IDF, walituamisha Mateka Gaza wapo kwenye Mahandaki, mateka anasema walikuwa wanakaa kwenye nyumba

IDF, walituamisha Mateka Gaza wapo kwenye Mahandaki, mateka anasema walikuwa wanakaa kwenye nyumba

🚨BREAKING: RELEASED CHILD PRISONER SPEAKS ON CONDITIONS AFTER RELEASE

Muhammad Nazzal:
"Elderlies died, and they were stomped and beaten.

They broke my arm and finger last week.

They beat me again today.

They did not provide any medical treatment.

The Red Cross only today treated my arm."

Source: Quds News
 

Attachments

  • IMG_6964.jpeg
    IMG_6964.jpeg
    55.9 KB · Views: 2
Hahhahaha na hawa hapa wanapagungia mikono Hamas wakiwaaga nao ni malaya wa wapi?
Ukiwa kwenye mateso ya muda mrefu chini ya magaidi
Halafu yale magaidi yakaja kukuachia, inakuwa ni rahisi kusahau yale mateso na kuuona wema wa kuwekwa huru, na ndicho unachokiona kwa mateka hawa.

Wewe huoni hata watanzania wenzako ukiwemo wewe jinsi mlivyoteswa, kugandamizwa, kunyimwa uhuru wenu wa kutoa maoni, kufanywa watumwa ndani ya nchi yenu kwa muda mrefu lakini bado hamuoni hilo badala yake ni kusifia kila kitu kama mazuzu?
 
Ukiwa kwenye mateso ya muda mrefu chini ya magaidi
Halafu yale magaidi yakaja kukuachia, inakuwa ni rahisi kusahau yale mateso na kuuona wema wa kuwekwa huru, na ndicho unachokiona kwa mateka hawa.

Wewe huoni hata watanzania wenzako ukiwemo wewe jinsi mlivyoteswa, kugandamizwa, kunyimwa uhuru wenu wa kutoa maoni, kufanywa watumwa ndani ya nchi yenu kwa muda mrefu lakini bado hamuoni hilo badala yake ni kusifia kila kitu kama mazuzu?
Unangea uharo wewe umenyimwa uhuru gani umekatazwa kufaya biashara? Umakatazwa kusafiri? Umekatazwa kununua nyumba fanya kazi wewe acha kulia lia unataka serikali ikiwekee pesa mfukoni punguani kweli.
 
Back
Top Bottom