IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Juma...
Uzi umeuharibu kwa kuonesha chuki dhidi ya Waislam.

Hapakuwa na haja ya kuandika "Wavaa Kobaz."

Umenivunja nguvu sana kuchangia uzi wako.

Ninayo mengi ninayojua ambayo pengine kwako yangekuwa mageni kabisa.

Mathalan usaliti wa Anwar Sadat wa Misri kwa Hafidh Al Asad katika Vita Vya Yom Kippur 1973.

Usaliti huu ndiyo ulioinusuru Israel na ndiyo sababu ya Sadat kupitishiwa hukumu ya kuuawa na Ikhwan.

Sasa kuna baadhi ya mambo ukiyajua utawaona Wayahudi kwa sura yao halisi na nguvu ya Marekani iliyoko nyuma yao.

Lakini bahati mbaya umefungua uzi kwa kuwatukana Waislam.
Mzee wangu umeona udhaifu wa IDF katika kuzuia surprise atracks.Je hilo linaondoa ubora wao katika kujilinda dhidi ya mahasimu wao???
 
Kwa mara ya pili IDF wamefanyiwa surprise attack na HAMAS ile inayofanana na hali walizokutana nazo kule Beirut LEBANON na JORDAN miaka ile ya 60,s na 70,s na 80,s kipindi cha maazimio ya waarabu kuifuta kabisa Israel kwenye ramani ya dunia na kukataa historia ya wayahudi kama watu huru bali vijakazi na watumwa wa waarabu.Ila kihuasilia haiondoi ubora wao katika nyanja za kivita.Nakumbuka wakati wa vita vya YOMM KIPPUR wiki ya kwanza kila mtu alijua IDF wameshindwa na majeshi ya EGYPT waliua na kuteka zaidi ya wanajeshi 700.Na kule GOLAN HEIGHTS majeshi ya makomando ya SYRIAN ARMED FORCES yaliiteka tena upya milima ya GOLAN na kuweza kuchukua mateka wanajeshi 200 na zaidi wa IDF.
Lakini kilichotokea wiki zilizofuata ni simulizi ambayo kila mchambuzi wa historia za kijeshi anazifananisha na jinsi WAAJEMI walivyoweza kuyazuia majeshi ya OTTOMAN EMPIRE kuvamia aridhi yao ya UAJEMI KARNE ILE.
Kiufupi IDF ilifeli suala zima la kiitelenjensia kuzuia suprise attack za Hamas militant kama ilivyofeli kuzuia suprise attacks za EGYPT NA SYRIA kwenye YOMM KIPPUR WAR.
Lakini hilo halitoi ubora wa intelenjisia ya IDF na MOSSAD na washirika wao kote duniani.
Tusubiri matokeo je Hamas na Hezbollah na kamati kuu ya Mahayatolah wa serikali ya mapinduzi ya kiislamu ya IRAN kama watafanikisha malengo yao yenye mtazamo wa kidini unaosema kua WAYAHUDI NI MAADUI WA WAISLAMU NA WAARABU NA HADHI YAO PEKEE NI KUA VIJAKAZI NA WATUMWA
Yom Kippur pale Anwaar Saadat alisababisha kufeli mpaka akauwawa ,vita walikuwa wameikamata yeye akagoma kusonga mbele na moto ule ule wa mashambulizi mpaka Wapinzani wakajipanga kushambulia kwa nguvu ,kiufupi Saadat nia yake haikuwa kusonga mbele bali ni kuvunja ule ukuta wa Isarael na kuikomboa Sinai Peninsula basi.

Matokeo ya ile vita unayajua viongozi wawili Wazito yule bibi na Moshe Daiyan kujiuzulu na Egypt kurudishiwa Sinai Peninsula.
 
Nelson....
Nipo.
Nichangie nini hapa?
Yote yanasikotisha.
Kwanza shikamo mzee wangu nikutakie heri...
Mimi nilikua nahisi na wewe una misimamo ile ya wanajeshi wa IDF wakiua raia wasio na hatia unashangilia au ile ya vikosi vya HAMAS na PLFP na PLO na HIZBULAH au ISS vikiua raia wasio na hatia unashangalia.
Usisikitike sababu hii dunia uhai wa binadamu umekua ni chombo cha wanasiasa kucheza nacho.
Vita haina mshindi bali inazaa visasi kwa karne hadi karne.
Pole mzee wangu najua unaumia na kusikitika kwa uhai wa binadamu kupotea kirahisi rahisi hivyo.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akutie nguvu mzee wangu.
 
