IDF: Mashambulizi ya Iran yamemalizika, wananchi wanaweza toka mafichoni na kuendelea na shughuli zao ila kwa tahadhari. Tutalipiza

IDF: Mashambulizi ya Iran yamemalizika, wananchi wanaweza toka mafichoni na kuendelea na shughuli zao ila kwa tahadhari. Tutalipiza

Msemaji wa Jeshi la Israel Brig. Gen. Daniel Hagari kupitia vyombo vya habari amewatangazia wananchi wa Israel kuwa mashambulizi ya Iran yaliyoelekezwa katika mji wa Tel Aviv yamekwisha hivyo watoke kwenye maficho yao waendelee na shughuli zao ila kwa tahadhari.

Brig. Gen. Hagari amekiri kuwa mashambulizi hayo yalikuwa ni makali yaliyohusisha makombora zaidi ya 180 ila anasema hawana taarifa za vifo wala majeruhi kwakuwa makombora mengi yalinaswa na mifumo ya ulinzi wa anga na pia kufuatia taarifa za kiintelijensia zilizotolewa awali, baada ya king'ora kulia, wananchi wote waliingia kwenye vyumba vya kujikinga na mabomu (bomb shelter) hivyo wanaamini wako salama.

Hata hivyo, Brig. Gen. Hagari kasisitiza kuwa, Iran itajibiwa kwa siku na muda Israel itakapochagua, Israel imejiandaa vya kutosha.


View: https://youtu.be/r9HupxV5IOs?si=jHUV3plr3b93ZfJ5

PIA SOMA
- Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

1000338863.jpg
 
Target ya Iran ilikua ni Airbase na oil facilities na makombora asilimia 90 yamehit Target kwa udhaifu wa iron dome kushindwa kulinda anga hadi asilimia 90 ya makombora kupiga Target Iran wangekua wamelenga raia ingekua ni msiba zaidi ya Adolf Hitler alivyowachinja wayahudi.
 
Nawaza jibu litakalotolewa na kilio kitakachokuja cha kuuwa wanawake na watoto
Kwa kuwa na wao waisrael.hawatajibiwa waaache waendeleze upumbafu tel aviv itamalizwa kabla hata ndege zilizoenda kushambulia hazijarudi yaani zikirudi hakuna mji wahuni waajemi wametenga missile 1000 wanaita swams au shambulio kama la nyuki sasa makombora mengi mithili ya shambulizi la nyuki watapona kweli wakae chini wafanye cease fire mkubwa ukivuliwa nguo chutamaa wairan walikubali kuchutamaa na raisi kukubali agreement ya cease fire wasilipe kisasi cha Haniyeh ila wahuni wamewaita weak sasa acha zipigwe kidogo ili waheshimiane.
 
Msemaji wa Jeshi la Israel Brig. Gen. Daniel Hagari kupitia vyombo vya habari amewatangazia wananchi wa Israel kuwa mashambulizi ya Iran yaliyoelekezwa katika mji wa Tel Aviv yamekwisha hivyo watoke kwenye maficho yao waendelee na shughuli zao ila kwa tahadhari.

Brig. Gen. Hagari amekiri kuwa mashambulizi hayo yalikuwa ni makali yaliyohusisha makombora zaidi ya 180 ila anasema hawana taarifa za vifo wala majeruhi kwakuwa makombora mengi yalinaswa na mifumo ya ulinzi wa anga na pia kufuatia taarifa za kiintelijensia zilizotolewa awali, baada ya king'ora kulia, wananchi wote waliingia kwenye vyumba vya kujikinga na mabomu (bomb shelter) hivyo wanaamini wako salama.

Hata hivyo, Brig. Gen. Hagari kasisitiza kuwa, Iran itajibiwa kwa siku na muda Israel itakapochagua, Israel imejiandaa vya kutosha.


View: https://youtu.be/r9HupxV5IOs?si=jHUV3plr3b93ZfJ5

PIA SOMA
- Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hapo kwenye mujibu,hatutaki kobasi waanza kulia lia siwaliona wenzao palestina na hizbola wana faidi sana mziki wa myaud,sasa nawao zam imewafikia
 
Kwangu mimi raia sio hatari kama zile ndege bora amefagia ndege zile ndio zinazoleta maafa kwa jirani zake, hao raia tunasubiri mazayuni yashushe raia Tehran ndio tuone wanaume ni akina nani
 
Mi nilisema hapa,
Ile safari walivyoondoka wayahudi tarehe 8 oct. Kwenda Gaza,walikua hawaendi kwa Hamas tu walikua wanaenda kupigana na yoyote atayetia pua.ndo kinaendelea sasa
 
Irani imeithibitishia Israeli kuwa wanaweza kuwapiga kutokea ardhi ya Irani.
 
Back
Top Bottom