
Nobody......in Egyptian state television report this.......but Generaly Abdel Ghan el Gamasy knows the truths........Na alikataa Sadat aache propaganda aongee ukweli......sababu Cairo ilikua within IDF artillery range since October 15 1973View attachment 2937848
Nelson...Sasa chuo kikuu kipi mzee wangu???
Na unajua maana ya elimu mzee wangu????
Na kuna aina ya elimu nyingi.....kwa binadamu.
Unazungumzia elimu ipi mzee wangu???
Mkuu karibu upate historia za mambo ya kijeshi.........na ujasusi.
Unaruhusiwa kuchangia
Mzee wangu to be honest tatizo ni moja ulilonalo......vitabu vyako umeandika mapendekezi yako kiimani,kitamaduni,kihisia na kisiasa.....na mimi naujua mrengo wako......hivyo napata ukakasi kuvisoma....sababu wewe sio mwandishi huru.Nelson...
Kitabu hicho hapo chini kinasomesha historia ya uhuru wa Tanganyika.
Hii ni ''Corrective History.''
Utafiti mpya ukachangia kusahihisha historia iliyokuwapo ambayo ilikuwa na makosa.
Kitabu kimeongeza elimu mpya.
View attachment 2937847
Matoleo tofauti ya kitabu
Mara ya Kwanza kimechapwa London, 1998
View attachment 2937849
Kimechapwa Nairobi 2008
View attachment 2937850
Kitabu kinasomeshwa shule za msingi kufundisha lugha ya Kiingereza na Historia
Huu ni mradi maalum wa Oxford University Press, Nairobi
Kimechapwa 2006
View attachment 2937852
Kitabu cha shule za msingi kusomesha Kiingereza na Historia
View attachment 2937865
Mwandishi kati ya waandishi 500 walioandika hili kamusi
Mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York 2011
Mwanafunzi wa Shule ya Msingi, Sekondari au Chuo Kikuu katika vitabu hivi atapata elimu ambayo kabla hakuwanayo:
Nelson...
- The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
- The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
- Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
- Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
- Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
Hii ndiyo elimu ambayo huijui unaniuliza.
Huu ndiyo mchango wangu kwa jamii yangu, nchi yangu na ulimwengu katika kusomesha elimu mpya.
Hilo kamusi utalikuta katika maktaba naweza kusema ya kila Chuo Kikuu duniani.
Nelson...Nobody......in Egyptian state television report this.......but Generaly Abdel Ghan el Gamasy knows the truths........Na alikataa Sadat aache propaganda aongee ukweli......sababu Cairo ilikua within IDF artillery range since October 15 1973View attachment 2937848