Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

usilinganishe pesa na mambo ya kijinga............ mpelekee wife ukute na yeye kaedit kamtumia mchepuko

Ha ha ha, eti mambo ya kijinga, umejibu kama ambavyo MO11 angejibu.

Duh, hapo pa wife kumpelekea mchepuko mistari ...! Ngoja niwaze kwanza kama inawezekana.
 
Umeona eeh?Mungu sio Athumani bwana,acha dada wa watu apumzike sasa.


Kupata mtoto sio kupumzika. Kama anataka kupumzika apumzike hii miezi michache iliyobaki manaake kazi ndio inaanza rasmi sasa.
 
Ha ha ha, eti mambo ya kijinga, umejibu kama ambavyo MO11 angejibu.

Duh, hapo pa wife kumpelekea mchepuko mistari ...! Ngoja niwaze kwanza kama inawezekana.
nakushauri usipeleke aisee unaweza kujidhalilisha
 
Kama kichwa kinavyoeleza Je Mtoto Tiffah siwakwake ni kweli??kwahiyo ni wa Mzamir Katunzi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…