IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Mkuu uzuri dunia ipo wazi na propaganda ipo wazi.......especially sourcebof information........wasomi tunaelewa.....no hard feeling because of religion factor,s
Kweli dunia ipo wazi ndio mana dunia nzima wamejikuta walikuwa wanadangan'ywa na propoganda kama zile za bibilia.

Watu walikuwa wanamuamini America ni mpigania haki, na alitumia mahakama ya ICC kwa malengo yake alipo ona yanamdhuri aliyo yatengeneza kamua kuisunction hio hio mahakama 😄

Poleni sa nyie endeleni kuamini Western media ndio mana Miafrika haiendelei hata mkiambia mavi ya Netanyahu ni biscut mtayala.
 
Kweli dunia ipo wazi ndio mana dunia nzima wamejikuta walikuwa wanadangan'ywa na propoganda kama zile za bibilia.

Watu walikuwa wanamuamini America ni mpigania haki, na alitumia mahakama ya ICC kwa malengo yake alipo ona yanamdhuri aliyo yatengeneza kamua kuisunction hio hio mahakama 😄

Poleni sa nyie endeleni kuamini Western media ndio mana Miafrika haiendelei hata mkiambia mavi ya Netanyahu ni biscut mtayala.
Mkuu samahani labda nikuulize ulitaka waendelee kuamini mashariki media na sio western media ???
Vp kusini na kaskazini media???
NB**UMETAJA PROPAGANDA ZA BIBLIA....JE VIPI PROPAGANDA ZA QUR'AN????
 
Kweli dunia ipo wazi ndio mana dunia nzima wamejikuta walikuwa wanadangan'ywa na propoganda kama zile za bibilia.

Watu walikuwa wanamuamini America ni mpigania haki, na alitumia mahakama ya ICC kwa malengo yake alipo ona yanamdhuri aliyo yatengeneza kamua kuisunction hio hio mahakama 😄

Poleni sa nyie endeleni kuamini Western media ndio mana Miafrika haiendelei hata mkiambia mavi ya Netanyahu ni biscut mtayala.
You hate Ntenyahu......vipi Mahmoud Abass????
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
JESHI BORA MIEZI 8 LINAPAMBANA NA NCHI AMBAYO HAINA JESHI? JESHI BORA LINAHITAJI MAREKAN NA UINGEREZA WASHIRIKI KUPANGUA MAKOMBORA YA IRANI?
 
Kweli dunia ipo wazi ndio mana dunia nzima wamejikuta walikuwa wanadangan'ywa na propoganda kama zile za bibilia.

Watu walikuwa wanamuamini America ni mpigania haki, na alitumia mahakama ya ICC kwa malengo yake alipo ona yanamdhuri aliyo yatengeneza kamua kuisunction hio hio mahakama 😄

Poleni sa nyie endeleni kuamini Western media ndio mana Miafrika haiendelei hata mkiambia mavi ya Netanyahu ni biscut mtayala.
Huna akili ,rais wa iran anakusalimia
 
Huna akili ,rais wa iran anakusalimia
Mimi siku zote wavaa misalaba wananichekeshaga sana pale wakisema Yesu ni Mungu, na hio hio bibilia inasema hakuna binadamu akamuona Mungu akaishi

Hapo ndio ujuwe akili zako ziko vipande 4 kama ule msalaba, afu huo huo msalaba bibilia inasema wamelaniwa walio pigiliwa kwenye msalaba wewe unaukumbatia 😄
 
Unapozungumzia ni idara Bora kwenye nyanja ipi?
Bora kwenye (reconnaissance), (reach), (efficiency) au kwenye Nini?
Kila idara hapa duniani Ina strengths zake pamoja na madhaifu yake
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?


Ulishatoa pesa kwa mchungaji wako ??


 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?


 
JESHI BORA MIEZI 8 LINAPAMBANA NA NCHI AMBAYO HAINA JESHI? JESHI BORA LINAHITAJI MAREKAN NA UINGEREZA WASHIRIKI KUPANGUA MAKOMBORA YA IRANI?
SI Bora IDF wanaopambana na watu wanaojifanya wanaume huku kutwa wamejificha vyumbani wamevaa majuba/ vijora na wakati mwingine kujificha katikati ya raia kuliko Russia unaenda mwaka anapambana na wanaume wanaovaa uniforms za jeshi na wako Frontline na anataabika.
 
Mimi siku zote wavaa misalaba wananichekeshaga sana pale wakisema Yesu ni Mungu, na hio hio bibilia inasema hakuna binadamu akamuona Mungu akaishi

Hapo ndio ujuwe akili zako ziko vipande 4 kama ule msalaba, afu huo huo msalaba bibilia inasema wamelaniwa walio pigiliwa kwenye msalaba wewe unaukumbatia 😄
Unanichezea freemason ,eti
 
Mimi siku zote wavaa misalaba wananichekeshaga sana pale wakisema Yesu ni Mungu, na hio hio bibilia inasema hakuna binadamu akamuona Mungu akaishi

Hapo ndio ujuwe akili zako ziko vipande 4 kama ule msalaba, afu huo huo msalaba bibilia inasema wamelaniwa walio pigiliwa kwenye msalaba wewe unaukumbatia 😄
YESU NI MUNGU KWA WAKRSTO NDIO MAPOKEO YAO.......KAMA MUHAMMAD ALIVYO MTUME KWA WAISLAMU NA NDIO MAPOKEO YAO.
NA KRISHINA NI MUNGU KWA WAHINDU NA BUDHA NI MTUME KWA WABUDHA
HUWEZI BADILI IMANI ZA BINADAMU HUTAPOTEZA KUKOSOA NA UTAONEKANA MPUUZI
 
JESHI BORA MIEZI 8 LINAPAMBANA NA NCHI AMBAYO HAINA JESHI? JESHI BORA LINAHITAJI MAREKAN NA UINGEREZA WASHIRIKI KUPANGUA MAKOMBORA YA IRANI?
Mkuu wewe ulitaka miezi mingapi????
Iran wamerusha mafataki yasiokua na shabaha na sio makombora...yale
 
Back
Top Bottom