Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,586
- 6,697
Hakuna tatizo nilikuwa tu nauliza na weww una nyoka?Haswaa, bila chenga. ....
Kwani kuna tatizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna tatizo nilikuwa tu nauliza na weww una nyoka?Haswaa, bila chenga. ....
Kwani kuna tatizo?
Hahahah atafuta tena pics zote we mwache tuAoge mara ngapi kishachambwa sana et alienda kwenye birthday mikono mitupu
HahaaaaahaaaaaHivi hiyo mimba haitakuwa ya yule mnamibia mwenye panki kama shaba ranks?
Ha ha ha karudi rasmi kudai ye ndo mmiliki wa hiyo mimbaHahahah atafuta tena pics zote we mwache tu
Huyu dogo ni mjinga asiyejitambua....wenzake waliokuwa wanatumiwa na Wema kwa ajili ya promo wameishiwa na Wema anazidi kutafuta wengine wa kuwachezea. Idriss anajihisi anapendwa kumbe anatolewa ufahamu, atakuja kushituka kaishiwa pesa na Wema hana mpango naye ndipo ataanza kulaumu watanzania kuwa wabaya hawakumshitua mapema. Mondi alishituka kila siku anakamuliwa mamilioni, akasepa baada ya siku kadhaa watu wakaona hirizi pamoja na picha za Mondi jalalani zimetupwa na house girl wa Wema. Vijana hamkeni, mnafanywa misukule bila kujitambua, shauri zenu mtakwisha.
mkubwa na mwanaeidris kwa wema ni mtoto na mama yake. vijana wengine wanatafuta laana bure.
jamaa ana maneno matamu
Hakuna tatizo nilikuwa tu nauliza na weww una nyoka?
Alafu kama idrisa ndio kamdunya iyo mimba baba mtoto ana miaka 21 [emoji1] [emoji1] [emoji1] najaribu kufikiri walivyokuwa wanasema diamond mdogo kwa Wema sasa huyu idrisa cjui ndio atakuwa mtoto wa wema[emoji15]
Haya..Jinsia yangu hairuhusu kuwa na nyoka, ila naweza kumtoa alipo ikibidi. .............
U wanna say ur woman is not loyal. Sorry dudeHahaha, nimekukwaza? Hoes are not loyal. I know the truth hurts.
Sasa zari na mondi si bibi na mjukuu. Acha ushamba bana acha watu waenjoy lifeidris kwa wema ni mtoto na mama yake. vijana wengine wanatafuta laana bure.
kinga haina radha.walikua hawatumii kinga hawa watu daah hatari sana.
Hahaha noma sana
Mpaka hirizi wema atakua maimuna
Wema alitaka kumfanya kafara Mondi kwa kuifukia nyota yake....yule ni Muha wa Kigoma kwao uchawi ni chakula....awachezee hao hao kina Idriss kwa kuwafanya misukule. Aunt (Ezekiel) alitumiwa karibu mimba imtoke, naye akashituka akasepa maana alibebeshwa hand bags za Wema mpaka akachoka. Wema si bure anatumia midudu washa tu (mambo ya jadi) kuwageuza watu misukule. We nani anaona ufahari kubebeshwa mikoba na kumfutia vumbi Wema kama si kukosa akili?
Kwa kweli hyo maneno hta mim yamenigalagaza...!jamaa ana maneno matamu
Ndiyo maana alishindaKwa kweli hyo maneno hta mim yamenigalagaza...!