IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Allah sio anakejeliwa watu wanasema ukweli kuhusu Allah... wewe unajua Allah hana Roho, Allah anapia Nyota Quran 53:1 nae ni Pagani, Hajui nini alianza kuumba, Dunia imewewekewa Milima ili isiyumbe... Allah anasifia Pombe ni ina faida and aya nyingine anasema Pombe ni ya Shetani, mean yeye ni yake na yeye ndie Shetani... usiite tena watu watusi ya Upagani wakati Allah ndie Pagan.. Kuna Mungu wenu yule wa kipagani aliyeitwa Sin hadi Surat zake mnazo mnaziita Yah-sin
Allah ndio nani mkuu???
Mungu wa kiarabu.......anayeabudiwa na MAARABU NA WAISLAMU kupitia nyota na mwezi.....!!!!!
HIYO QURAN SI KOPI YA TORATI IMEBADILISHWA NA MAARABU ILI KUIGA MAYAHUDI???
NB: KILA DINI INA MUNGU WAKE AU HUJUI MKUU???
 
Nelson...
Unanishangaza.
Ikiwa wewe tayari una imani yako Mungu ndiye unae toka alipokuumba.

Sasa kuwatafuta hao waungu wengine si utamuudhi mungu wako?

Kwani waungu wako wengi?
Quran si imesema Allah alituma Messenger kwa kila kabila

16:36 We surely sent a messenger to every community, saying, “Worship Allah and shun false gods.” But some of them were guided by Allah, while others were destined to stray. So travel throughout the land and see the fate of the deniers!​

 
Allah ndio nani mkuu???
Mungu wa kiarabu.......anayeabudiwa na MAARABU NA WAISLAMU kupitia nyota na mwezi.....!!!!!
HIYO QURAN SI KOPI YA TORATI IMEBADILISHWA NA MAARABU ILI KUIGA MAYAHUDI???
NB: KILA DINI INA MUNGU WAKE AU HUJUI MKUU???
MAarabu ndo nini mkuu, au ndo Maarabu == Mayahudi
 
Quran si imesema Allah alituma Messenger kwa kila kabila

16:36 We surely sent a messenger to every community, saying, “Worship Allah and shun false gods.” But some of them were guided by Allah, while others were destined to stray. So travel throughout the land and see the fate of the deniers!​

Hiyo Quran yenyewe imeandikwa na mtu......aliekopi torati....!?!
Tangu lini tukawaamini MAARABU waliokopi MAYAHUDI mkuu???
 
Nitumie jina la kitabu mkuu
Ni cha muda ila nimepata link wanayoelezea hio ishu

Screenshot_20240315-220846_Samsung Internet.jpg
wazee wa muislam ndugu yake muislam , full unafiki
Screenshot_20240315-220926_Samsung Internet.jpg
 
Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!! Na alikuwa wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekuwa hospital ambapo Amin alimuua baadae!!! Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!

Na alikuwa anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Tupia pic yake
 
Allah ndio nani mkuu???
Allah? Acha kustuka as if Umezaliwa Leo.. Katika Uislam kuna same ya aina ya Ushangao huo, ambapo Baba yake Ibrahim usiku ulipo ingia akatizama angani akaona Nyota akasema ile ndio Mungu Al Akbar (Al =Mungu) + (Akbar=Kubwa) akasujudu akaabudu, as if ndio siku yake ya kwanza kuona Nyota. And Siku iliyofuata Akaona Mwezi akashangaa tena the same akasema huyu ni Mungu wangu (Al = Mungu) + (Akbar=Kubwa) Akasujudu akaabudu Mtoto wake Akamuita baba yake kuwa ni Mjinga (Azar kwa Aramic language) Mtume Mohammed alipokuja kusoma kisa hiki akadhania Azar ni Jina la Baba yake Ibrahim akatumbukiza kisa kizima kwenye Quran Mohammad alikuwa ni fabricaterman ukianzia 6:75 -79

''Azar'' It means foolish in Arabic. Muhammad didn’t realise what this name meant and thought it was the name of Abraham’s father. Azar has same meant in Arabic as meaning of Terah in Hebrew. Both names referring to Abraham’s (PBUH) father.

Kama ulishwahi sikia kile kichekesho Jamaa mtu wa Makamo alienda Tanga wa Rafiki yake aliyehamia Jijini Tanga kama wiki tatu hivi, so alipoenda mwenyeje wake akampeleka kutizama sinema sasa usiku walipokuwa wanarejea home njiani mgeni akatizama juu akaona Mwezi akashangaa akamuuliza Mwenyeji wake eti kile king'aacho angani ni nini? Mwenyeji akamcheki mgeni wake akamuambia hata yeye ni mgeni hapo Tanga.