Yom Kippur pale Anwaar Saadat alisababisha kufeli mpaka akauwawa ,vita walikuwa wameikamata yeye akagoma kusonga mbele na moto ule ule wa mashambulizi mpaka Wapinzani wakajipanga kushambulia kwa nguvu ,kiufupi Saadat nia yake haikuwa kusonga mbele bali ni kuvunja ule ukuta wa Isarael na kuikomboa Sinai Peninsula basi.

Matokeo ya ile vita unayajua viongozi wawili Wazito yule bibi na Moshe Daiyan kujiuzulu na Egypt kurudishiwa Sinai Peninsula.
Adriz,
Sadat hakusonga mbele kwa amri ya Marekani.

Nadhani Mohamed Heykal katika kitabu chake, "The Road to Ramadan," kaeleza haya.

Kitendo hiki kilimvunja nguvu Hafiz el Assad kwani Syria haiwezi peke yake kupigana na Israel.

Ikawa Wayahudi wamepata haueni kubwa.

Hapo ndipo Ikhwan Muslimon wakatoa fatwa Sadat lazima auawe kwa usaliti.

Hili lilitekelezwa.

Nimefika Yom Kippur War Memorial Cairo sehemu inaitwa Heliopolis.

Kumbukumbu hii inaeleza ushindi wa Misri katika vita vile.
 
Yom Kippur pale Anwaar Saadat alisababisha kufeli mpaka akauwawa ,vita walikuwa wameikamata yeye akagoma kusonga mbele na moto ule ule wa mashambulizi mpaka Wapinzani wakajipanga kushambulia kwa nguvu ,kiufupi Saadat nia yake haikuwa kusonga mbele bali ni kuvunja ule ukuta wa Isarael na kuikomboa Sinai Peninsula basi.

Matokeo ya ile vita unayajua viongozi wawili Wazito yule bibi na Moshe Daiyan kujiuzulu na Egypt kurudishiwa Sinai Peninsula.
Upo sahii kabisa na niongezee haya mkuu.Majeshi ya EGPTY yasingeweza kusonga mbele maana ile brigadia ya makomando na vifaru ilikua tayari imeshazungukwa na vikosi vya Ariel Sharon na ule mfumo wa ulinzi wa anga uliokua unawalinda wanajeshi wa EGPTY dhidi ya ndege za kivita za IDF ulikua haufanyi kazi tena.
Na hapa ndipo wale mateka wengi wa jeshi la EGPYT ndipo walipotokea baada ya wanajeshi wake kujisalimisha na ukumbuke lakini makomandoo wa jeshi la EGPYT walikua wameua karibia wanajeshi 700 wa IDF na kuchukua mateka kama wanajeshi 200 na ushee.
Lakini baada ya kuzungukwa nao IDF walichukua mateka kama 2000 na waliua wanajeshi zaidi ya 3500 ambao either walijisalimisha au walipigana mpaka kifo.
Wanajeshi wa IDF walijaribu kuingia Ismailia ili waingie Cairo,lakini jeshi la Misiri liliweka vikosi imara nje ya mji wa Ismailia na kuwarudisha nyuma IDF mpaka nje ya viunga vya mji wa Isimailia.
Mpaka wanafikia makubaliano ya kusitisha mapigano,,,vyote viwili vikosi vya EGYPT NA IDF vilikua katika sinai penisula location tofauti tofauti.Wakakubaliana pia na kubadilishana mateka na miili ya wanajeshi waliokufa vitani na vikosi vya Ariel Sharon avunje ile siege aliyokua ameviwekea vikosi vya EGYPT na atoke nje ya mji wa Isimailia.
NB: Na pia kwa kuongezea usisahau makamanda wa pande zote mbili (EGYPT NA ISRAEL) katika vitengo mbalimbali walijiuzulu kutokana na matokeo ya hiyo vita.
 
Adriz,
Sadat hakusonga mbele kwa amri ya Marekani.

Nadhani Mohamed Heykal katika kitabu chake, "The Road to Ramadan," kaeleza haya.

Kitendo hiki kilimvunja nguvu Hafiz el Assad kwani Syria haiwezi peke yake kupigana na Israel.

Ikawa Wayahudi wamepata haueni kubwa.

Hapo ndipo Ikhwan Muslimon wakatoa fatwa Sadat lazima auawe kwa usaliti.

Hili lilitekelezwa.

Nimefika Yom Kippur War Memorial Cairo sehemu inaitwa Heliopolis.

