IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Ndugu zanguni,
Taarifa za mauaji ya Wayahudi na Hitler yalifanyika kwa siri na kimya kimya katika "Concentration Camps," maarufu katika hizi ni Auschwitz, Poland.

Dunia haikujua nini kilikuwa kinafanyika katika nchi ambazo Hitler alikuwa keshaziteka.

Lakini kulikuwa na uvumi kuwa Hitler amekusudia kuwagharikisha Wayahudi wote na akiwatia katika matanuri ya gesi.

Ilikuwa tabu watu kuamini maneno haya lakini duru za kiinteligensia ziliingia kazini kutafuta ukweli.

Kipindi hiki ilikuwa kama vile Ujerumani na washirika wake watashinda vita.

Kila kukicha Wayahudi walikuwa wanakusanywa na kupelekwa kwenye kambi za mateso na mauaji, kazi ngumu chakula kidogo.

Myahudi kama hakufa kwa kipigo cha askari wa Kijerumani atakufa kwa kazi ngumu au ndani ya gas chamber.

Neno Gestapo likawa linatisha.

Hawaitembelei familia ikabakia salama.

Myahudi akapoteza kabisa utu wake.
Hana thamani.

Vita vikageuka Hitler alipodhani kuwa anaweza kuiteka Urusi.

Urusi kwa kipimo isingeweza kuhimili mikiki ya Hitler lakini General Winter akatokea.

Hili baridi kali ndilo lililoinusuru Soviet Union.

Wajerumani hawakuweza kusonga mbele.

Lakini matanuri hayakusimama kuua.
Gestapo ilisimamisha unyama wao pale ilipowadhihirikia kuwa kilichobakia ni kwa wao kunusuru nafsi zao.

Red Army ilikuwa inasonga mbele nyuma ya majeshi ya Hitler yaliyokuwa sasa yanakimbia yakirudi nyuma.

Allied Forces askari wao walipoingia Auschwitz macho yao hayakuamini waliyoyaona.

Inawezekana vipi binadamu kumfanyia binadamu mwenzake ukatili kama ule.

Wayahudi ndani ya kambi wamebakia mifupa na ngozi.

Imekuwaje hawajafa wote kama ilivyokusudiwa Allah ndiye ajuaye.

Final Solution imeshindikana.

Nimefika nyumba ya kumbukumbu ya holocaust Berlin.

Nimefika mara mbili Msikiti Mkuu wa Paris ambao ulitumiwa kuwaficha Wayahudi waliokuwa wanakimbia kuuliwa na Hitler.

Ofisi yangu Berlin ndani ya Zentrum Moderner Orient (ZMO) jumba hili lilikuwa makao makuu ya Gestapo.

Hili sikulitegemea katika maisha yangu.

Nimetafiti na kusoma mengi katika historia ya balaa lililowakuta Wayahudi na kuangamizwa kwao.

Sijakuta mahali popote watu wanashangilia mateso ya Wayahudi na kuuliwa kwao.

Sijaona wala kusoma popote Gestapo ikisifiwa uhodari wa kukamata Wayahudi, kuwatesa kisha kuwaua kwa.gesi.
Mzee wangu sisi sote watu wazima tuache kupindisha na kuficha maneno.Waarabu na waislamu wanashangilia sana.....dhahama zozote wanazopitia wayahudi.....toka enzi za waajemi na wamedi.....wakaja warumi.....wakaja makhalifa.......na wengineo wengi ambao waliwaondoa wayahudi kwenye aridhi za mababu zao.
Wanasema mungu wao wa kiarabu aitwaye allah kawalaani hivyo lazima wawaue... na kawaambia waarabu kua wayahudi hawana historia wala makazi ya kukaaa na hadhi ya ubinadamu sabanu wamekataa kufuata dini ya kiarabu... hivyo wawaue atawapa thawabu!!
NB: KAMA WAYAHUDI WA MOSSAD NA IDF IMARA...BASI LEO WANGEKUA SEX SLAVE NA WATUMWA WA WAARABU NA WAISLAMU....KAMA VITA VYOTE WALIVYOPIGANA WANGESHINDWA....!!!