Mungu wa kiarabu.......anayeabudiwa na MAARABU NA WAISLAMU kupitia nyota na mwezi.....!!!!!
Kisa cha Mungu mwezi na Nyota kilianzia hapo kwa Abraham na Baba yake Quran Chapter 6
Even Allah huwa anaapa kwa Nyota Quran 53:1 Tafsiri Kiswahili Abdullah & Nassir
Allah anaapa kwa Nyota ziazozama zikiwa hazionekani. (By the star when it descends) وَٱلنَّجْمِ إِذَا هَوَىٰ ١
HIYO QURAN SI KOPI YA TORATI IMEBADILISHWA NA MAARABU ILI KUIGA MAYAHUDI???
Tatizo Wamecopy na kubadilisha ili isifanane.. Kuna kisa cha Mohammad Alienda kwenye Mazishi ya Wayahudi Walipomaliza kuzika wakaswali, Myahudi akamuambia Mudy this is what we pray. Mudy kusikia vile akawaambia maswahaba wake badilisheni isifanane.. a ya uislam.
NB: KILA DINI INA MUNGU WAKE AU HUJUI MKUU???
Unaweza ukawa sawa... Tatizo la Uislam Mohammad alikuwa kama Obama, Akienda kwa Muslim anawaambia historia ya Mohammad ni Amazing ya yeye baba yake ni Muislam, Wanafurahi Muslim,Akienda kwa Christian anawaambia naye ni Christian..

Sasa Muhammad hadi Kibra yake ya Kwanza ilikuwa ni Jerusalem akiwahadaa wayahudi na wakristo kuwa yeye ndie mtume wa Mwisho wakamuuliza kabira lake akasema ni Quraish wakamuambia hatuamini Mtume nje ya Uyahudi ni Agano la Mungu. kwahiyo akasema na Kibra ikahamia Petra baadae wakachange ikawa Mecca yaani uongo uongo even Ugomvi wa Pale Jerusalem eti Mtume alipaa mbinguni na alipotua katua kwenye huo Msikiti eneo la Hekaru la Wayahudi.

Ilifika akawaahidi pepo wasio Waislam Quran Chapter 2:62 Ukisoma utashanga kama hao Sabian wanaabudu Nyota
1710532748687.png
1710532788045.png
 
Hiyo Quran yenyewe imeandikwa na mtu......aliekopi torati....!?!
Tangu lini tukawaamini MAARABU waliokopi MAYAHUDI mkuu???
Quran zipo Mtume wao aliwaambia wachukue Quran 4 Kuna Njemba inaitwa Omary ilichoma Zingine Omary ndie Alipeleka Arabs Israel ambao ndio Tatizo lote sasa.

Quran inayotumiwa kwa wingi imeandikwa na Mtu ambaye anasifa zote mbaya katika uislam, Mwizi,Muongo,Taperi anaitwa ''Hafsi'' nae amenakiri according to according to according to according to according to according-to-according za kutosha recitation of Muhammad.

Ukisema wamecopy from wayahudi unawapa sifa sana Muhammad alicopy zile story za wayahudi wakiwahadithia watoto wao kama Solomon na Flying Carpet, Peter's Dream's to Heaven and Hell metaphoric. jamaa akisikia story anajaza on Quran... even Story ya Alexander the great jamaa aliyekuwa shoga amemuita ni Mtume wa Allah huyo ndio alisafiri hadi akakuta Jua linapozama kwa MATOPE... Waislam wana Mtume Shoga Dhul-Qarnayn (Mtu mwenye Mapembe mawili) yaani zile helmet za warumi zina pembe mbili Allah alikuwa hajui jina la mtume wake kama aliitwa Alexander (Alexander the Great) hii inaonesha uislam ni ubunifu tu wa Muhammad

Surah Al-Kahf - 86

Quran ni kitabu cha jokes muslim wanainamishwa kuabudu upagani wakijua Allah kitu ambacho haki exist yaani ibada zote wanazofanya zilikuwa za waarabu wapagani cha kushangaza wanajua... even Hija wamecopy kwa wahindu... Allah jina kwa kiarabu AL = Mungu Lah ndio jina la Moon God just Google utajionea history za Moon God na ibada zake perfect na uislam,hindu,sabian n.k
 
Quran zipo Mtume wao aliwaambia wachukue Quran 4 Kuna Njemba inaitwa Omary ilichoma Zingine Omary ndie Alipeleka Arabs Israel ambao ndio Tatizo lote sasa.