Kumbukumbu hii inaeleza ushindi wa Misri katika vita vile.
Hapa ndipo watu wanashindwa kuelewa mzee wangu na sijajua ni kwa kutojua au kuukwepa ukweli uliokuepo ndani ya uwanja wa vita.Vita ile haikua na mshindi maana wakati serikali za USSR NA USA zinawalazimisha wafanye makubaliano ya amani,tayari majeshi ya EGYPTIAN yalikua ndani kabisa ya sinai penisula na majeshi ya IDF yalikua nje ya mji wa Isimailia na yameshavuka Suez canal..Wakati huo huo vikosi maalumu vya makomandoo wa maparachuti wa Syrian defense forces vilivyokua vimeiteka Golan heights katika siku za mwanzo za vita vilikua vimerudishwa mpaka ndani kabisa ya Syria..Ungesoma pia mzee wangu kitabu cha VALLEY OF TEARS.
Vita ile haikua na mshindi na walilazimishwa na USSR na USA wafikie makubaliano ya kusitisha vita na kubadilishana mateka.
Lakini ni kweli raisi wa Syria mzee Sadat alivunjika moyo kabisa maana alikua anaanda counter offensive moja ya nguvu kwa msaada wa serikali ya Iraq.
 
Kwanza shikamo mzee wangu nikutakie heri...
Mimi nilikua nahisi na wewe una misimamo ile ya wanajeshi wa IDF wakiua raia wasio na hatia unashangilia au ile ya vikosi vya HAMAS na PLFP na PLO na HIZBULAH au ISS vikiua raia wasio na hatia unashangalia.
Usisikitike sababu hii dunia uhai wa binadamu umekua ni chombo cha wanasiasa kucheza nacho.
Vita haina mshindi bali inazaa visasi kwa karne hadi karne.
Pole mzee wangu najua unaumia na kusikitika kwa uhai wa binadamu kupotea kirahisi rahisi hivyo.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akutie nguvu mzee wangu.
Kwanza mkuu hakuna sababu yeyote inayo weza kutumika kuhalalisha mauaji ya raia iwe upande wa Hamas au Israel.

Hamasi walizingua sana kwa kuuwa raia hasa kwenye tamasha la mziki kwa sababu pale kulikuwa na raia wengi wa kigeni ambao kimsingi sio wahusika wa mzozo huo?

Na pia Israel wamezingua sana jinsi ilivyo jibu mashambulizi ya Hamas kwa kushambulia makazi ya raia na kuwauwa hovyo hovyo najua labda wamepaniki kutokana na pigo walilo pata lakini Israel ilitakiwa ijitofautishe na Hamas kwa kufanya mambo kwa weledi na sio kiholela kwa sababu nyenzo za kufanya hivyo wanazo.
Na jua watu watakuja na hoja ya kuwa Hamas anaficha silaha kwenye makazi ya raia lakini tukiongea kwenye uhalisia hamas Sio wajinga kiasi hicho ,hawawezi kuficha silaha kwenye majengo hali ya kuwa wanajua kabisa ya kuwa zitalengwa kiurahis na Israel.

Kwa kilicho tokea juma mosi hakika Israel imepata pigo moja takatifu la kijeshi na kijasusi.
Kilicho ighalimu Israel na ambacho kitakuja kuigharimu siku zijazo ni tabia yake ya kujiamini kupita kiasi kwasababu anajiona anajeshi bora pia ana washirika wenye nguvu duniani ivyo kujiona anaweza kufanya anavyo taka,tabia ya namna hiyo ili iangusha Roma.
 
Nitaleta uzi mzima kuelezea namna Johnathan alivyoweza kuingia katikati ya vikosi vya majeshi ya misri na kukata main supply yao wakati majeshi ya israel yameshitukizwa na vita siku ya sikukuu yao ya yom kippur!!!Aliingia katikati ya majeshi ya misri na wanajeshi 2000 tu na wakafanikiwa kukata main supply ya wana jeshi wa msiri na kuwateka wote waliokua wamevuka suez canal na kuingia jangwa la Sinai na kulazimisha mazungumzo ya kubadilishana mateka waliokua wametekwa na majeshi ya misri na kupelekwa Cairo na Ismailia !!Wakati huo alikua kilometa 200 kutoka ismailia!!!
Safi sana. Huu Uzi tayari ulishauleta? Ukileta nicheck pia
 
Kwanza mkuu hakuna sababu yeyote inayo weza kutumika kuhalalisha mauaji ya raia iwe upande wa Hamas au Israel.

Hamasi walizingua sana kwa kuuwa raia hasa kwenye tamasha la mziki kwa sababu pale kulikuwa na raia wengi wa kigeni ambao kimsingi sio wahusika wa mzozo huo?

