IDF yaua magaidi 60 ya hamas, yakamata 210 ni operesheni kubwa maalumu ya kijeshi almaarufu Operation Iron Wall huko magharibi mwa mto Jordan

IDF yaua magaidi 60 ya hamas, yakamata 210 ni operesheni kubwa maalumu ya kijeshi almaarufu Operation Iron Wall huko magharibi mwa mto Jordan

Uwongo, Gaza iko mashariki west bank kaskazini magharibi mwa Gaza,wanatenganishwa na israel,baada ya 7oktoba hakuna mpalestina kwenda israel,hao hamas walivukaje hapo!?
Acha kushupaza fuvu nimekueleza baada ya Oct 07,2023 makundi yote ya kigaidi yaliungana dhidi ya Israel na ndiyo maana mpaka sasa hivi kuna vikosi vya Israel Biko huko kuwatia jambajamba magaidi, Haya kwa akili yako ndogo unafikiri vikosi vya Israel vimeenda huko west-bank kusherehekea Valentine?. West Bank wako magaidi ambao walikuwa wanaishambulia Israel na huko pia walikuwa wamejenga mahandaki. Toka Oct 07,2023 majeshi ya Israel yalikuwa yanaingia west-bank na kufanya operation zao na wana toka.
 
Kwaiyo hii Habari imetangazwa na IDF wenyewe Tutaiyamini vip!!!!!
Mbona wewe unaamini habari inayotangazwa na Aljazeera wakati kituo hicho ni washirika wa magaidi wa Hamas hata kwenye uvamizi wa Oct 07,2023 nao walikuwemo na walikuwa wa kwanza kuingia kwenye makazi ya wayahudi kuwaua?
 
Hamas kwao Gaza, west bank islamic jihad,fatah
Hujui lolote. Hamas ni chama kama unavyoweza kusema chadema. Wao wanatawala Gaza ila wana wafuasi west bank pia, hata fatah au Islamic jihad wana wafuasi Gaza pia. Na sio hapo tu hata wewe unaweza kuwa mfuasi wa hamas ulipo
 
Kiyama kwa mayahud na makafiri

Ee mtume wetu tunaomba jaalali tukapate thawab za kuonja bikra peponi inshallah 😋😋😋
 
Wadau hamjamboni nyote?

Operesheni kubwa ya kijeshi kuyasaka magaidi ya Hamas yaendelea huko ukingo magharibi mwa mto Jordan

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

February 13, 2025

IDF says over 60 terror operatives killed, 210 detained amid ongoing West Bank counter-terror op

By Emanuel Fabian Follow
Today, 12:06 pm

IDF troops have killed over 60 Palestinian terror operatives and detained over 210 amid an ongoing major counter-terrorism operation in the northern West Bank launched last month, the military says.

The offensive, dubbed Operation Iron Wall, was launched on January 21 and the military expects it to last several more weeks.

Israeli forces have been operating in the Jenin, Tulkarem, and Tubas areas.

The IDF says that yesterday, troops of the Maglan commando unit killed three gunmen during an exchange of fire in the Nur Shams camp near Tulkarem. One soldier was moderately wounded in the incident.

The military has acknowledged mistakenly killing several civilians during the operation, including a toddler and a pregnant woman.
Huu ushabiki huu ndo maana ni ngumu sana kuiondoa ccm madarakani
 
Wakati wanawaleta wale mateka walikuwa wanawafuatilia kwa Siri wanarudi kwenye mashimo gani ,wamewaelekezea moto huko huko kwenye mahandaki
 
Hujui lolote. Hamas ni chama kama unavyoweza kusema chadema. Wao wanatawala Gaza ila wana wafuasi west bank pia, hata fatah au Islamic jihad wana wafuasi Gaza pia. Na sio hapo tu hata wewe unaweza kuwa mfuasi wa hamas ulipo
Hebu lete mpambano mmoja wa Hamas na IDF west bank
 
Acha kushupaza fuvu nimekueleza baada ya Oct 07,2023 makundi yote ya kigaidi yaliungana dhidi ya Israel na ndiyo maana mpaka sasa hivi kuna vikosi vya Israel Biko huko kuwatia jambajamba magaidi, Haya kwa akili yako ndogo unafikiri vikosi vya Israel vimeenda huko west-bank kusherehekea Valentine?. West Bank wako magaidi ambao walikuwa wanaishambulia Israel na huko pia walikuwa wamejenga mahandaki. Toka Oct 07,2023 majeshi ya Israel yalikuwa yanaingia west-bank na kufanya operation zao na wana toka.
Uwongo, israel wanapiga wapalestina West Bank na kubomoa majumba Ili kuongeza makazi ya walowezi,west bank walitulia muda mrefu wakati Gaza ikibomolewa
 
Hakuna Hamas west bank, Hamas eneo lao la utawala ni Gaza,inaelekea hata ramani ya eneo husika huijui.

Uraia ni mmoja West Bank na Gaza ni taifa moja.
Kuitenganisha Gaza na West Bank ni sawa na kutenganisha Alaska na majimbo mengine ya Marekani.
 
Back
Top Bottom