MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
lkn mm najua maneno matamu kwako ni shilingijamaa ana maneno matamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lkn mm najua maneno matamu kwako ni shilingijamaa ana maneno matamu
ndiyo maana yake yak ukaongea hayo ukachanganya na shilingi kiruuuu nimechukuliwa mzima mzimalkn mm najua maneno matamu kwako ni shilingi
hahhhaa hahahaandiyo maana yake yak ukaongea hayo ukachanganya na shilingi kiruuuu nimechukuliwa mzima mzima
Pesa na umaarufu.
Unapata K ambazo hukuwahi kuziwazia.
Unaingia viwanja vya ndoto zako.
Unamkumbuka Hasheem Thabeet enzi zake?
Mkuu tumuite nani sasa kwa mfano yaani
Daaah kumbe ni pesaa Mkuu namkumbuka sana hashimu enzi hizo
Hua nawaza tu angeweza kupata mtoto mkali sana pale IFM wakafanya yao kimyakimya
Kuliko kukimbizana na ile nyuchi iliyogaragazwa na kila muhuni hapa njini
K maarufu ina utamu wake kaka,
Ndo maana ukiangalia Madam list yake ni noma lakini mpaka leo watu wanawaza watoke ili wampate, skendo zilianza toka kwa kina Blue, TID, Kanumba, Jumbe, Chokoraa, Clement etc etc mpaka leo Idriss naye kaja. Na hapo siyo mwisho, watakuja wengine tu.
Kuna ka hali flani wanaume tunako kichwani ka kuamini kuwa mtu maarufu ni mtamu au ni mzuri kuliko hawa wasio maarufu. Hizi hata majuu zipo, ona kina Maria Carey, JLo, Amber Rose etc
Daaaah hii ni hatarious
Wengine watapata huyo wema uzeeni...
Unataka kujua kama na mimi i sleep with them with C??? Kama wewe???? Haaaaahaaaaa pole unaonekana uko addicted na hoes!! But with condoms ofcourse haaaaahaaaNaona imekukwaza sana niliposema, I can't sleep with hoe without condom. Are you a hoe?
Wafuatao alishatoka nao kimapenzi.
1.Kanumba (marehemu ) japo nae hakumkuta bikra.
2.Chalz Baba.
3.Khalid Chokoraa.
4.T.I.D
5.Mr. Blue.
6.DIAMOND.
7...........( kigogo)
8...........(kigogo)
9............( kigogo)
10. Luis Munana.
Hao ndo wanaojulikana, wale wa pasi fupi wanaowaita kwa chap chap kwenye mahoteli makubwa hawahesabiki kwa kuwa ni wengi sana.11.Jumbe
12.Clement
Ule utafiti wa 49% DNA wa mkemia mkuu unawahusu hao we kwa mawazo yako unadhani mimba ya miezi 3 ni kubwa kama mpira????Ingekuwa ametia mimba October si November tu ingeshajulikana katia mimba. Tangu october mpaka leo ni miezi mitatu...huyo mnamibia naye hana mbegu.
Mama ubaya ana miaka 28? Nahisi mama ubaya sasa ana 35 ukimuuliza yeye atasema ana 22
Big no alivyoshinda BBA ilisemakana ni 20 sasa now c 22 tena nmemkuza sana 21&half[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100]noo 25,1991 hadi leo ni 22??
unashangaa nin? watu wanaloweka tuWatu wanamoyo wa chuma, yaani yule Wema unaingia nyama nyama kweli? Duh.