Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Huyu dogo ni mjinga asiyejitambua....wenzake waliokuwa wanatumiwa na Wema kwa ajili ya promo wameishiwa na Wema anazidi kutafuta wengine wa kuwachezea. Idriss anajihisi anapendwa kumbe anatolewa ufahamu, atakuja kushituka kaishiwa pesa na Wema hana mpango naye ndipo ataanza kulaumu watanzania kuwa wabaya hawakumshitua mapema. Mondi alishituka kila siku anakamuliwa mamilioni, akasepa baada ya siku kadhaa watu wakaona hirizi pamoja na picha za Mondi jalalani zimetupwa na house girl wa Wema. Vijana hamkeni, mnafanywa misukule bila kujitambua, shauri zenu mtakwisha.


Hahaha noma sana

Mpaka hirizi wema atakua maimuna
 
Alafu kama idrisa ndio kamdunya iyo mimba baba mtoto ana miaka 21 [emoji1] [emoji1] [emoji1] najaribu kufikiri walivyokuwa wanasema diamond mdogo kwa Wema sasa huyu idrisa cjui ndio atakuwa mtoto wa wema[emoji15]


noo 25,1991 hadi leo ni 22??
 
Kunanile audio ya ya kumdiss diamond kumvisha pete wema enzi zile za bbm sasa itamhusu huyu dogo daahh.....
 
Hahaha noma sana

Mpaka hirizi wema atakua maimuna

Wema alitaka kumfanya kafara Mondi kwa kuifukia nyota yake....yule ni Muha wa Kigoma kwao uchawi ni chakula....awachezee hao hao kina Idriss kwa kuwafanya misukule. Aunt (Ezekiel) alitumiwa karibu mimba imtoke, naye akashituka akasepa maana alibebeshwa hand bags za Wema mpaka akachoka. Wema si bure anatumia midudu washa tu (mambo ya jadi) kuwageuza watu misukule. We nani anaona ufahari kubebeshwa mikoba na kumfutia vumbi Wema kama si kukosa akili?
 
Wema alitaka kumfanya kafara Mondi kwa kuifukia nyota yake....yule ni Muha wa Kigoma kwao uchawi ni chakula....awachezee hao hao kina Idriss kwa kuwafanya misukule. Aunt (Ezekiel) alitumiwa karibu mimba imtoke, naye akashituka akasepa maana alibebeshwa hand bags za Wema mpaka akachoka. Wema si bure anatumia midudu washa tu (mambo ya jadi) kuwageuza watu misukule. We nani anaona ufahari kubebeshwa mikoba na kumfutia vumbi Wema kama si kukosa akili?


Mkuu, yule Aunt Ezekile alikuwa anabeba mikoba ya Wema kulipiza fadhila kwani alikuwa ana nadiwa kwa kale kayanki mbilikimo mcheza shoo wa Mondi ili apigwe pumbu. Baada ya pumbu kumkolea akajitolea kuwa house girl wa Wema japo wengine walisema kuwa alikuwa anaelekea kuwa msukule maana alikuwa anapenda sana kubebeshwa mizigo na Mama wa Misukule.
 
Bora sasa wamuache Diamond na familia yake. Idris naomba umpe mahaba moto moto amsahau Simba. Maana it was more than stalking or obsession.
 
Back
Top Bottom