Na pia Israel wamezingua sana jinsi ilivyo jibu mashambulizi ya Hamas kwa kushambulia makazi ya raia na kuwauwa hovyo hovyo najua labda wamepaniki kutokana na pigo walilo pata lakini Israel ilitakiwa ijitofautishe na Hamas kwa kufanya mambo kwa weledi na sio kiholela kwa sababu nyenzo za kufanya hivyo wanazo.
Na jua watu watakuja na hoja ya kuwa Hamas anaficha silaha kwenye makazi ya raia lakini tukiongea kwenye uhalisia hamas Sio wajinga kiasi hicho ,hawawezi kuficha silaha kwenye majengo hali ya kuwa wanajua kabisa ya kuwa zitalengwa kiurahis na Israel.

Kwa kilicho tokea juma mosi hakika Israel imepata pigo moja takatifu la kijeshi na kijasusi.
Kilicho ighalimu Israel na ambacho kitakuja kuigharimu siku zijazo ni tabia yake ya kujiamini kupita kiasi kwasababu anajiona anajeshi bora pia ana washirika wenye nguvu duniani ivyo kujiona anaweza kufanya anavyo taka,tabia ya namna hiyo ili iangusha Roma.
Upo sahii mkuu kwa maelezo yako..
Nimependa ulivyodadavua
 
Israel ni wachache sana, ila Sasa, fikiria opereshen zao za kijasusi ni Dunia nzima
20230604_005828.jpg
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Takataka tuu hao wazee wa mbeleko.Kwanza nimeamini watu wa Kanda Ile ya Urudi wale ndio roho ya paka.

Ukraine
Russia
Afghanistan
Somali
Yemen
 
Algeria hawaahirikiani na Israel sasa wataanzaje
Kwa nje na kwa Akili nyepesi ya kimadrasa unaweza kuona hawashirikiani lkn nyuma ya pazia wanafanya mengi Sana.

Achana na siasa za dunia.
 
Upo sahii kabisa na niongezee haya mkuu.Majeshi ya EGPTY yasingeweza kusonga mbele maana ile brigadia ya makomando na vifaru ilikua tayari imeshazungukwa na vikosi vya Ariel Sharon na ule mfumo wa ulinzi wa anga uliokua unawalinda wanajeshi wa EGPTY dhidi ya ndege za kivita za IDF ulikua haufanyi kazi tena.
Na hapa ndipo wale mateka wengi wa jeshi la EGPYT ndipo walipotokea baada ya wanajeshi wake kujisalimisha na ukumbuke lakini makomandoo wa jeshi la EGPYT walikua wameua karibia wanajeshi 700 wa IDF na kuchukua mateka kama wanajeshi 200 na ushee.
Lakini baada ya kuzungukwa nao IDF walichukua mateka kama 2000 na waliua wanajeshi zaidi ya 3500 ambao either walijisalimisha au walipigana mpaka kifo.
Wanajeshi wa IDF walijaribu kuingia Ismailia ili waingie Cairo,lakini jeshi la Misiri liliweka vikosi imara nje ya mji wa Ismailia na kuwarudisha nyuma IDF mpaka nje ya viunga vya mji wa Isimailia.
Mpaka wanafikia makubaliano ya kusitisha mapigano,,,vyote viwili vikosi vya EGYPT NA IDF vilikua katika sinai penisula location tofauti tofauti.Wakakubaliana pia na kubadilishana mateka na miili ya wanajeshi waliokufa vitani na vikosi vya Ariel Sharon avunje ile siege aliyokua ameviwekea vikosi vya EGYPT na atoke nje ya mji wa Isimailia.
NB: Na pia kwa kuongezea usisahau makamanda wa pande zote mbili (EGYPT NA ISRAEL) katika vitengo mbalimbali walijiuzulu kutokana na matokeo ya hiyo vita.
Nelson,
Soma kipande hicho hapo chini kutoka kwa Heykal, ''The Road to Ramadan'' hali ya vita siku za mwisho.

Labda itakusaidia kuelewa.

Napenda kukufahamisha kuwa hapa Marekani ilikuwa katika Nuclear Alert kuihami Israel.

Nuclear Alert ya nini ikiwa Israel ilikuwa inashinda vita?
Lakini ningependa unipe chanzo cha taariza zako ulizoweka hapo juu.
 
Nelson,
Soma kipande hicho hapo chini kutoka kwa Heykal, ''The Road to Ramadan'' hali ya vita siku za mwisho.

Labda itakusaidia kuelewa.

Napenda kukufahamisha kuwa hapa Marekani ilikuwa katika Nuclear Alert kuihami Israel.