Quran inayotumiwa kwa wingi imeandikwa na Mtu ambaye anasifa zote mbaya katika uislam, Mwizi,Muongo,Taperi anaitwa ''Hafsi'' nae amenakiri according to according to according to according to according to according-to-according za kutosha recitation of Muhammad.

Ukisema wamecopy from wayahudi unawapa sifa sana Muhammad alicopy zile story za wayahudi wakiwahadithia watoto wao kama Solomon na Flying Carpet, Peter's Dream's to Heaven and Hell metaphoric. jamaa akisikia story anajaza on Quran... even Story ya Alexander the great jamaa aliyekuwa shoga amemuita ni Mtume wa Allah huyo ndio alisafiri hadi akakuta Jua linapozama kwa MATOPE... Waislam wana Mtume Shoga Dhul-Qarnayn (Mtu mwenye Mapembe mawili) yaani zile helmet za warumi zina pembe mbili Allah alikuwa hajui jina la mtume wake kama aliitwa Alexander (Alexander the Great) hii inaonesha uislam ni ubunifu tu wa Muhammad

Surah Al-Kahf - 86

Quran ni kitabu cha jokes muslim wanainamishwa kuabudu upagani wakijua Allah kitu ambacho haki exist yaani ibada zote wanazofanya zilikuwa za waarabu wapagani cha kushangaza wanajua... even Hija wamecopy kwa wahindu... Allah jina kwa kiarabu AL = Mungu Lah ndio jina la Moon God just Google utajionea history za Moon God na ibada zake perfect na uislam,hindu,sabian n.k
Mkuu nimekuuliza Qur'an ni nini??
Kitabu cha hadithi za waarabu wa kale.....walizokopi kwa wayahudi???
Ambacho kililetwa pwani ya afrika mashariki na washirazi wa kale????
NB: MAELEZO MENGI UNANICHANGANYA NIJIBU KIFUPI ILI NIELEWE MKUU.
 
Allah? Acha kustuka as if Umezaliwa Leo.. Katika Uislam kuna same ya aina ya Ushangao huo, ambapo Baba yake Ibrahim usiku ulipo ingia akatizama angani akaona Nyota akasema ile ndio Mungu Al Akbar (Al =Mungu) + (Akbar=Kubwa) akasujudu akaabudu, as if ndio siku yake ya kwanza kuona Nyota. And Siku iliyofuata Akaona Mwezi akashangaa tena the same akasema huyu ni Mungu wangu (Al = Mungu) + (Akbar=Kubwa) Akasujudu akaabudu Mtoto wake Akamuita baba yake kuwa ni Mjinga (Azar kwa Aramic language) Mtume Mohammed alipokuja kusoma kisa hiki akadhania Azar ni Jina la Baba yake Ibrahim akatumbukiza kisa kizima kwenye Quran Mohammad alikuwa ni fabricaterman ukianzia 6:75 -79

It means foolish in Arabic. Muhammad didn’t realise what this name meant and thought it was the name of Abraham’s father. Azar has same meant in Arabic as meaning of Terah in Hebrew. Both names referring to Abraham’s (PBUH) father.

Kama ulishwahi sikia kile kichekesho Jamaa mtu wa Makamo alienda Tanga wa Rafiki yake aliyehamia Jijini Tanga kama wiki tatu, so alipoenda mwenyeje wake akampeleka kutizama sinema sasa usiku walipokuwa wanarejea home njiani mgei akatizama juu akaona Mwezi akashangaa akamuuliza Mwenyeji wake eti kile king'aacho angani ni nini? Mwenyeji akamcheki mgeni wake akamuambia hata yeye ni mgeni hapo Tanga.


Kisa cha Mungu mwezi na Nyota kilianzia hapo kwa Abraham na Baba yake Quran Chapeter 6
Even Allah huwa anaapa kwa Nyota Quran 53:1 Tafsiri Kiswahili Abdullah & Nassir
Allah anaapa kwa Nyota ziazozama zikiwa hazionekani. (By the star when it descends) وَٱلنَّجْمِ إِذَا هَوَىٰ ١

Tatizo Wamecopy na kubadilisha ili isifanane.. Kuna kisa cha Mohammad Alienda kwenye Mazishi ya Wayahudi Walipomaliza kuzika wakaswali, Myahudi akamuambia Mudy this is what we pray. Mudy kusikia vile akawaambia maswahaba wake badilisheni isifanane.. a ya uislam.

