Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
hapo sawa na ana mguu mzuri ila kwenye list ya kuumbika hayumoana sura yenye mvuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo sawa na ana mguu mzuri ila kwenye list ya kuumbika hayumoana sura yenye mvuto
Hana chochote zaidi ya viguu viwili na p katikati just like all other women have
ushawai kumuona kwa macho mkuu
lulu ni photogenic tu , hana uzuri huo kma anavyoonekana kwenye picha, ni kafupi kama skuna za miaka 47, camera za i phone 6 na galaxy s5 zinafanya kazi
Mbona binti wa watu ni mrembo tu acha kumyanyapaa bila sababu ndugu.Tena kama wa Barbra Hassan hautakiwi kabisa
Hawajui wanachokiponda hao! LULU kawa mbaya lini? watu wamemuona tokea kiko kitoto kweli mpaka sasa hivi kitoto cha bandia ! kwa kawaida mtoto akizaliwa mzuri au ukimuona mzuri at age 2-7 at age 15- 20++ uzuri huongezeka mara mia (at her prime) iweje Lulu iwe kinyume chake? mchukieni lakini kabinti kanavutia na ninauhakika wengi wenu huwa mnazaa nae mkiwa bafuni na wengine hawamaliziki kwa wake zao mpaka wamfikirie Lulu!Macho yanatofautiana.....mimi nikiambiwa nitaje bongo movie wazuri (ninaowafahamu) nitaanza na Lulu....na mimi ku-assess uzuri wa mtu huwa situmii vigezo vya Lundenga
Ndio maana nlishasema tunatofautiana kutazama na nkasema mi kujudge uzuri wa mtu situmii vigezo vya lundenga
Wewe unayemmendea kaka yake na Evelyn Salt vigezo vya lundenga?
Wala usihofu , hivyo vigezo vya lundenga kaka yake evelyn salt hata havifagilii kivile.Hahahahaa...mi sina hivyo. Kwani kaka yake Evelyn Salt ndo anataka hivyo? Bas nimeshamkosa
Wala usihofu , hivyo vigezo vya lundenga kaka yake evelyn salt hata havifagilii kivile.
Sawa ila nna mashaka Evelyn Salt kama atanikubali maana alishaniwekea kiuzibe. Hata hapa naona macho hayabanduki...full kutukodolea
Sawa ila nna mashaka Evelyn Salt kama atanikubali maana alishaniwekea kiuzibe. Hata hapa naona macho hayabanduki...full kutukodolea
nalinda hadi notifikesheni kumbuka ha ha ha
Hahaha simba wenyewe walinzi hodari lakini wanachapa sembuse salt.....
Ongeza juhudi kidogo.