Screenshot_20240228-070918.png
 
😂😂😂MKUU YESU NDIO NANI????
MAANA KUNA YESU WA WAYAHUDI.
NA KUNA YESU WA WAARABU ISSA.
HIZO MADA WAPELEKEE WAFIA DINI ZA WAKOLONI
NB: MADA YETU NI MAYAHUDI KUWAZIDI MAARIFA MAARABU HAPO MASHARIKI YA KATI.....KATIKA NYANJA ZOOOTE NA KIAKILI.
Jifanye humjui Yesu lakini leo ninawe ingawa Bwana Yesu alishasema wengine mna mioyo migumu , na mmoja wapo ni wewe

Katika kitabu Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia): imeandikwa nanukuu,

"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wanaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema: Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Mathayo 9.12

Kitabu kinaendelea ,

"Upande mwengine, huku kutaja mbwa na nguruwe huweza kuwa ni maneno aliyoyachagua Mathayo kulipa nguvu wazo lake kuwa isifanywe juhudi kubwa kueneza mafunzo ya Yesu miongoni mwa Mataifa mengine. Labda ni nadhari ya Mathayo kuwa ipo hatari kubwa ya hayo Mataifa kuudhika na juhudi za kutaka kuwatanasarisha na kwa hivyo wakawatesa Wakristo; itakuwa ndio 'watageuka na kuwararua'.Na hayo kwa hakika waliwahi kuyafanya. Yaweza kuwa aliona kuwa yale Mataifa yaliyoukubali Ukristo bila ya kuijua Sharia ya Musa yangeweza kuyavuruga mafunzo ya Yesu: 'na kuyakanyaga chini ya miguu yao.'"

Na juu ya kauli ya Yesu :

"Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa," Kitabu kinasema:

"Hapa Mathayo kwa uwazi anatuletea Yesu ambaye kazi yake ni ndani ya mipaka ya uwananchi wa Kiyahudi tu."

Tukiendelea na isemavyo Biblia juu ya ujumbe wa Yesu tunapata ushahidi zaidi kutokana na Injili ya Mathayo:

Hao Thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Mathayo 10.5-6

Hao Thenashara ni wanafunzi wake kumi na mbili aliowateua mwenyewe Yesu kutangaza mafunzo yake. Hapo anawapa amri zilizo wazi kuwa wasiwaendee watu wa Mataifa, yaani wasiokuwa Waisraili.

Hao wanafunzi kumi na mbili ndio wanaoitwa katika Biblia "mitume" kwa kuwa walitumwa na Yesu.

Na wao kama yeye mwenyewe hawakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa Israel" kwani "si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
 
Mzee wangu sisi sote watu wazima tuache kupindisha na kuficha maneno.Waarabu na waislamu wanashangilia sana.....dhahama zozote wanazopitia wayahudi.....toka enzi za waajemi na wamedi.....wakaja warumi.....wakaja makhalifa.......na wengineo wengi ambao waliwaondoa wayahudi kwenye aridhi za mababu zao.
Wanasema mungu wao wa kiarabu aitwaye allah kawalaani hivyo lazima wawaue... na kawaambia waarabu kua wayahudi hawana historia wala makazi ya kukaaa na hadhi ya ubinadamu sabanu wamekataa kufuata dini ya kiarabu... hivyo wawaue atawapa thawabu!!
NB: KAMA WAYAHUDI WA MOSSAD NA IDF IMARA...BASI LEO WANGEKUA SEX SLAVE NA WATUMWA WA WAARABU NA WAISLAMU....KAMA VITA VYOTE WALIVYOPIGANA WANGESHINDWA....!!!

View attachment 2937264

Yaani wayahudi wenyewe hawaumii kuliko majibwa na maguwuwe ??



