IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Huyu mzee anahusudu uongo na historia zake zote kachomeka uongo 60% tulishamsema sana akawa anasepa ila haachi kulazimisha uongo wake... TBC zipo audio za viongozi wanazungumza kwa sauti za midomo yao haziendani kabisa na maandishi ya vitabu vyake.. hana tofauti na mwandishi wa Quran Hafsi muongo japo Quran yake ilikubaliwa na ndio wanayoitumia lakini hadithi za Hafsi zimepigwa chini na waislam.. huyu nae ni same kama Hafsi.. mzee wa According to according to according to according to Mohammad according no Jibril according to Allah hahahaha
Hafsi ndio mwarabu wa wapi mkuu
 
Yesu hakupewa ujumbe wa utume kwa ajili ya watu wote wa kabila zote. Bali yeye alikuwa Mtume kwa ajili ya wana wa Israeli tu.

Mwenyewe alijua mipaka ya utume wake. Kwahiyo alisema:

1. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:24).

2. Wakati mwanamke mmoja asiyekuwa mwana wa Israeli alipokuja kwa Yesu Kristo kuomba baraka zake, Yesu akakataa na zaidi ya kukataa aliwatusi wasiokuwa Waisraeli. “Akasema si vyema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia m’mbwa.” (Mathayo 15:26, Marko 7:27).

3. Hao thenashara (kumi na mbili) Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 10:5-6).

4. Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba wakati Waisraeli wote wamefikishiwa ujumbe, kisha makabila mengine pia yahubiriwe. Lakini dhana hii si sahihi bali ni kinyume cha mafundisho ya Bwana Yesu. Yeye amesema kwamba:

“Lakini watakapo wafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawambia, hamtaimaliza miji ya Israeli hata ajapo mwana wa Adamu. (Mathayo 10:23).

5. Bwana Petro mwanafunzi wa Yesu Kristo aliwahubiri wasiokuwa Waisraeli. Wanafunzi wengine, baada ya kupata habari hii walimpinga Bwana Petro kwa kosa lake. Biblia inasema kwamba: “Basi mitume na ndugu waliokuwako katika Uyahudi wakapata habari ya kwamba watu wa mataifa nao wamelipokea neno la Mungu. Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye, wakisema, uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao. “ (Matendo 11:1-3).

6. Aya za Biblia zifuatazo zinaeleza kwamba Bwana Yesu alikuwa mfalme na mtawala wa Mayahudi. (Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49.

7. Bwana Paulo ambaye ni mpinzani na mhalifu (anti Christ) wa Bwana Yesu, baada ya kuchukia alianza mahubiri nje ya Wasiraeli.

Biblia inasema kwamba: “Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na bila neno, aliwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo walipopingana naye na kumtukana Mungu, akakung'uta mavazi yake, akawaambia, damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu, mimi ni safi; tangu sasa ninakwenda kwa watu wa mataifa. (Matendo 18:5-6).

Baadhi ya Wakristo mnayo shauku ya kugonganisha aya za Biblia. wanasema kwamba Bwana Yesu aliagiza kwamba “Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi.” (Mathayo 28:19).

1. Najibu kwamba aya hii inapinga maagizo yote ya Bwana Yesu yaliyotajwa juu. Kwahiyo haiwezi kuwa agizo la Yesu wala aya ya Injili.

2. Ya pili aya hii imeandikwa mwishoni mwa Injili ya Mathayo, na nitathibitisha baadaye kidogo kwamba aya za mwanzo na za mwisho za kila kitabu ni za kuongezwa baadaye. Aya zile siyo aya sahihi za Biblia.

3. Ya tatu katika aya 28:19 ya Mathayo neno mataifa limetumika kwa maana ya mataifa ya Israeli. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu. (Luka 2:1).

Kaisari Augusto alikuwa mtawala wa Roma tu. Hakuwa na mamlaka yoyote nje ya nchi yake juu ya ulimwengu.

Katika aya hii amri iliyotolewa kwa ajili ya ulimwengu na ya nchi ya Roma tu iliyokuwa chini ya utawala wa Kaisari wala siyo ulimwengu wote. Hivyo ndivyo inavyoeleweka kauli ya Bwana Yesu aliposema:

“Enendeni mkawafanye mataifa yote (ya Waisraeli) kuwa wanafunzi. (Mathayo 28:19).
Mkuu kwa hiyo Muhammad na yeye alikua mtume wa Maarabu au???
Mnavamia uzi wangu na mada tofauti wakuu...
 
