Maskini wema namuombea apate mtoto sasa...kateseka sana...kanyanyapaliwa mno kuhusu hiliHongera zao...
Mmh mtani umejuaje?jamaa ana maneno matamu
"Mapenzi hayana mwenyewe, unaweza Penda kijana au mzee" . Acha watu wapendane aisee, na kwa nini afanye siri sasa. Usisahau ule usemi "one man's spoilt milk is another man's sweet yoghurt.Huyo Idris angetakiwa amle wema kwa siri, ila jamaa alichobugi ni kujitangaza anatoka na wema, like seriously?? Cjui lkn ila mchiz nimemshusha point, bora angetoka na jokate, Wema sio demu wa kuji-proud unatoka nae especially mwanaume ukiwa star Heaven Sent
Kamwandikia wemaMmh mtani umejuaje?
Sio Diamond tu, Clement, kina Mr. Blue, T.I.D, na msururu wooooote ilikuaje?wemaa inamaana diamond alikuwa anamwagia nje kwa wema au risas mbovu
Uchambuzi wako ni fake kama una video au audio ya Diamond na Zari wakiwa wanafanya mapenzi kwa Mara yao ya kwanza iweke hapa ili kuipa nguvu comnent yako na tupige hesabu!!Ule utafiti wa 49% DNA wa mkemia mkuu unawahusu hao we kwa mawazo yako unadhani mimba ya miezi 3 ni kubwa kama mpira????
October 2014 diamond kampa wema zawadi ya gari
November 2014 diamond amtangaza Zari demu wake
August 2015 Zari ajifungua
Mimba 38-40 weeks
Piga hesabu utaona mwenyewe
Mwisho wa siku kwenye uhalisia baba halisi atajulikanakweli duniani kuna watu wanaota mchana..
amefanya vipimo vya dna ya hiyo mimba ?
wema anavyogeuzwa na kila mwenye hela yake isiopelea..
mwanaume utajigambaje eti mimba umetia wewe ?
jamaa ana maneno matamu
sawa mkuu.Mwisho wa siku kwenye uhalisia baba halisi atajulikana
Maana yangu sio hiyo...ni kwamba huyo mtoto hawezi kukosa baba kwakuwa mimba ni ushirikiano wa watu wawilisawa mkuu.
ingawa anaweza asijulikane pia..
mama anaweza asiwe tayari kwenda kwa mkemia..
halafu unakuta mtoto kazaliwa wa kike kachukua sura na rangi ya mama..
HAPO INABIDI UYAVULIE NGUO.
Teh Teh...Wazazi wawe macho na vichanga vyao tu;