View: https://www.youtube.com/shorts/R4FjjqCt5N0
 
Mzee wangu sisi sote watu wazima tuache kupindisha na kuficha maneno.Waarabu na waislamu wanashangilia sana.....dhahama zozote wanazopitia wayahudi.....toka enzi za waajemi na wamedi.....wakaja warumi.....wakaja makhalifa.......na wengineo wengi ambao waliwaondoa wayahudi kwenye aridhi za mababu zao.
Wanasema mungu wao wa kiarabu aitwaye allah kawalaani hivyo lazima wawaue... na kawaambia waarabu kua wayahudi hawana historia wala makazi ya kukaaa na hadhi ya ubinadamu sabanu wamekataa kufuata dini ya kiarabu... hivyo wawaue atawapa thawabu!!
NB: KAMA WAYAHUDI WA MOSSAD NA IDF IMARA...BASI LEO WANGEKUA SEX SLAVE NA WATUMWA WA WAARABU NA WAISLAMU....KAMA VITA VYOTE WALIVYOPIGANA WANGESHINDWA....!!!

View attachment 2937264
Nelson...
Hapa unajadili na mimi.

Zingatia hili na zingatia na ninachoeleza.

Hayo unayoeleza ni chini ya viwango vya mijadala ambayo mimi naweza kushiriki.

Una uhuru wa kuendelea na mjadala huu na hao "washangiliaji" mimi ni wa kiwango na wa fikra tofauti.

Naona vibaya kuniandikia kisha nikupuuze kwa kukunyamazia.

Tafadhali usinifikishe huko.
Kuna wenzako hapa siwajibu.

Sioni sababu ya mimi kukuingiza wewe kwenye "shit list."
 
Nelson...
Hapa unajadili na mimi.

Zingatia hili na zingatia na ninachoeleza.

Hayo unayoeleza ni chini ya viwango vya mijadala ambayo mimi naweza kushiriki.

Una uhuru wa kuendelea na mjadala huu na hao "washangiliaji" mimi ni wa kiwango na wa fikra tofauti.

Naona vibaya kuniandikia kisha nikupuuze kwa kukunyamazia.

Tafadhali usinifikishe huko.
Kuna wenzako hapa siwajibu.

Sioni sababu ya mimi kukuingiza wewe kwenye "shit list."
Hapana mzee wangu.....tatizo lako hujawahi kukutana na mtu muwazi na mkweli asiyekua mnafiki wa hoja na anayezisema tabia za wanadamu bila unafiki......sababu ya ukweli wangu wa hoja binadamu wananikwepa
NB: USIOGOPE UKWELI.........NA MIMI MKWELI WA HOJA SABABU SIO BINADAMU MNAFIKI........!!!!
NAZIJUA TABIA ZA WANADAMU
NAJUA MAPOKEO YAO
MATAMANIO YAO
HISIA ZAO.....!!!!!
NIMEKAA NA WAARABU NA HUSHANGILIA SANA MYAHUDI AKIFA AU KUUAWA AU KUTEKWA.
NIMEKAA NA WAYAHUDI NAO HUJISIKIA FAHARI KUUA NA KUTEKA WAARABU.
 
ILE VITA VYA 1973 KAMA MAKOMANDO WA JESHI LA SYRIA HASA WALE WA KIKOSI CHA MIAMVULI WANGEFANIKIWA KUISHIKILIA KWA MDA MREFU ILE ELECTRONIC POST YA MOUNT HERMON.....BASI GOLAN YOTE INGERUDI KWA WAARABU.
ILA HAWAKUA NA MIPANGO....HUWEZI KUTUMIA KIKOSI CHA ASKARI WA MIAMVULI 500 DEEP WITHIN ENEMY LINE BILA MPANGO MBADALA WA KUWALETEA USAIDIZI WA ANGANI NA ARIDHINI.
WALIFANIKIWA KWA MDA KUHOLD HIYO POST HUKU 70 KATI YAO WAKAFA PAPO HAPO.
ILA WALIWAZIDI WANAJESHI WA IDF.....WAKAWAUA WENGI NA KUSHIKA WENGINE MATEKA......KWA MDA WA SIKU KAMA TANO HIVI.
***********************
LAKINI USHUPAVU WAO UNAKUMBUKWA SANA KWA SISI WATU WA MEDANI ZA KIJESHI MAANA WALIPAMBANA MPAKA WALIPOZIDIWA NA KUJISALIMISHA 10 HOURS BEFORE CEASE FIRE.
 
