Tuungane nae sasa maana yupo kwa maslahi ya taifa na si kwa maslahi ya mataifa ya nje kama waliopitaMagu Anapata pressure kutoka pande zote...huku wahuni wanapost misiba ya korona...huku analazimishwa chanjo wakati yeye na washauri wake wanaona sio sahihi....lakini impact ya lockdown pia ni kubwa na mbaya zaidi ambayo itapelekea kuzorota kwa uchumi na kupelekea kua watumwa wa kukubali terms and conditions za hiyo misaada......ooh maybe I'm dreaming....!!
Esso Mbeya, asante kwa kuitangaza biashara yangu
bange zake zilimtuma aje kuanzisha vita kwetu, angekomaa na Uganda tu wala kusingekua na shida.Namkubali sana idd
Kweli you are dreaming, if not then you are Mataga, Nani kasema anataka lockdown? Kwanini hutaki kutumia kiungo sahihi kufikiri?Magu Anapata pressure kutoka pande zote, huku wahuni wanapost misiba ya korona...huku analazimishwa chanjo wakati yeye na washauri wake wanaona sio sahihi lakini impact ya lockdown pia ni kubwa na mbaya zaidi ambayo itapelekea kuzorota kwa uchumi na kupelekea kua watumwa wa kukubali terms and conditions za hiyo misaada......ooh maybe I'm dreaming....!!
Nani yuko kwa maslahi ya Taifa?Tuungane nae sasa maana yupo kwa maslahi ya taifa na si kwa maslahi ya mataifa ya nje kama waliopita
Yeah, ila ukiwasikiliza waganda wenyewe na ukiwa vijiwe vya kahawa pale Kampala, au ukikutana na wazee wa zamani utapata mambo mengi mazuribange zake zilimtuma aje kuanzisha vita kwetu, angekomaa na Uganda tu wala kusingekua na shida.
Sijakusahau boss, napata wakati mgumu kukupatia ile kitu. Yani ipo ila ku type ikufikie ndo tatizo, moyo mzito mkuuMkuu umenisahau?!
https://jamii.app/JFUserGuide you imbicile toad....umenivua nguo kuniita mataga...Kweli you are dreaming, it not then you are Mataga, Nani kasema anataka lockdown? Kwanini hutaki kutumia kiungo sahihi kufikiri?
Sorry Sir**** you imbicile toad....umenivua nguo kuniita mataga...
Easy manSorry Sir