Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah......mtoto muzuri rubiii......upooooo?Sitaamini mpaka nione video ya leba maana anti muongo yuleeee na magauni yake ya milioni 3....
ha hahahaahahahahahahahahahhah.....nimeipenda comment yako
Duuh hili gonya amakweli kila mtu na bahati yake,sasa hapo ni sura au kuna kingine ambacho amacho ni deal huko mjini,manake nyangumi ni mbaya lakini masikia mafuta yake ni deal hata Yale matapishi yake (ambari),nayo ni deal.HAHAHAH KISA CHA KUTOKUWA NA IMANI NA BINTI WA KINYATURU?????????????View attachment 319170 View attachment 319171
HAPO CHACHA HAPA TOWN WANASEMA TATIZO NYOTADuuh hili gonya amakweli kila mtu na bahati yake,sasa hapo ni sura au kuna kingine ambacho amacho ni deal huko mjini,manake nyangumi ni mbaya lakini masikia mafuta yake ni deal hata Yale matapishi yake (ambari),nayo ni deal.
Hapo ujui kanuna au kashangaa,bado ile image ya uulevi haijakuja,hapo akiamka asubuhi make up zote zimesagikaHAPO CHACHA HAPA TOWN WANASEMA TATIZO NYOTA
Hahahahahah......mtoto muzuri rubiii......upooooo?
Hivi huyo Wema mimba huwa zinaendaga wapi maana kila mwaka nasikia.ana mimba mara ya Dimond mara ya kigogo mbunge mara sijui kumzalia nani,hivi huyu mama yeye mimba kwake ni story eeeh!
Uyasemayo ni ya kweli kabisa ila ili kujua mbivu mbichi muda huwa haudanganyiWema hana Mimba...Mark my words
DOESN'TTHAT DON'T LOOK LIKE A V SHAPED FACE TO ME
Atakwambia imechoropoka...chezea Kick weweUyasemayo ni ya kweli kabisa ila ili kujua mbivu mbichi muda huwa haudanganyi