Unaweza ukawa sawa... Tatizo la Uislam Mohammad alikuwa kama Obama, Akienda kwa Muslim anawaambia historia ya Mohammad ni Amazing ya yeye baba yake ni Muislam, Wanafurahi Muslim,Akienda kwa Christian anawaambia naye ni Christian..

Sasa Muhammad hadi Kibra yake ya Kwanza ilikuwa ni Jerusalem akiwahadaa wayahudi na wakristo kuwa yeye ndie mtume wa Mwisho wakamuuliza kabira lake akasema ni Quraish wakamuambia hatuamini Mtume nje ya Uyahudi ni Agano la Mungu. kwahiyo akasema na Kibra ikahamia Petra baadae wakachange ikawa Mecca yaani uongo uongo even Ugomvi wa Pale Jerusalem eti Mtume alipaa mbinguni na alipotua katua kwenye huo Msikiti eneo la Hekaru la Wayahudi.

Ilifika akawaahidi pepo wasio Waislam Quran Chapter 2:62 Ukisoma utashanga kama hao Sabian wanaabudu Nyota View attachment 2935711View attachment 2935712
Mkuu hizi adithi wewe umetoa wapi???
Kwa waarabu au wayahudi mkuu??
Afu huyo allah ndio yule mungu wa waarabu na waislamu wanaoabudu nyota na mwezi na malikia wa anga???
NB: MAELEZO MENGI UNANICHANGANYA NIJIBU KWA KIFUPI NIELEWE MKUU
 
MImi nimekukumbusha kua ulikua unapiga vita watu kutumia neno mayahudi, leo nimeshangaa umetumia maarabu
Hapo mkuunimetumia neno hilo ili kueleweka kwa wale wanaopinga kutumika kwa neno MAARABU wakidai ni dhiaka.....ila wanaona sahii kutumia neno MAYAHUDI wakiona ni sahii.
 
Tujadili na hili mzee wangu....jinsi mossad walivyowaingiza mkenge waarabu wa hamas October 07.
Nelson...
Mjadala huu mzito na wa kusikitisha lakini wewe unaandika katika lugha ya kuonyesha ubaguzi, furaha ya kuuliwa, "Waarabu wa Hamas."

Mimi nichangie nini?
Nichangie furaha ya "genocide?"

Unaijua historia ya Auschwitz na kwengineko?

Ungekuwako wakati ule ungeandika, Manazi na mkenge waliowapandisha Wayahudi wa Poland na kwengineko?

Kalamu yangu mimi inafika mbali sana.

Haifanani na kalamu yako na akili yako isiyotambua msiba na nafasi ya faraja.

Hebu soma hayo hapo chini:

HISTORIA YA UDHALIMU IKIHIFADHIWA NI SILAHA KWA ALIYEDHULUMIWA NA HUWA FUNZO JEMA KWA DHALIMU

Mgahawa mpya ulitangazwa kuwa utafunguliwa tarehe kadhaa na ukawa unafanyiwa matangazo katika gazeti maarufu mjini Tel Aviv na tangazo likawa limetiwa kila aina ya maneno ya kuvutia wakisema, ‘’Watch This Page,’’ yaani usikose kuangalia ukurasa huu na tangazo lilikuwa na ukurasa mzima katikati ya gazeti sehemu ambayo msomaji hatakosa kufungua.

Ikawa hivyo kwa mwezi mzima na kila tangazo linawekewa nakshi, maandishi na picha za kuvutia huku siku zikihesaiwa kuwa leo zimebakia siku 5 mgahawa kufunguliwa siku ya pili tangazo litanadi zimebaki siku 4 mgahawa kufunguliwa na hivyo, hivyo tangazo likawa kila siku hadi ikabaki siku 1 na kuongezea, ‘’Kesho ndiyo siku yenyewe ya ufunguzi.’’

Hapo pakawekwa tangazo kuwa kwa watu 100 watakaopata kifungua kinywa hapo baina ya muda wa chai na chakula cha mchana mgawaha utakapofunguliwa watakula bure na watapewa zawadi ambayo haikutajwa na watapewa mwaliko maalum wa kuja kula chakula cha jioni na wake au waume zao.

