blackcrow
Member
- Sep 24, 2020
- 21
- 43
Pichani ni #Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.
#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo Wao walivyoweza kututawala.
Leo hii Embu fikiria Wangekuwepo kina Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?
Viongozi wetu kuna Jambo la kujifunza
hapa.
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.
#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo Wao walivyoweza kututawala.
Leo hii Embu fikiria Wangekuwepo kina Idd Amin na Gaddaf, Wangekubali Majaribio ya Chanjo ya Corona yafanyikie Hapa Afrika?
Viongozi wetu kuna Jambo la kujifunza
hapa.