Nuclear Alert ya nini ikiwa Israel ilikuwa inashinda vita?
Lakini ningependa unipe chanzo cha taariza zako ulizoweka hapo juu.
Nashukuru kwa mchango wako mzee wangu mpendwa ila tatizo mzee wangu wewe hauchambui kijeshi ila unachambua kwa kuipondea IDF kwa ujumla na kuegemea upande mmoja
Umeona uchambuzi wangu mimi nimesigusia na kukosoa majeshi ya pande zote tatu EGYPT NA ISRAEL NA SYRIA sijaegemea popote.
Mwandishi wa kitabu cha Road to Ramadan je alikuepo uwanja wa vita????
Na je mwandishi wa Road to Ramadan mtizamo wake kiitikadi ni upi au yupo sawia haegemei upande wowote???
Kweli mzee wangu utakataa kua IDF hawakufika nje ya mji wa Isimailia???
Au utakataa kua makomandoo wa Jeshi la anga la Syria hawakufanikiwa kuiteka Golan Heights kwa mda wa siku tatu?????
Na kuhusu suala la nyukilia ni USSR ndio walitishia kama vikosi vya IDF vitasonga mbele watatumia nyukilia kuilinda Egypt na ukumbuke kua ndege za kivita za Egyptian army na makombora ya mfumo wa SAF vilitoka USSR .Na USA ikatishia pia kutumia nyukilia kuilinda Israel sababu wakati ule kulikua na cold wars na ilipeleka kwa IDF dhana nyingi za kivita pamoja na ufaransa.
NB: Mm ni mchambuzi wa matukio ya kijeshi na sio mfuasi wa pande moja!!!
Ebu soma vitabu vingi vya yomm kippur war na utaielewa pande zote.
,kutoka kwa waandishi wa kiarabu na kiyahudi na utafute program ya Al jazeera inayoelezea hiyo vita.
Na mimi pia nitakisoma kitabu cha Road to Ramadan kwa umakini mkubwa mzee wangu
 
Nashukuru kwa mchango wako mzee wangu mpendwa ila tatizo mzee wangu wewe hauchambui kijeshi ila unachambua kwa kuipondea IDF kwa ujumla na kuegemea upande mmoja
Umeona uchambuzi wangu mimi nimesigusia na kukosoa majeshi ya pande zote tatu EGYPT NA ISRAEL NA SYRIA sijaegemea popote.
Mwandishi wa kitabu cha Road to Ramadan je alikuepo uwanja wa vita????
Na je mwandishi wa Road to Ramadan mtizamo wake kiitikadi ni upi au yupo sawia haegemei upande wowote???
Kweli mzee wangu utakataa kua IDF hawakufika nje ya mji wa Isimailia???
Au utakataa kua makomandoo wa Jeshi la anga la Syria hawakufanikiwa kuiteka Golan Heights kwa mda wa siku tatu?????
Na kuhusu suala la nyukilia ni USSR ndio walitishia kama vikosi vya IDF vitasonga mbele watatumia kuilinda Egypt.Na USA ikatishia pia kutumia nyukilia kuilinda Israel sababu wakati ule kulikua na cold wars.
NB: Mm ni mchambuzi wa matukio ya kijeshi na sio mfuasi wa pande moja!!!
Ebu soma vitabu vingi vya yomm kippur war na utaielewa pande zote.
,kutoka kwa waandishi wa kiarabu na kiyahudi na utafute program ya Al jazeera inayoelezea hiyo vita.
Na mimi pia nitakisoma kitabu cha Road to Ramadan kwa umakini mkubwa mzee wangu
Nelson,
Hakuna popote nilikoegemea.

Nimetalii kitabu ambacho wewe umekikataa kwa kusema Mohamed Heykali alikuwapo uwanja wa mapambano?

Unamjua Heykal heshima yake katika wasomi wa dunia?
Wewe ulikuwapo?

Mimi nimekuomba unipe taarifa zako hizo nini chanzo chake?
Maana yangu ni ''documented?''

Taarifa za Heykal ni ''documented.''

Maana yake ziko bayana kwa dunia na zinatoka kwenye vyanzo vya kuaminika.

Ubongo wangu siku zote uko wazi kujifunza ndiyo nakuomba rejea.

Nimefika Ismailia, Suez na nimeona ilipokuwa Bar-Lev Line.
Nimefika Port Said, Cairo na Alexandria.

Nimesafiri kupitia Desert Road kutoka Cairo hadi Alexandria na kutoka Alexandria, Tanta, Mehalla El Kubra, Damieta na kwengine kwingi.

Nimejifunza mengi kuhusu Wamisri.
 
Back
Top Bottom