IDF, walituamisha Mateka Gaza wapo kwenye Mahandaki, mateka anasema walikuwa wanakaa kwenye nyumba

IDF, walituamisha Mateka Gaza wapo kwenye Mahandaki, mateka anasema walikuwa wanakaa kwenye nyumba

Angalia hawa wanaosema wamekwenda shule, huyu alikwenda shule kuhudhuria sio kijifunza, wapi huyo dada amesema alikuwa mateka? Huyo dada anamuongelea kakayake ambaye alikuwa mateka
Kwani mimi nimeongea nini nimeongelea yeye kama malaya aliyekuwa kule

Huyo kaka yake alikuwa anasishi naye kwake kwa shemeji mpiganaji wa Hamas nyumbani akilishwa vizuri na dadaake huyo malaya anaongea
 
Acha au punguza lugha kasirishi mkuu. Mateka anasema walifundishwa/walilazimishwa/walielekezwa waseme nini.
Hata ungekuwa ni wewe, kama unaelekezwa kusema uongo tu ili uachiliwe, chap! utasema huo uongo tena kwa msisitizo ili maisha yaendelee.
Acha upumbafu, huyo mateka anaeleza akiwa tayari yupo huru, ameshaachiwa.

Sasa kusema anaelekezwa kusema uongo ili aachiwe, aachiwe mara ngapi?
 
Kwani mimi nimeongea nini nimeongelea yeye kama malaya aliyekuwa kule

Huyo kaka yake alikuwa anasishi naye kwake kwa shemeji mpiganaji wa Hamas nyumbani akilishwa vizuri na dadaake huyo malaya anaongea
Are you ok? Au mwezi mchanga unakunyemelea? Nakushauri wahi kunywa vidonge vya uchizi kabla mambo hayajaharibika
 
Acha au punguza lugha kasirishi mkuu. Mateka anasema walifundishwa/walilazimishwa/walielekezwa waseme nini.
Hata ungekuwa ni wewe, kama unaelekezwa kusema uongo tu ili uachiliwe, chap! utasema huo uongo tena kwa msisitizo ili maisha yaendelee.
Mkuu nimetumia hiyo lugha kumjibu kaanza kunishambulia kuniambia sina akili ungeanza kumwambia yeye kwanza. Mimi uwa simjibu mtu hivyo mpaka nichokozwe.
 
unajua maana ya 'it seems...'

waislamu mlishauriwa kwenda shule sio kwenda madrasa tu qumamake...
Kama kuna mkiristo aliosoma tz ajitokeze humu. Wengi wenu mkikopia shule za sem halafu mkajiona mumesoma. Kibiri tu made in Somalia
 
Wanaukumbi.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema kuwa Hamas imewaficha mateka kwenye mahandaki kumbe ni uongo baada ya kushindwa kujua walipo mateka wakaamua kudanganya, kumbe mateka wote wanaishi kwenye nyumba za kawaida majigambo mengi wanaenda kuwaokoa mateka wameishia kuwauwa watoto wachanga na kushambulia hospitali na shule.

Mmoja wa Mateka wa Thai anasema walioachiliwa alilazimika kusema hivi kuhusu jinsi alivyotendewa:

"Alisema kwamba hakuteswa wala kushambuliwa, na alikuwa amelishwa chakula kizuri.

Alitunzwa vizuri sana.

Inaonekana kana kwamba alikaa ndani ya nyumba, siyo handaki."

==================

🇵🇸🇹🇭 The sister of one of the Thai released hostages had to say this about the way he was treated:

"He said that he was neither tortured nor assaulted, and he had been fed good food.

He was very well taken care of.

It seems as though he stayed in a house, not a tunnel."


View: https://x.com/censoredmen/status/1728573117310570857?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

IDF ni magaidi
 
Kuna picha moja ina trend demu mmoja wa kiyahudi kaachiliwa mateka kutoka Gaza ila ni kama hataki kumuachia jamaa wa hamas aliyemkamata kimapenzi demu kadata haoni cha vita wala hasikii yani. 🤣
 
.
 

Attachments

  • d94e6b0af8964557812a5a7885799414.jpg
    d94e6b0af8964557812a5a7885799414.jpg
    120.2 KB · Views: 2
BREAKING: OFFICIAL HAMAS STATEMENT - CEASEFIRE EXTENDED

“The Islamic Resistance Movement, Hamas, announces that an agreement has been reached with the brethren in Qatar and Egypt to extend the temporary humanitarian ceasefire for an additional two days under the same terms as the previous truce.”
 