ILE VITA VYA 1973 KAMA MAKOMANDO WA JESHI LA SYRIA HASA WALE WA KIKOSI CHA MIAMVULI WANGEFANIKIWA KUISHIKILIA KWA MDA MREFU ILE ELECTRONIC POST YA MOUNT HERMON.....BASI GOLAN YOTE INGERUDI KWA WAARABU.
ILA HAWAKUA NA MIPANGO....HUWEZI KUTUMIA KIKOSI CHA ASKARI WA MIAMVULI 500 DEEP WITHIN ENEMY LINE BILA MPANGO MBADALA WA KUWALETEA USAIDIZI WA ANGANI NA ARIDHINI.
WALIFANIKIWA KWA MDA KUHOLD HIYO POST HUKU 70 KATI YAO WAKAFA PAPO HAPO.
ILA WALIWAZIDI WANAJESHI WA IDF.....WAKAWAUA WENGI NA KUSHIKA WENGINE MATEKA......KWA MDA WA SIKU KAMA TANO HIVI.
***********************
LAKINI USHUPAVU WAO UNAKUMBUKWA SANA KWA SISI WATU WA MEDANI ZA KIJESHI MAANA WALIPAMBANA MPAKA WALIPOZIDIWA NA KUJISALIMISHA 10 HOURS BEFORE CEASE FIRE.
Unaongeza pages kwenye uzi wako?
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Unawafahamu Hamas? Mbona hadi leo wanawatoeni jasho mmeshindwa hata kuwaokoa mateka wenu?
 
Hapana mzee wangu.....tatizo lako hujawahi kukutana na mtu muwazi na mkweli asiyekua mnafiki wa hoja na anayezisema tabia za wanadamu bila unafiki......sababu ya ukweli wangu wa hoja binadamu wananikwepa
NB: USIOGOPE UKWELI.........NA MIMI MKWELI WA HOJA SABABU SIO BINADAMU MNAFIKI........!!!!
NAZIJUA TABIA ZA WANADAMU
NAJUA MAPOKEO YAO
MATAMANIO YAO
HISIA ZAO.....!!!!!
NIMEKAA NA WAARABU NA HUSHANGILIA SANA MYAHUDI AKIFA AU KUUAWA AU KUTEKWA.
NIMEKAA NA WAYAHUDI NAO HUJISIKIA FAHARI KUUA NA KUTEKA WAYAHUDI WAARABU.
Nelson...
Jifunze kuandika.
Tuanze na matumizi ya dots.

Zinatakiwa ziwe 3 ...
Matumizi ya !!!

Tumia kwenye riwaya.

Matumizi ya herufi kubwa.
Yana sehemu maalum.

Inaelekea hukufika mbali.
Unahitaji shule zaidi.

Nelson,
Angalia hapo chini picha hizo.
Huo ndiyo ujuzi wangu katika somo hili na mengine.

Ndiyo unaona hapa nyumbani naalikwa kuzungumza SUZA, Centre For Foreign Relations Kurasini na vyuo vingine.

Kalamu yangu inafika mbali nina wajibu mkubwa kulinda heshima yangu.
Siwezi kuwa sehemu ya mjadala wako.

Napenda kukuzindua kuwa kuna vijana kadhaa wa Kiyahudi wanafunzi wamepita kwangu katika kuandika Ph D zao.

