IDF waendelea kupiga Rafah licha ya ICJ kukataza, jameni rejesheni watoto wa Wayahudi ndio yaishe

IDF waendelea kupiga Rafah licha ya ICJ kukataza, jameni rejesheni watoto wa Wayahudi ndio yaishe

Wale mashabiki wa Hamas wanavyochungulia kwa mbali.
20240317_211801.jpg
 
Viongozi wa nchi za kiarabu watumie hekima, kweli nchi ya Qartar na Iran, Turkey mnashindwa kukaa pamoja na viongozi wa Hamas ili waachie mateka na vita iishe, badala yake mnawavimbisha kichwa kuwa wapambane, ni nchi gani uteke watu wake halafu ikiangalie hivo hivi? Hamas wanashindwa kuyamaliza na majirani zao wayahudi halafu wanakimbia kutafuta huruma ya kimataifa! Na je UN inaruhusu utekaji wa wananchi? ICC inaruhusu utekaji wa wananchi?
 
Yaani unateka watoto wa kiyahudi unachinja live huku ukisema alaaaa-wakubaluu..
unaingilia watoto wa kiyahudi kinyume na maumbile huku wazazi wao mateka wanaangalia live - afu umasema CCJ na ICC wamesema tuache mapigano. Hutaki kuachia mateka bila masharti yoyote

Yaani Mparestima utabokolewa hadi ukome kuwakumbatia hayo magaidi HAMAS.
 
mwisho wa vita tutajua nani mshindi wacha waendelee kupeana dozi
 
Back
Top Bottom