Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaa khaaaa!Kama dangote alisema wema hazai kipindi chake na kawa na mshikaji mwingine kapata mimba basi dangote akacheki DNA za mtoto usikute sio wake.
Hahaha mkuu kitambo sana umenikumbushaMwinjuma aliimba
Mkuu tafadhali rudi hapa utupe maelekezo yakinifu kwiiii kwiiiii duh kweli dunia ina mambo.....UTAJIRI WA RUVUMA NI KERO!!
UMAKUPA UMAARUFU LAKINI UNAUWA UZAZI......TAKE CARE...
Anza kuhesabu miezi tu kama atazaa ama la.Uyasemayo ni ya kweli kabisa ila ili kujua mbivu mbichi muda huwa haudanganyi
Umeona mkuu wangu....jamaa linabisha kilaKama dangote alisema wema hazai kipindi chake na kawa na mshikaji mwingine kapata mimba basi dangote akacheki DNA za mtoto usikute sio wake.
Wafuatao alishatoka nao kimapenzi.
1.Kanumba (marehemu ) japo nae hakumkuta bikra.
2.Chalz Baba.
3.Khalid Chokoraa.
4.T.I.D
5.Mr. Blue.
6.DIAMOND.
7...........( kigogo)
8...........(kigogo)
9............( kigogo)
10. Luis Munana.
Why DIAMOND au hao walikuwa wanampiga 071 kwahiyo hatuwezi kuwauliza kwanini hawakum'bebesha hiyo inayoitwa mimba ( kama anayo au hana hiyo ni juu yake hakuna inayomuhusu ila hongera yake kama kweli)