Habari yenyewe kutoka IDF sio chombo cha Habari kilicho Huru!!!Huwa sielewi sababu za hizi cease fire, unapewa mateka 200 wanakuja kuwaua 100 siku inayofuata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yenyewe kutoka IDF sio chombo cha Habari kilicho Huru!!!Huwa sielewi sababu za hizi cease fire, unapewa mateka 200 wanakuja kuwaua 100 siku inayofuata.
Chanzo cha hiii taharifa umekielewa!!!Hakuna Hamas west bank, Hamas eneo lao la utawala ni Gaza,inaelekea hata ramani ya eneo husika huijui
Acha kushupaza fuvu nimekueleza baada ya Oct 07,2023 makundi yote ya kigaidi yaliungana dhidi ya Israel na ndiyo maana mpaka sasa hivi kuna vikosi vya Israel Biko huko kuwatia jambajamba magaidi, Haya kwa akili yako ndogo unafikiri vikosi vya Israel vimeenda huko west-bank kusherehekea Valentine?. West Bank wako magaidi ambao walikuwa wanaishambulia Israel na huko pia walikuwa wamejenga mahandaki. Toka Oct 07,2023 majeshi ya Israel yalikuwa yanaingia west-bank na kufanya operation zao na wana toka.Uwongo, Gaza iko mashariki west bank kaskazini magharibi mwa Gaza,wanatenganishwa na israel,baada ya 7oktoba hakuna mpalestina kwenda israel,hao hamas walivukaje hapo!?
Mbona wewe unaamini habari inayotangazwa na Aljazeera wakati kituo hicho ni washirika wa magaidi wa Hamas hata kwenye uvamizi wa Oct 07,2023 nao walikuwemo na walikuwa wa kwanza kuingia kwenye makazi ya wayahudi kuwaua?Kwaiyo hii Habari imetangazwa na IDF wenyewe Tutaiyamini vip!!!!!
לא כולם מבינים עברית.יברך את ישראל
Hujui lolote. Hamas ni chama kama unavyoweza kusema chadema. Wao wanatawala Gaza ila wana wafuasi west bank pia, hata fatah au Islamic jihad wana wafuasi Gaza pia. Na sio hapo tu hata wewe unaweza kuwa mfuasi wa hamas ulipoHamas kwao Gaza, west bank islamic jihad,fatah
Halafu nyie ndio mtaishi milele!?Wafilisti Inabidi Wapotezwe Gaza Asiwepo Yeyote
Hata kama hatutaishi milele lakini magaidi lazima wafyekwe tu maana walivamia wenyewe kwa Mapenzi yao!!Halafu nyie ndio mtaishi milele!?
Wafuga Midevu na Majini kwa kupenda NGONO hamjambo sana!!!Kiyama kwa mayahud na makafiri
Ee mtume wetu tunaomba jaalali tukapate thawab za kuonja bikra peponi inshallah 😋😋😋
Huu ushabiki huu ndo maana ni ngumu sana kuiondoa ccm madarakaniWadau hamjamboni nyote?
Operesheni kubwa ya kijeshi kuyasaka magaidi ya Hamas yaendelea huko ukingo magharibi mwa mto Jordan
Mungu ibariki Israel
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
February 13, 2025
IDF says over 60 terror operatives killed, 210 detained amid ongoing West Bank counter-terror op
By Emanuel Fabian Follow
Today, 12:06 pm
IDF troops have killed over 60 Palestinian terror operatives and detained over 210 amid an ongoing major counter-terrorism operation in the northern West Bank launched last month, the military says.
The offensive, dubbed Operation Iron Wall, was launched on January 21 and the military expects it to last several more weeks.
Israeli forces have been operating in the Jenin, Tulkarem, and Tubas areas.
The IDF says that yesterday, troops of the Maglan commando unit killed three gunmen during an exchange of fire in the Nur Shams camp near Tulkarem. One soldier was moderately wounded in the incident.
The military has acknowledged mistakenly killing several civilians during the operation, including a toddler and a pregnant woman.
Wabongo mnaurindio wa ubongo bila shakaWakati wanawaleta wale mateka walikuwa wanawafuatilia kwa Siri wanarudi kwenye mashimo gani ,wamewaelekezea moto huko huko kwenye mahandaki
Hebu lete mpambano mmoja wa Hamas na IDF west bankHujui lolote. Hamas ni chama kama unavyoweza kusema chadema. Wao wanatawala Gaza ila wana wafuasi west bank pia, hata fatah au Islamic jihad wana wafuasi Gaza pia. Na sio hapo tu hata wewe unaweza kuwa mfuasi wa hamas ulipo
Uwongo, israel wanapiga wapalestina West Bank na kubomoa majumba Ili kuongeza makazi ya walowezi,west bank walitulia muda mrefu wakati Gaza ikibomolewaAcha kushupaza fuvu nimekueleza baada ya Oct 07,2023 makundi yote ya kigaidi yaliungana dhidi ya Israel na ndiyo maana mpaka sasa hivi kuna vikosi vya Israel Biko huko kuwatia jambajamba magaidi, Haya kwa akili yako ndogo unafikiri vikosi vya Israel vimeenda huko west-bank kusherehekea Valentine?. West Bank wako magaidi ambao walikuwa wanaishambulia Israel na huko pia walikuwa wamejenga mahandaki. Toka Oct 07,2023 majeshi ya Israel yalikuwa yanaingia west-bank na kufanya operation zao na wana toka.
Taharifa ndiyo nini wewe kunguni!Chanzo cha hiii taharifa umekielewa!!!
Hakuna Hamas west bank, Hamas eneo lao la utawala ni Gaza,inaelekea hata ramani ya eneo husika huijui.