BREAKING: SAUDI FOREIGN MINISTER OFFICIAL STATEMENT ABOUT 2 STATES

“Saudi’s top diplomat declares there's no alternative to a two-state resolution, pinning Israel as the fulcrum of the ongoing violence.

As the conflict intensifies, normalization efforts freeze, with Saudi Arabia eyeing a strategic dialogue with Iran.

A seismic shift in Middle East diplomacy is underway, challenging long-held geopolitical narratives.”
 
Kuna picha moja ina trend demu mmoja wa kiyahudi kaachiliwa mateka kutoka Gaza ila ni kama hataki kumuachia jamaa wa hamas aliyemkamata kimapenzi demu kadata haoni cha vita wala hasikii yani. 🤣
Message from one of the exchanged israeli prisoners to the fighters & leadership of Hamas.

She thanked Hamas for their humanity & extraordinary care to her daughter during imprisonment. She said her daughter felt like a ‘queen’ in Gaza.
 

Attachments

  • IMG_6959.jpeg
    IMG_6959.jpeg
    71.1 KB · Views: 3
Wanaukumbi.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema kuwa Hamas imewaficha mateka kwenye mahandaki kumbe ni uongo baada ya kushindwa kujua walipo mateka wakaamua kudanganya, kumbe mateka wote wanaishi kwenye nyumba za kawaida majigambo mengi wanaenda kuwaokoa mateka wameishia kuwauwa watoto wachanga na kushambulia hospitali na shule.

Mmoja wa Mateka wa Thai anasema walioachiliwa alilazimika kusema hivi kuhusu jinsi alivyotendewa:

"Alisema kwamba hakuteswa wala kushambuliwa, na alikuwa amelishwa chakula kizuri.

Alitunzwa vizuri sana.

Inaonekana kana kwamba alikaa ndani ya nyumba, siyo handaki."

==================

🇵🇸🇹🇭 The sister of one of the Thai released hostages had to say this about the way he was treated:

"He said that he was neither tortured nor assaulted, and he had been fed good food.

He was very well taken care of.

It seems as though he stayed in a house, not a tunnel."


View: https://x.com/censoredmen/status/1728573117310570857?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Si angeomba aendelee kukaa huko!
 
BREAKING: BARUA KUTOKA MATEKA WA ISRAELI KWA HAMAS

"Kwa majenerali ambao wamefuatana nami katika wiki za hivi karibuni, inaonekana tutaachana kesho, lakini nawashukuru kutoka moyoni kwa ubinadamu wenu wa ajabu ulioonyeshwa kwa binti yangu, Emilia.

Mlikuwa kama wazazi kwake, mkimkaribisha ndani ya vyumba vyenu wakati wowote alipotaka. Anakubali kuhisi kama ninyi nyote ni marafiki zake, sio marafiki tu, lakini wapendwa na wazuri.

Asante, asante, asante kwa saa nyingi ulizotumia kama walezi.

Asante kwa kuwa mvumilivu kwake na kumwagilia peremende, matunda, na kila kitu kinachopatikana hata kama sivyo.

Watoto hawapaswi kuwa utumwani, lakini asante kwako na watu wengine wema tuliokutana nao njiani, binti yangu alihisi kama malkia huko Gaza ...

Kwa ujumla, anakubali kujisikia kama kitovu cha ulimwengu. Hajakutana na mtu yeyote katika safari yetu ndefu, kuanzia cheo na faili hadi uongozi, ambaye hakumtendea kwa upole, upendo na upendo.

Nitakuwa mfungwa wa shukrani milele kwa sababu hakuondoka hapa na kiwewe cha kisaikolojia cha maisha yote. Nitakumbuka tabia yenu nzuri, mliyopewa hapa licha ya hali ngumu mliyokuwa mkikabiliana nayo wenyewe na hasara kubwa mliyopata hapa Gaza. Natamani katika ulimwengu huu tungekuwa marafiki wazuri.

Nakutakia afya njema na afya njema... Afya na upendo kwako na kwa watoto wa familia zako.

Asante sana.

Daniel na Emilia"
 
BREAKING: ISRAELI MEDIA CONFIRMS TESTIMONIES OF ISRAELI HOSTAGES ARE ACCURATE

Where they confirmed that the movement treated them well, and that they “were not subjected to any kind of violence or insult.”
 

Attachments

  • IMG_6963.jpeg
    IMG_6963.jpeg
    39.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom