Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Endelea kulishwa Matango pori kuamini ujingaUwongo, israel wanapiga wapalestina West Bank na kubomoa majumba Ili kuongeza makazi ya walowezi,west bank walitulia muda mrefu wakati Gaza ikibomolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kulishwa Matango pori kuamini ujingaUwongo, israel wanapiga wapalestina West Bank na kubomoa majumba Ili kuongeza makazi ya walowezi,west bank walitulia muda mrefu wakati Gaza ikibomolewa
Hamasi ni wafuas sio serikali wewe. Kule Gaza ndipo walikofanikiwa kuwa na serikali ila hamas ni chama kina wafuasi sehem tofauti. Unabisha nini hata hili sasa. Mbona mara kibao hamas wamedai mauaji west bank ni wao wanahusikaHebu lete mpambano mmoja wa Hamas na IDF west bank
Siku hizi hata Wabakaji,Watesaji,Watekaji nyara na wauaji wanaitwa Wapingania Uhuru au kidhungu Resistance!!! Oct 07,2023 walivamia huko Israel wakabaka watu,wakatesa,wakateka nyara na wakaua raia wasio na hatia 1,200 na kuna wajinga wanawaita wapigania uhuru!!!!Siku hizi wapigania uhuru wanaitwa magaidi!
Ila ikitangazwa na Aljazeera hiyo lazima tuiamini bila kuuliza maana ni Wafuga Midevu na Majini wenzetu!!!!Kwaiyo hii Habari imetangazwa na IDF wenyewe Tutaiyamini vip!!!!!
Sasa unachotetea ni nini?Hamas ni Hamas na fatah ni fatah,acha kukurupuka
Huendi mbinguni lo yani watu wanakufa wewe unasema wanyoshane jamani!!
Kwa nini wasiache kupigana...Huendi mbinguni lo yani watu wanakufa wewe unasema wanyoshane jamani!!
Umeanza lini kupenda Fujo wee lo???Kwa nini wasiache kupigana...
Hahaha fujo zangu unazijua...Umeanza lini kupenda Fujo wee lo???