Msikilize huyu Rabbi wa kiyahudi anajibu swali lako

View attachment 2945915
Mzee una chuki na wayahudi......na unaumia sana kwa wakrsto kumfuata Mungu wa kiyahudi YEHOVA na mtoto wake EMANUEL.....!!!
Mm najua wakrsto hawawezi kuifuata dini ambayo inawatishia watu kuwaua....wakibadili imani
Screenshot_20240402-103152.png
 
Israeli wako vizuri sana, hata hapa kwetu ndio waliotusaidia na kuanzisha JKT, wakati huo ilikuwa ukimaliza chuo au high school lazima upige JKT mwaka mmoja. Hii ilisaidia sana kujenga ukakamavu na uzalendo, na ukitoka JKT ulimudu kukabiliana na maisha yoyote utakayokutana nayo. Wanasiasa wetu wakaivuruga hiyo.
Waisrael wote hupitia jeshini kwa miaka miwili pindi unapofikia umri wa miaka 18.
Nina swali moja, kwanini Hitler alitaka kuwaangamiza wayahudi wasionekane katika uso wa dunia?
Wasionekane ulaya na sio dunia nzima.....huwezi kuwamaliza wayahudi.......wamejaribu warumi,wahispania,waturuki,waarabu,waajemi,waamedi na wajerumani........ila wooote wameshindwa wakaishia kupata aibu.
 
Huyu mzee anahusudu uongo na historia zake zote kachomeka uongo 60% tulishamsema sana akawa anasepa ila haachi kulazimisha uongo wake... TBC zipo audio za viongozi wanazungumza kwa sauti za midomo yao haziendani kabisa na maandishi ya vitabu vyake.. hana tofauti na mwandishi wa Quran Hafsi muongo japo Quran yake ilikubaliwa na ndio wanayoitumia lakini hadithi za Hafsi zimepigwa chini na waislam.. huyu nae ni same kama Hafsi.. mzee wa According to according to according to according to Mohammad according no Jibril according to Allah hahahaha
Madhara ya ukoloni..............mzee wangu anawapenda wakoloni wa kiarabu kuliko ubantu wake.
Yupo radhi kua mtumwa wa wakoloni wa kiarabu
 
Screenshot_20240328-093450.png

Members of IDF with arab origins.....most of them are Druze and Sinai arab minorty.
 
Hafsi ndio mwarabu wa wapi mkuu

Hafs: The Lying, Unreliable Transmitter of the Quran​

For most of the Muslim world, the particular Arabic version of the Quran that is recited is the reading attributed to Hafs Ibn Abi Dawud Al Kufi. What makes this rather ironic, in fact, astonishing is that this specific narrator/relater/reciter of the Quran was known to be a liar who was an untrustworthy thief. This is why Sunni scholars decreed that his hadiths are to be abandoned.
 
Tulia upate dawa , hivi hizo post zako mbona unazifumbia macho ?
Wengine man mioyo migumu lakini tutajaribu kuilainisha


View: https://youtube.com/shorts/B2XIBDQEb9U?si=wZ6gS2t4H_JF-TUa

Dawa gani mkuu au ndio unadata na propaganda news za you tube???
Wewe upo nje ya mada....au huu uzi huujui???
Hapa tunazungumzia ufanisi wa MOSSAD NA IDF NA DUNIA NZIMA INAJUA.......WALIVYOWAINGIZA MKENGE WAARABU WA HAMAS OCTOBER 07
NB: UDINI WAPELEKEE WABANTU WATUMWA WA WAKOLONI
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Naona walamba nanihii mko busy na utopia

Saidieni wazazi wenu wanateseka

Achacheni na hizi propaganda
 

Hafs: The Lying, Unreliable Transmitter of the Quran​

For most of the Muslim world, the particular Arabic version of the Quran that is recited is the reading attributed to Hafs Ibn Abi Dawud Al Kufi. What makes this rather ironic, in fact, astonishing is that this specific narrator/relater/reciter of the Quran was known to be a liar who was an untrustworthy thief. This is why Sunni scholars decreed that his hadiths are to be abandoned.



View: https://vm.tiktok.com/ZGem1Q3eW/
 

Kama hawajaandika wao Bible why Allah kwenye Quran anasema kipindi cha Muhammad kuwa anaconfirm kuwa ni vitabu vyake vyote Torat na Injili vinavyounda books of Books Bible.. swali Allah ni mjinga mpumbavu au muongo chagua jibu moja ukubaliane na Biblia kaandika Allah au Alllah ni stupid.

وَقَفَّيْنَا عَلَىٰٓ ءَاثَـٰرِهِم بِعِيسَى ٱبْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ ٱلتَّوْرَىٰةِ ۖ وَءَاتَيْنَـٰهُ ٱلْإِنجِيلَ فِيهِ هُدًۭى وَنُورٌۭ وَمُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ ٱلتَّوْرَىٰةِ وَهُدًۭى وَمَوْعِظَةًۭ لِّلْمُتَّقِينَ ٤٦

Then in the footsteps of the prophets, We sent Jesus, son of Mary, confirming the Torah revealed before him. And We gave him the Gospel containing guidance and light and confirming what was revealed in the Torah—a guide and a lesson to the God-fearing.

Kisha tukafuata nyayo za Manabii, tukamtuma Isa bin Maryamu, akiisadikisha Taurati iliyoteremshwa kabla yake. Na tukampa Injili yenye uwongofu, na nuru, na inayosadikisha yaliyoteremshwa katika Taurati, ni mwongozo na mazingatio kwa wachamngu.
 
Back
Top Bottom