Haya yote yatafanywa kwa ‘’rotary,’’ baina ya wakati wa chai asubuhi na chakula cha mchana.

Hata kabla hakujaanuka sawasawa muda wa kufungua mgahawa haujafika mtaa ukawa kama vile umevamiwa.

Pembeni ya mtaa karibu kabisa na mgahawa liliegesha gari la televisheni mtu wa camera akijaribu kupata picha zilizokuwa zinarushwa mubashara.

Jambo kama hili lilikuwa halijapata kutokea popote katika kumbukumbu za wakazi wa Tel Aviv.

Kweli kumekuwa na matangazo kama haya ya kuvutia biashara lakini hili lilikuwa limefurtu ada.

Kulikwa na uvumi kama kawaida ya miji mikubwa kuwa itatolewa zawadi ya dola za Marekani 10,000.00.

Muda wa kufungua mgahawa ukafika.

Mgahawa huu haukuwa umeelezwa jina lake.

Watu wakawa wamejipanga tayari kwa ufunguzi na kuingia ndani ya mgahawa.

Kabla ya kufungua milango mtangazaji akatawatangazia waliokuwapo kuwa watu wataingia baada ya kupachika bao lenye jina la mgahawa.

Mbele ya mlango palikuwa na wasichana warembo wamevaa vizuri wanasubiri kukaribisha watu.

Wakatokea watu wawili wamevaa nguo za wajenzi kichwani wana ‘’helmet,’’ yaani kofia ngumu na mabuti wakapanda zile ngazi kila upande wa mlango wamebeba bao limefunikwa kwa kitambaa cha hariri cheupe wakapanda ngazi zilizokuwa pembeni wakatundika bao na kwa haraka wakashuka chini.

Wakaja wasichana warembo wawili wakashika kamba huku na huku wakavuta na jina la mgahawa likaonekana likiwa katika maandishi ya makubwa meusi kwenye ubao mweupe.

Jina la mgawaha lilikuwa moja tu, ‘’Auschwitz.’’

Ulipigwa ukimya kwa sekunde ikawa kama vile wale waliofika pale wametokewa na zimwi mla watu anataka kuwatoa roho.

Wapiga picha walizubaa kwa sekunde chache kisha ghafla ikawajia kuwa wapo mbele ya tukio kubwa na kwa ghafla vilevile kama walivyoshtuka na kusita kupiga picha milio ya camera zikasika mianga ya camera ikikimbizana na kufanya kivuli na mwanga, kivuli na mwanga, kivuli na mwanga, camera zikatoka kwenye bao zikaelekezwa kwa watu wake kwa waume waliofika kwenye ufunguzi ule camera sasa zikiwa zimelengwa sura zao.

Wapigaji picha wale wenye uzoefu wa miaka na miaka wakijua kuwa tukio lile lote litabebwa na sura zilizopigwa na radi kali ya mshtuko wa yale yaliyokumbushwa na na yale waliofanyiwa wazee wao na Wajerumani Poland kwenye kambi iliyokuwa ’Auschwitz.’’

Milango ilikuwa wazi lakini hakuna aliyenyanyua mguu kuingia ndani ya mgahawa ule.

Kundi lile lililokuwa limejikusanya pale nje mbele ya mgahawa likawa sasa linarudi kinyume nyume, kimya kimya.

Ilichukua muda wa dakika mbili au tatu hivi kwa watu kurudi katika hali zao za kawaida.

Nyuma ikasikika sauti ya mtu akipiga ukelele, ‘’Vunja mgahawa huo, vunja!’’

Kama mashine ya saa inavyofanya kazi bao lilishushwa kwa haraka na mahali pale likapandishwa bao jingine kubwa mara mbili ya lile likiwa lineandikwa maneno haya, ‘’Hatujasahau!’’

Ikasikika sauti kutoka kipaza sauti kinapiga nyimbo maarufu ya Wayahudi, ‘Havanagila’’ na sauti ya msichana inaita,’’Karibuni ingieni ndani tunywe chai na tupongezane kwani tunastahili, baada ya miaka hii yote na vizazi kupita bado hatujasahau.’’

Taratibu watu wakawa wanaingia mgahawani na kabla hawajaingia ndani walikuwa wanafuta viatu vyao kwenye lile bao lililoandikwa, ’’Auschwitz.’’

Historia inayoishi kwa kukumbukwa ni silaha ya kuzuia dhulma zilizofanywa na madhalimu kutorudiwa tena.
 
Back
Top Bottom