1710704974371.png

Grande Mosque, Paris 1993
Msikiti huu ulitumika kuwaficha Wayahudi waliokuwa wanatafutwa na Gestapo
1710705166543.jpeg

Grande Mosque, Paris 2011
Kulia Salim Himidi Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mstaafu Comoro
1710705272191.png

ZMO Berlin, 2011
Palipata kuwa Makao Makuu ya Gestapo


 
Yuko mwamba mwingine aliyekua Misri miaka ya 60 naye mfanyabiashara aliyejifanya mjerumani.
Mnakumbuka zile ndege zilizokua ziruke kwenda kuimaliza Israel toka Misri halafu zikaja zikachakazwa dakika chache kabla hazijapaa. Mwamba ndio alitoa Siri kwa MOSSAD.
Wamisri waligundua too late na wakamnyonga.
Mossad hata wakitaka agent wao awe fluent kwenye kuongea kisukuma ni wiki moja tu wanajitahidi wako vizuri kwenye u spy
 
Huwa sikisii.

Israel Occupation Forces.
So umeumbuka and umeamua kutumia Taqiyya ramadhani hii? kweli.. Kama Israel ni Occupations force na waislam mnaamini kila kitu anapanga Allah.. so lawama na hasira zenu zimuendee Allah... Ardhi ni ya Waisrael according to Allah. all name mnayowaita Wasrael yanamuendea Allah. kwa kuwapa ardhi Hebrew na aliwaambia wasitoke hadi kiama... Nyie ndi mmekuwa Wapinzani wa Allah... na hii mnavyowatetea Arabs immigrant to the holly land mnadhibitisha kuwa Allah is nothing to you all and Allah is not Exist so keep goin on mtamshinda Allah
 
Ndugu zanguni Waislam,
Nawajibika kuwakumbusha Allah anasema nini kuhusu pale panapokuwa na mazungumzo ya kumkanusha yeye.

Allah anasema ujiondoe mahali hapa haraka.

Allah anatufunza anasema usiwatukanie Mungu wao ukasababisha wao kumtukana Mungu wa kweli.
Allah never spoke,Allah never create anything by saying be and it was Allah alidanganya kusema Adam and Jesus was created by saying BE and ikawa Quran 3:59 and kaumbuka aya nyingine akasema Amemuumba Adam kwa Udongo.. So Allah tayari anakuwa sio Mungu wa Ukweli bali uongo
 
Ndivyo Roho mtakatifu wako alivyokutekenya Leo ? Math 7 :6 Yesu anakuita wewe ni jibwa tu
Kasome vizuri biblia uielewe.. Jesus alikuja specific for Wayahudi ndio maana aliwaletea Injil maana walikuwa wamestuck kwenye mila na Sheria za Mussa ambazo kuna time zinawabana mno ilifika time Jumamosi hata kitu cha maana hawawezi kukifanya Yesu akawaambia wafanye.. mfano tu Hamas walitumia siku ya Sabato kuwavamia Waisrael na ilichukua muda mrefu Israel kurespond sababu ya Sabato.. So Kuita mbwa ni mfano Yesu aliutoa kipindi kile kuwa Kuwa yeye alikuja kwa ajili ya Wayahudi and anakuja mtu mwingine alithi, je wewe kwenu even Mtoto wa Nje ya Ndoa hana urithi kwenye familia yenu ya kiislam.

Kumbuka utakachoponda katika ukristo jua Uislam ndio ulipo copy mengi..
Mohammad alimtia mke wa Mtoto wake wa Kufikia na akaamua kumuoa kabisa kuthibitisha kuwa Mtoto wa kufikia sio mtoto wako unawezza kumuoa kabisa.

Baada ya Wayahudi kukataa Injil Yesu kwa sababu ni Mungu aliupa Injil watu wote wa Duniani akawaambia wanafunzi wake waieneze Dunia nzima na imekuwa hivyo.
Ndio Christian ilianzia hapo..

Wajua Uislam ni for Arabs walio Mecca na karibu na Mecca Qran 26:13-16
Na Quran 26:22 Shetani anamshhukia Mwongo na mtenda madhambi... aya hii inatuonesha sura harisi ya Muhammad alifyoingiwa na Shetani kwani aya mnamfiti vizuri kabisa
 
Back
Top Bottom