Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanaukumbi.
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema kuwa Hamas imewaficha mateka kwenye mahandaki kumbe ni uongo baada ya kushindwa kujua walipo mateka wakaamua kudanganya, kumbe mateka wote wanaishi kwenye nyumba za kawaida majigambo mengi wanaenda kuwaokoa mateka wameishia kuwauwa watoto wachanga na kushambulia hospitali na shule.
Mmoja wa Mateka wa Thai anasema walioachiliwa alilazimika kusema hivi kuhusu jinsi alivyotendewa:
"Alisema kwamba hakuteswa wala kushambuliwa, na alikuwa amelishwa chakula kizuri.
Alitunzwa vizuri sana.
Inaonekana kana kwamba alikaa ndani ya nyumba, siyo handaki."
==================
🇵🇸🇹🇭 The sister of one of the Thai released hostages had to say this about the way he was treated:
"He said that he was neither tortured nor assaulted, and he had been fed good food.
He was very well taken care of.
It seems as though he stayed in a house, not a tunnel."
View: https://x.com/censoredmen/status/1728573117310570857?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema kuwa Hamas imewaficha mateka kwenye mahandaki kumbe ni uongo baada ya kushindwa kujua walipo mateka wakaamua kudanganya, kumbe mateka wote wanaishi kwenye nyumba za kawaida majigambo mengi wanaenda kuwaokoa mateka wameishia kuwauwa watoto wachanga na kushambulia hospitali na shule.
Mmoja wa Mateka wa Thai anasema walioachiliwa alilazimika kusema hivi kuhusu jinsi alivyotendewa:
"Alisema kwamba hakuteswa wala kushambuliwa, na alikuwa amelishwa chakula kizuri.
Alitunzwa vizuri sana.
Inaonekana kana kwamba alikaa ndani ya nyumba, siyo handaki."
==================
🇵🇸🇹🇭 The sister of one of the Thai released hostages had to say this about the way he was treated:
"He said that he was neither tortured nor assaulted, and he had been fed good food.
He was very well taken care of.
It seems as though he stayed in a house, not a tunnel."
View: https://x.com/censoredmen/status/1728573117310570857?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw